Je, Rais Magufuli alikuwa na Pacemaker au Defibrillator? Ilidukuliwa?
Sikiliza ww usiejua ukiambiwa beberu......
ujue mengi ni mazungu kupitia makampuni yao bado wana maslahi ya kinyonyaji nchi za Africa ie kwenye madini na raw material mbalimbali...
we call them (economic hitmen)......
akili yako ndogo hata kujua vitu vya wazi kama hivi huwezi......
alafu angalia hiyo paragraph yako ya mwisho inakuchora balaa! stupid
Mmh - 'Economic hitmen'....nimeipenda hiyo analogy
 
Nitashangaa kama seriki ya CCM chini ya Mh Rais Samia inatamuacha Tundu Lissu salama bila kumwajibisha.Anatakiwa akamatwe atuambie hao waliyompa information ( from America and sound Africa) na Lengo Lao ilikuwa nini? Walijuaje?
Ingekuwa mimi condition ya kurudi Tanzania na kuitwa Mtanzania ni kuwataja hao informa wake.
Endelea kusubiri hao #Sound Africa #mkuu
 
Ramli tu. Kwamba ni Lissu sasa kamuua Magu? Conspirancy hamuachi hata mlipotaka kumuua Lissu mara ya kwanza. Endeleeni mtufikishe kama taifa mnapopataka.
Tuliwaaambiaaga maadui wa ndani wa Magufuli ni hatari na wabaya zaidi na wana access naye tofauti na wapinzani ambao sana ambacho wanakiweza ni kelele
 
Corona kwani Vipi? au Kule Kufichwa labda walimdedisha hatujui waamuzi ni Wao
 
Umezungumzia mambo very technical, wachache wamekuelewa. Hiki kifaa pace maker inaweza kuwa sababu kwanini Hayati Magu hakupenda kusafiri kwa ndege. Maana ukiwa kwenye ndege kuna magnetic field ambazo zinaweza kukinzana na mfumo wa kifaa hiki.

Apumzike kwa amani JPM.
Screenshot_2021-03-25-07-56-16.png
 
Kuna uwezekano Lissu hakujua kinachoendelea bali aliambiwa tu kilichotokea ili kuhabarisha Watanzania na dunia!
Kama kuna walishamaliza kazi kulikuwa na any need ya kumwambia Lissu awaambie wa TZ ?
Wangetulia tu na Taarifa zingefika
I strongly believe source ya Lissu ni from Inside TISS, na yeye alisema ana credible source from TISS
 
PREMISE 1.
The invasion of covid 19 in our country is real amid the deaths of people including high ranking officials in the government, army, intelligence unit and state house.

PREMISE 2.
WHO issued protective measures and urged people to abide by them.

PREMISE 3.
Magu assured his people that there is no covid 19 and further despised all the WHO precautionary measures.

PREMISE 4.
Magu died of allegedly covid 19

CONCLUSION
Magu is the cause of his death.
 
Kama kuna walishamaliza kazi kulikuwa na any need ya kumwambia Lissu awaambie wa TZ ?
Wangetulia tu na Taarifa zingefika
I strongly believe source ya Lissu ni from Inside TISS, na yeye alisema ana credible source from TISS
Tiss iliyokuwa inamlinda Rais ifumuliwe au watiwe ndani wote.Lazima watamsema aliyewasiliana na Tundu.
 
I concur with you that pacemaker can be hacked given the fact the fundamental unique coded identification number as assigned by manufacturer is carelessly mishandled vulnerable to cybercrime attack. It is apparent in the modern world the instruments responsible with security details have to competently upgraded with cybersecurity skills to contain the malware attackers.
 
Back
Top Bottom