Je, Rais Magufuli alikuwa na Pacemaker au Defibrillator? Ilidukuliwa?
Kwa wale ambao hamuijui pacemaker


👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇

1616563165122.png

1616563188028.png
1616563242353.png
 
hiyo makala niliisoma vizuri.
lakini kuna point moja umeruka sehem. kifaa hicho mawimbi yakeni mafupi mno kiasi kwamba mtu lazima awe so close kuweza ku access hiko kifaa.

but in real sense. the way rais alifichwa. ilikuwa ni ngumu sana. kama PM na mawaziri hawakujua.. nani angemsogelea rais zaid ya walinzi wake na madkatari wa usalama?

plus tanzania hatufikia uwezo wa hacking kiasi hiko. bado tuna safari ndefu.


all in all our late president aliondoka kwa tatizo la moyo. hizi theory sijui ilikuwa hivi ilkkuwa vile hazimrudushia uhai.
wanausalama walishatoa sababu. Apumzike kwa amani
Mkuu, kama umemsoma vema mtoa mada ni wazi kuwa anajaribu kujenga hoja juu ya jambo lililo nyuma ya pazia. Atarudi kivingine kwa ID hii hii au nyingine.
 
Acha upuuzi na kupandikiza chuki, Rais amefariki kifo ambacho ni mpango wa Mungu, tumuombee huko aendako.

Yale aliyofanya wakati wa utawala wake tunamshukuru, mengine aliyotukosea ikiwa ni sehemu ya mapungufu ya mwanadamu mimi nilishamsamehe.

Nataka ujue kwamba itachukua miongo mingi kumpata mtu kama Magufuli. Sio lazima ukubaliane na maoni yangu.
 
Una akili kubwa sana aisee.

Ulichoandika nimekiwaza sana japo mi niliwaza zaidi kwenye sumu, huku nikiwaza bila majibu kuwa ni nani na kwa njia gani hata sumu imfikie Mheshimiwa mwenye walinzi lukuki.

Umesema vizuri, nisaidie hili, ina maana hicho chombo kingeweza kudukuliwa even from far?

Umesema doctors walitia shaka au waligundua hilo, je haikuwa rahisi kukibadili chap ?

Anyways hakuna mtu anayependa mtu afe kwa vyovyote ila kifo cha huyu Mheshimiwa ni very challenging.
 
Msianze ramli kimsingi alikua na afya mgogoro period. Kwa wenzetu huku ambao wameendelea ni nadra sana mtu kupewa madaraka makubwa ya nchi kama afya yake mgogoro lakini miafrika ndio tulivyo sio ajabu. na kama alipandikizwa hicho kiberti na hao mnaowaita mabeberu wangeshindwa nini ku trace alipo na kama hata ingewezekana kukizima kiberti chao kwa satelite , sisi tusijifanmye wajanja mzungu katuzidi kila kitu tukubali ama tukatae , maana hata huo upasuaji na kuwekea hiko kiberti walifanya wao otherwise angeshakwenda sikunyingi, na kama wangemhitaji kwao its too simple take it from me watu wanatumia DNA kumtrace mtu aliko itakua hicho kimashine cha umeme.
 
Nani alikuambia barakoa inazuia corona mbwa wewe!? Mshipa wa shingo umekukomaaa barakoa barakoa.

Uzuri ni kuwa unakiri kuna corona. Badala ya kumfokea jamaa, ingependeza kama ungesema ni njia ipi inazuia corona. Au unasema hakuna namna tutaepuka corona na itatufikia sote??

Nisaidie mkuu.
 
Hao mabeberu ambao hamuwataji tumawajua ni akina nani?? Binafsi nimechoka kusikia neno hilo bila kuwafahamu ni akina nani.

Ninakuomba sasa kama unavoweze kusema “malaria ni mbaya na husababishwa na mbu” niambie mmoja wa hawa mabeberu!

Je ndio hawa wakopeshaji, wahisani wa maendeleo, wasaidia bajeti? Watoa misaada ya kujenga barabara na miundombinu??
Sikiliza ww usiejua ukiambiwa beberu......
ujue mengi ni mazungu kupitia makampuni yao bado wana maslahi ya kinyonyaji nchi za Africa ie kwenye madini na raw material mbalimbali...
we call them (economic hitmen)......
akili yako ndogo hata kujua vitu vya wazi kama hivi huwezi......
alafu angalia hiyo paragraph yako ya mwisho inakuchora balaa! stupid
 
Nani kasema Pacemaker inakufanya uishi milele? akili gani hizi?
wewe huna hiyo Pacemaker je utaishi milele?

Hayo maswali uliyoweka hapo ndio ulitakiwa ujiulize au uulize kabla ya kupinga jambo hilo toka mwanzo ili ueleweshwe na wataalamu,

Halafu tambua kua Hackers hawazuiliki kwenye kila kitu,kumbuka kua Russia wali hack uchaguzi wa US,huo ni mfano mmoja tu nimekupa,

Naona umeamua kujitutumua baada ya kukwambia ukweli.
Sijawahi kujitutumua. Kama huwa unajitutumua ni wewe
 
Hii mada ipo nje ya uwezo wako wa uelewa na uwezo wako wa kufikiri,ni vizuri ukajikita kua msomaji tu wa comments za wataalam au watu wenye uwezo wa uelewa wa mambo,

Sio kila thd inakuja hapa coz ya ushabiki,hii ni mada fikirishi inayohitaji utulivu na uelewa na sio tu kucomment kwa mihemko ya chuki ili na wewe uonekane umepinga ili upate kuchekewe na wenzako wenye uwezo mdogo wa kufikiri kama wewe.
Mbona hata wewe mkuu hujacomments chochote zaidi ya kumshambulia mwana jf mwenzie??
 
Back
Top Bottom