Je, Rais Magufuli alikuwa na Pacemaker au Defibrillator? Ilidukuliwa?
Yote uloelezea yanaweza kuwa ni kweli lkn huyu Magufuli alikuwa mgonjwa zamani aliwahi kufanyiwa opearation wa moyo toka anasoma lkn nyumbani watu ni wajinga sana wao ni ushabiki tu japo mtu hapati chochote hana maslahi na jambo lolote pili Magu alikuwa kisirani sana kampuni ngapi kazitia hasara kufunga mikataba yao japo hasara ni ya Tanzania wao wanakwenda kushtaki koti za kimataifa wanapewa pesa zao lkn lengo kwa kampuni ni kuonesha project zao kwa ajili ya kupata kazi nyengine.

Sasa watu wengi wanafikiria huu ulimwengu wote duniani ni sawa sawa tu kama uko kariakoo , hawajui kama kuna vita ya kila aina unaweza kubadilishiwa prescription yako ya dawa unazotumia na wadukuaji na ikawa ni sumu kwako so afya ya kiongozi yyote yule mwana siasa ajue ni silaha kwake unaweza kumalizwa mara moja tu .
 
Haha hahah haha.
Magufuli alikuwa a walking dead, hakuwa na afya, alikuwa very much short tempered, alikuwa na dalili zote za kufika ukingoni mwa maisha.
Pacemaker haikufanyi uishi milele.
Pia Magufuli hakuwa threat kwa dunia hadi wamuue.
Kama PSU walijua njia rahisi ya adui kumdhuru raisi ni kupitia kudukua pacemaker yake, walichukua tahadhari gani kuiwekea Artificial Intelligene security Ili Kama iki sense kwamba inaingiliwa itoe taarifa?
Waliiwekea backup system gani ili kama ikiwa hacked backup ifa ye kazi?
Nani kasema Pacemaker inakufanya uishi milele? akili gani hizi?
wewe huna hiyo Pacemaker je utaishi milele?

Hayo maswali uliyoweka hapo ndio ulitakiwa ujiulize au uulize kabla ya kupinga jambo hilo toka mwanzo ili ueleweshwe na wataalamu,

Halafu tambua kua Hackers hawazuiliki kwenye kila kitu,kumbuka kua Russia wali hack uchaguzi wa US,huo ni mfano mmoja tu nimekupa,

Naona umeamua kujitutumua baada ya kukwambia ukweli.
 
Nitashangaa kama seriki ya CCM chini ya Mh Rais Samia inatamuacha Tundu Lissu salama bila kumwajibisha.Anatakiwa akamatwe atuambie hao waliyompa information ( from America and sound Africa) na Lengo Lao ilikuwa nini? Walijuaje?
Ingekuwa mimi condition ya kurudi Tanzania na kuitwa Mtanzania ni kuwataja hao informa wake.
 
kifo ni wajibu wa kila mtu hivo hatuna budi kukubali ya kuwa muda alokuwa amepangiwa na Mungu kuishi hapa duniani umeisha. Tuache blaah blaah na conspiracies za ajabu sababu hakuna kitu chochote chenye uhai kitadumu hapa duniani
Iliaminika kuwa huyo kiumbe ASINGEKUFA! Ndiyo maana "vibaraka" wake, walishaanza kufikiria aje kuwa mgombea wa U Rais kinyume cha Katiba yetu, kwenye uchaguzi mkuu wa 2025. Wala walikuwa hawafikirii kuwa chochote chaweza kutokea kabla ya mwaka huo.
Na hizi blah blah, wanaonyesha kuwa bado hawaamini kuwa huyu mtu amekufa kifo cha kawaida. Kwa kuwasaidia, wamtafute yule NABII aliyetabiri kifo chake, miaka kadhaa iliyopita, awaambie sababu. Ingawa alishasema kwa vile yeye si T.B JOSHUA, basi haaminiwi!
 
Mabeberu ni hatari kwa ustawi wa taifa letu
Hajabu ufipa hawalioni hilo

Hao mabeberu ambao hamuwataji tumawajua ni akina nani?? Binafsi nimechoka kusikia neno hilo bila kuwafahamu ni akina nani.

