MENGELENI KWETU
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 9,552
- 24,166
Covid19 imemsambaratisha meko..
Hii ndio iliingia ikavuruga na hiyo pacemaker yake..
Nchi nzima ina furaha.
Hii ndio iliingia ikavuruga na hiyo pacemaker yake..
Nchi nzima ina furaha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara ngapi tuliona rais akijichanganya na watu , ni rahisi kitu hicho kutekelezwa iliyokuwa inasubiriwa ni timing tuhiyo makala niliisoma vizuri.
lakini kuna point moja umeruka sehem. kifaa hicho mawimbi yakeni mafupi mno kiasi kwamba mtu lazima awe so close kuweza ku access hiko kifaa.
but in real sense. the way rais alifichwa. ilikuwa ni ngumu sana. kama PM na mawaziri hawakujua.. nani angemsogelea rais zaid ya walinzi wake na madkatari wa usalama?
plus tanzania hatufikia uwezo wa hacking kiasi hiko. bado tuna safari ndefu.
all in all our late president aliondoka kwa tatizo la moyo. hizi theory sijui ilikuwa hivi ilkkuwa vile hazimrudushia uhai.
wanausalama walishatoa sababu. Apumzike kwa amani
Unafahamu maana ya inside job boss?Maswali lazima yawepo hasa pale panapotokea ombwe!
Kumbuka amekuwa na pacemaker/defibrillator kwa zaidi ya miaka 10. why now!Jamaa afya yake ni mbovu siku zote. Kipindi cha kampeni alikuwa na mapumziko mengi, pia alikuwa akizungukwa na mashine za kiyoyozi.
Hamna mtu wa kudukua pacemaker yake
Hiyo pacemaker iliundwa idumu milele?Kumbuka amekuwa na pacemaker/defibrillator kwa zaidi ya miaka 10. why now!
Na kama "angefia Ulaya" huyu mtu, tungeambiwa mengi sana, likiwemo……… MABEBERU yamemuua!Kama hamtakuwa wakweli kuhusu Corona mtawapoteza wengi
Hii habari yako mkuu! Ni hadithi za vibaradhani tu, ukweli unajulikana Corona ilishaingia ikulu, Kijazi ameondioka na nini kwani hata kwa Magu tulete visingizio.Naomba ujue kila tukio baadaye huwa ni hadithi!
Tuliambiwa na ''watoa siri'' kuwa Rais Magufuli amechanjwa ndio maana alikuwa anatamba bila barakoa!Jitu limekufa kwa korona bado mnapamba pamba huku Samia na viongoz wengine wakitamba bila barakoa ili baadae mje na story zingine ikiwaondoa.
Watanzania imekuaje tumekua wajinga hivi??
Endeleeni kushupaza Shingo hivyo hivyo!
Tuvae barakoa! Tu-keep distance! Tunawe maji tiririka Bila kusahau matumizi ya vitakasa mikono inapobidi!
We si uache kuvaa kwani lazima ,acha kudanganya wengineNani alikuambia barakoa inazuia corona mbwa wewe!? Mshipa wa shingo umekukomaaa barakoa barakoa.
Inside job hiiI have five theories:
1. Corona (uzembe)
2. Corona (uzembe)
3. Corona (uzembe)
4. Corona (uzembe/"external job")
5. Inside job
Binafsi kwa haraka ukiniuliza Lisu kapataje habari, test yangu ya kwanza itaanza na link ya JPM na Mch Msigwa........
Hii ya marekani/SA pengine ni spin tu kujaribu ku protect "sources"
Huwezi pata hiyo picha.. Hiyo ni inside job ni gafla gafla tuMsiba ukiisha watuwekee na picha za magufuli akiwa hospitali.
Na watuambie kwanini walikuwa wanafanya siri.
Yaani kuna Watu waongo Duniani sijapata kuona😩😩😩Kila nafsi itaonja mauti, hayo mengine ni hadithi tu, uongo njoo utamu kolea.
Haha hahah haha.Hii mada ipo nje ya uwezo wako wa uelewa na uwezo wako wa kufikiri,ni vizuri ukajikita kua msomaji tu wa comments za wataalam au watu wenye uwezo wa uelewa wa mambo,
Sio kila thd inakuja hapa coz ya ushabiki,hii ni mada fikirishi inayohitaji utulivu na uelewa na sio tu kucomment kwa mihemko ya chuki ili na wewe uonekane umepinga ili upate kuchekewe na wenzako wenye uwezo mdogo wa kufikiri kama wewe.
Ongeza sauti mkuu, ili wasikie vizuri.Kama hamtakuwa wakweli kuhusu Corona mtawapoteza wengi
Hawakutilia main afya yake alionekana kudhoofu hata kwenye kampeniJamaa afya yake ni mbovu siku zote. Kipindi cha kampeni alikuwa na mapumziko mengi, pia alikuwa akizungukwa na mashine za kiyoyozi.
Hamna mtu wa kudukua pacemaker yake