Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke
Siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu. Yeye huchanua kama vile ua, kisha hukatwa;
Hukimbia kama kivuli, wala hakai kamwe.

Ayubu 14:1-2
 
Aliidharau COVID-19 na COVID-19 haikufanya ajizi ikalala naye mbele kwa mbele.
 
hakuna lawama kwa yeyote sababu alikuwa katiri... there is no contry for old man
 
We Mataga,

Kwani kufa ni jambo la ajabu au yeye ndiye wakwanza kufa?
 
Kuna makaburi ambayo ukihitaji kuyafukua inabidi uwe tayari kufukiwa nayo kwanza. Upo tayari mkuu
 
Ukiona mtu anataka ugomvi na kila mtu ujue wengine atawashinda na wengine watamshinda tu... hakuna malefu yasiyo na ncha, na mbio za sakafuni huishia ukingoni.
 
hivi kwa akili yako, na kwa ulinzi wa Rais, unafikiri ni rahisi tu kumuua Rais? si huwa unaona hata akitembelea mtaani pako tu mtaa mzima unabadilika hali ya hewa, ulinzi hadi vyooni, unafikiri kweli ni rahisi kiasi hicho? mambo mengine acheni kupoteza muda kupotosha watu. Rais ni Rais wewe usifanye naye mchezo.
 
Nasikia faili la mwendazake liliitwa kwa dharura baada ya kujiinua na kuanza kuwafundisha maparoko & maaskofu kipi cha kuhubiri
 
Watu wanacheza na sayansi marehemu aliwekeza kwenye matunguli na ushirikina akawapa nafsi wanasayansi kufanya yao, imebaki historia
 
Baada ya miaka 20 mbele ukweli utawekwa wazi, ndio dunia ilivyo. Si mmesikia mbowe alipanga njama za kuuwa viongozi,inawezekana wanataka kumpa kesi ya kumuua Jiwe
 
Kwanza kabisa vifaa vinavyo weza kudukuliwa ni vifaa vya generation 4 au G4. Kama JPM aliwekewa kifaa hicho miaka ya 80, hakiwezi kuwa na uwezo wa kudukuliwa kwani hakina mfumo wa mawasiliano.

Sasa hivi ndo kuna vifaa hivi vipya ambavyo vimeongezewa mfumo wa mawasiliano unao mwezesha daktari kufuatilia afya ya moyo wako muda wote..na kutoa alert pale ambapo mambo hayaendi vizuri. Hivi vyenye mfumo wa IP ndo vinaweza kudukiliwa
 
Ninachofahamu kwa uhakika kabisaa ni kuwa hicho kifaa kwel kinaweza kudukuliwa lakini sina comment yoyote kwenye kifo cha muheshimiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…