Prince Moola
Member
- Aug 21, 2013
- 87
- 98
Afya mgogoro + corona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadhani alirudi Tanzania kufanya nini na baada ya uchaguzi na kutofanikiwa kwa maandamano alifanya nini?
Akili za kuambiwa...
Asante studio.Kwa wale ambao hamuijui pacemaker
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1733025
View attachment 1733026View attachment 1733027
😂 😂 😂Asante studio.
Mataga hayanaga masikio ya kusikia vitu Sensitive, bali Mapambio ya kusifu na kumwabudu Jiwe.Ongeza sauti mkuu, ili wasikie vizuri.
Haha hahah haha.
Magufuli alikuwa a walking dead, hakuwa na afya, alikuwa very much short tempered, alikuwa na dalili zote za kufika ukingoni mwa maisha.
Pacemaker haikufanyi uishi milele.
Pia Magufuli hakuwa threat kwa dunia hadi wamuue.
Kama PSU walijua njia rahisi ya adui kumdhuru raisi ni kupitia kudukua pacemaker yake, walichukua tahadhari gani kuiwekea Artificial Intelligene security Ili Kama iki sense kwamba inaingiliwa itoe taarifa?
Waliiwekea backup system gani ili kama ikiwa hacked backup ifa ye kazi?
Kwani umeniona nimezivaa au unawashwa kwenye kunyeoWe si uache kuvaa kwani lazima ,acha kudanganya wengine
Ilipaswa kua hivyo for the good of the countryMagu ni inside job. Period
Wazo zuri sana! Lakini Ni Mkuki kwa nguruwe? Hiyo Serikali ambayo inapotezea uchunguzi wa aliyemimina risasi Zaidi 30 kwa Lisu, ijihangaishe kumchunguza Tundu Lisu kuhusika na kifo cha Jiwe kilicho sababishwa na kukatika kwa Umeme kwenye moyo wa Jiwe?Nitashangaa kama seriki ya CCM chini ya Mh Rais Samia inatamuacha Tundu Lissu salama bila kumwajibisha.Anatakiwa akamatwe atuambie hao waliyompa information ( from America and sound Africa) na Lengo Lao ilikuwa nini? Walijuaje?
Ingekuwa mimi condition ya kurudi Tanzania na kuitwa Mtanzania ni kuwataja hao informa wake.
Kwanini kidogo Mkuu?, nisaidie ili niweze kumfikirisha zaidi.Kidogo yaani kidogo sana unaweza kumfikirisha mtu
Na hapo ndio tatizo huanziaMataga hayanaga masikio ya kusikia vitu Sensitive, bali Mapambio ya kusifu na kumwabudu Jiwe.
Wazo zuri sana! Lakini Ni Mkuki kwa nguruwe? Hiyo Serikali ambayo inapotezea uchunguzi wa aliyemimina risasi Zaidi 30 kwa Lisu, ijihangaishe kumchunguza Tundu Lisu kuhusika na kifo cha Jiwe kilicho sababishwa na kukatika kwa Umeme kwenye moyo wa Jiwe?
Wahenga walisemaga, "Mficha maradhi,......"Tatizo mambo yao ya USIRI ndo yote haya yanatokea.
Bora wangekuwa wazi mapema.ila ghfla ghafla kuwatangazia watu KIFO from no where inaleta maswali yasiyo na majibu.
Jamaa alijitengenezea maadui wengi Tu bila sababu za msingi , sometyme na kiburi tuu, maamuz ya kukurupuka tumepata hasara ya kuyalipa makampuni mengi tuu, alikuwa anakopa hela huko nje alaf anatudanganya ni Fedha za ndani , ametukaba na mikodi mingi Sana ya kuumiza na akaminya mzunguko wa hela , lakni pesa yote anapeleka kwenye miradi ya ajabu ajabu tuu.....Yote uloelezea yanaweza kuwa ni kweli lkn huyu Magufuli alikuwa mgonjwa zamani aliwahi kufanyiwa opearation wa moyo toka anasoma lkn nyumbani watu ni wajinga sana wao ni ushabiki tu japo mtu hapati chochote hana maslahi na jambo lolote pili Magu alikuwa kisirani sana kampuni ngapi kazitia hasara kufunga mikataba yao japo hasara ni ya Tanzania wao wanakwenda kushtaki koti za kimataifa wanapewa pesa zao lkn lengo kwa kampuni ni kuonesha project zao kwa ajili ya kupata kazi nyengine .Sasa watu wengi wanafikiria huu ulimwengu wote duniani ni sawa sawa tu kama uko kariakoo , hawajui kama kuna vita ya kila aina unaweza kubadilishiwa prescription yako ya dawa unazotumia na wadukuaji na ikawa ni sumu kwako so afya ya kiongozi yyote yule mwana siasa ajue ni silaha kwake unaweza kumalizwa mara moja tu .
Basi nimekuelewa vizuri kiongozi,aliyestahili kufa kweli kafa,asiyestahili kabaki,God is really awesome,his love is low down and upper above,glory to his name [emoji120]Unajua kuna watu wanastahili kabisa kufa we kila unalofanya zuri yeye anaforce lionekane baya kwa wananchi mara cjui anapeleka umbeya USA kwamba Tz huko nini kinaendelea huyo msaliti wa nchi yetu [emoji706][emoji706] kabisa