Mmh - 'Economic hitmen'....nimeipenda hiyo analogySikiliza ww usiejua ukiambiwa beberu......
ujue mengi ni mazungu kupitia makampuni yao bado wana maslahi ya kinyonyaji nchi za Africa ie kwenye madini na raw material mbalimbali...
we call them (economic hitmen)......
akili yako ndogo hata kujua vitu vya wazi kama hivi huwezi......
alafu angalia hiyo paragraph yako ya mwisho inakuchora balaa! stupid
Kama hamtakuwa wakweli kuhusu Corona mtawapoteza wengi
Endelea kusubiri hao #Sound Africa #mkuuNitashangaa kama seriki ya CCM chini ya Mh Rais Samia inatamuacha Tundu Lissu salama bila kumwajibisha.Anatakiwa akamatwe atuambie hao waliyompa information ( from America and sound Africa) na Lengo Lao ilikuwa nini? Walijuaje?
Ingekuwa mimi condition ya kurudi Tanzania na kuitwa Mtanzania ni kuwataja hao informa wake.
Tuliwaaambiaaga maadui wa ndani wa Magufuli ni hatari na wabaya zaidi na wana access naye tofauti na wapinzani ambao sana ambacho wanakiweza ni keleleRamli tu. Kwamba ni Lissu sasa kamuua Magu? Conspirancy hamuachi hata mlipotaka kumuua Lissu mara ya kwanza. Endeleeni mtufikishe kama taifa mnapopataka.
Na lile gari / Signal Jammer lanye Mibamiba / Antenna halikuweza kuzuia hiki ?Attackers wanaweza kutumia radio signals au mobile phone ambayo unaweka kwenye mfuko wa shati!
Yatasemwa mengi. Mara Covid, mara inside job, mara pacemaker failure. Siri waijuayo wengine ndani ya circle yake. Huku nje ni propaganda tu.Magu ni inside job. Period
Tunashukuru Mungu kutuonodolea roho mbaya na katili hapa TanzaniaHakuna sehemu nimesema Lissu kamuua Magu!
Conspiracy? YES!
Kama kuna walishamaliza kazi kulikuwa na any need ya kumwambia Lissu awaambie wa TZ ?Kuna uwezekano Lissu hakujua kinachoendelea bali aliambiwa tu kilichotokea ili kuhabarisha Watanzania na dunia!
Now there is Covid, with South Africa VariantKumbuka amekuwa na pacemaker/defibrillator kwa zaidi ya miaka 10. why now!
Tiss iliyokuwa inamlinda Rais ifumuliwe au watiwe ndani wote.Lazima watamsema aliyewasiliana na Tundu.Kama kuna walishamaliza kazi kulikuwa na any need ya kumwambia Lissu awaambie wa TZ ?
Wangetulia tu na Taarifa zingefika
I strongly believe source ya Lissu ni from Inside TISS, na yeye alisema ana credible source from TISS