Ninakuomba sasa kama unavoweze kusema “malaria ni mbaya na husababishwa na mbu” niambie mmoja wa hawa mabeberu!

Je ndio hawa wakopeshaji, wahisani wa maendeleo, wasaidia bajeti? Watoa misaada ya kujenga barabara na miundombinu??
 
Nonsense. Totally nonsense. Late late has passed away aachwe akapumzike. Kwa nini mnadhani hakuwa anapaswa afe?kila binadamu atakufa kwa style yoyote. Mnahangaika na mabeberu,mnahangaika na Lissu,Mnahangaika na sababu mbalimbali.

Lakini wataalamu walishasema sababu ya kifo chake. Period.hata mkiweka weka sources za kiingereza n.k uongo upo kwa kila lugha.
 
Nitashangaa kama seriki ya CCM chini ya Mh Rais Samia inatamuacha Tundu Lissu salama bila kumwajibisha.Anatakiwa akamatwe atuambie hao waliyompa information ( from America and sound Africa) na Lengo Lao ilikuwa nini? Walijuaje?
Ingekuwa mimi condition ya kurudi Tanzania na kuitwa Mtanzania ni kuwataja hao informa wake.
Sound Africa ndo nini 😂😂😂😂 Wenge baya sana
 
Yaani mleta hoja anasisitiza sana juu ya Lissu kuwa na taarifa[emoji23][emoji23]
Mjue sometimes tunajidhalilisha humu. Unapaswa kujua yeyote anaweza kuuza taarifa na si kwa yeyote. Ataenda kwa yule ambaye anajua akimpatia tuu inaenda haraka kwa jamii. Na walifanikiwa hilo maana sote hatukua tukijua kinachojiri. Sasa Lissu ndo kaua? Tuache kujidhalilisha bwana.
Mzee alikua na maradhi yake ya kumtosha.
Mnachopaswa kuamini ni hayupo tena. Maisha yanasonga maana hakuna aliyeandikiwa kuishi permanent. Kwamba hiyo mashine ndo angeishi milele? Tena naona Magu alikua very strong kuishi mpaka sasa. Yaan very strong. Tuache kuwatupia wengine lawama.
 
Nitashangaa kama seriki ya CCM chini ya Mh Rais Samia inatamuacha Tundu Lissu salama bila kumwajibisha.Anatakiwa akamatwe atuambie hao waliyompa information ( from America and sound Africa) na Lengo Lao ilikuwa nini? Walijuaje?
Ingekuwa mimi condition ya kurudi Tanzania na kuitwa Mtanzania ni kuwataja hao informa wake.
Watu waliwekeza sana kwenye uchaguzi wa 2020 na walipoteza fedha zao nyingi.

Pia wapo walopoteza fedha zao baada ya 2015 ambapo "hearts and minds" zilikuwa ni kwenye mirija yao ya kuihujumu Tanzania.

Alipokuwa akisisitza kuwa Tanzania ipo kwenye vita ya kiuchumi alipaswa kuungwa mkono na kila mtanzania na hivyo ndivyo wenzetu wazungu wanavyofanya.
 
Kwa maoni yangu. Kuna mambo ni bora kubaki nayo moyoni mwako tu na si kila kitu uandike. Kwa kusudi la Mungu kila Mtu ataondoka kwa wenye imani hiyo. Hakuna atayeishi milele na kila kifo kina sababu. Ni bora kukaa kimya na kumshukuru Mungu.
 
Nafuu huyu Magufuli ametutoka. Gharama za ulinzi wake zikikuwa pasua kichwa. Inawezekana hata nyongeza ya mishahara ya wafanyakazi yote ilikuwa inalipa ulinzi wake.

Je walikumbuka lile gari SUV nyeusi yenye mitambo? Ni Internet Jammer cum bomb detector. Ile pamoja na kazi zingine ilikuwa inazuia mawasiliano ya internet hususan hackers wasiweze kuingia kwenye pacemaker yake.

Mungu kaingilia kati kasema upuuzi wote huu wa nini? Ngoja waje wasiojitaji ulinzi complicated.
 
Back
Top Bottom