nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
Hukusema wazi, bali ni wazi umemaanisha hivyo.Hakuna sehemu nimesema Lissu kamuua Magu!
Conspiracy? YES!
Au uliandika ukiwa umelewa na sasa pombe zimekutoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hukusema wazi, bali ni wazi umemaanisha hivyo.Hakuna sehemu nimesema Lissu kamuua Magu!
Conspiracy? YES!
Kwanini iwe Tanzania tu, mna mini Cha zaidi kuliko nchi zingine?Mabeberu ni hatari kwa ustawi wa taifa letu
Hajabu ufipa hawalioni hilo
Teknolojia ndo mchawi, hao wakwenye system wanaangushiwa tu jumba bovuWaliokwenye system yenu ndio waongeaje.
Raha ya milele umpe Ee Bwana; Na mwanga wa milele umuangazie; Apumzike kwa Amani; AMEN!!Kila nafsi itaonja mauti, hayo mengine ni hadithi tu, uongo njoo utamu kolea.
Kweli mabebelu ni hatali kwa maisha yetu na ndiomana wametuletea ARV ili tusipukutike kama nzi...Mabeberu ni hatari kwa ustawi wa taifa letu
Hajabu ufipa hawalioni hilo
Rais hazungukwi na mawe, anazungukwa na binadamu. Siri walizo nazo kumhusu rais wanaweza wakamtonya yoyote wamtakaye kwa sababu zozote zile. Waliotoboa siri, ndiyo wachawi, Lisu ni mjumbe tu.hata mimi nina wasi wasi Lisu kahusika, alijuaje rais anaumwa? akamatwe mara moja
😅😂🤣..Swali zuri ilo...Hicho kifaa aliwekewa na hao hao mabeberu ,
Mbona unauliza kama umekatwa kichwa? mtawala yeyote wa afrika ili awe salama mbele za beberu lazima utawale kulingana na matakwa yao, hata ukiwa dictator kama mseven na kagame madam unaobey interest zao hawatakua na tatizo nawe bt ukienenda kinyume nao lazima wakuue/wakutoe madarakani kwa njia yoyote ile.Kwanini iwe Tanzania tu, mna mini Cha zaidi kuliko nchi zingine?
Umeelewa swali lakini?mbona unauliza kama umekatwa kichwa? mtawala yeyote wa afrika ili awe salama mbele za beberu lazima utawale kulingana na matakwa yao, hata ukiwa dictator kama mseven na kagame madam unaobey interest zao hawatakua na tatizo nawe bt ukienenda kinyume nao lazima wakuue/wakutoe madarakani kwa njia yoyote ile.
Hah hah hah. MATAGA mnamuogopa au mna kiwewe sana Tundu Lissu. Mlipompiga risasi na kuzuia watu wasimwombee mkaanza kusema ah amepigwa risasi na mlinzi wake, mara ah amepigwa na CHADEMA! Sasa JPM amefariki mnaanza propoganda hii ya kijinaga eti Tundu Lissu ndo amemwua! My foot!Hakuna sehemu nimesema Lissu kamuua Magu!
Conspiracy? YES!
Na CCM ni hatari kwa Tanzania na watanzania .Mabeberu ni hatari kwa ustawi wa taifa letu
Hajabu ufipa hawalioni hilo
Tulijua hiki kifo kitawafumbua macho, kumbe bado tuNani alikuambia barakoa inazuia corona mbwa wewe!? Mshipa wa shingo umekukomaaa barakoa barakoa.