Haha hahah haha.
Magufuli alikuwa a walking dead, hakuwa na afya, alikuwa very much short tempered, alikuwa na dalili zote za kufika ukingoni mwa maisha.
Pacemaker haikufanyi uishi milele.
Pia Magufuli hakuwa threat kwa dunia hadi wamuue.
Kama PSU walijua njia rahisi ya adui kumdhuru raisi ni kupitia kudukua pacemaker yake, walichukua tahadhari gani kuiwekea Artificial Intelligene security Ili Kama iki sense kwamba inaingiliwa itoe taarifa?
Waliiwekea backup system gani ili kama ikiwa hacked backup ifa ye kazi?