Je, Rais Magufuli alikuwa na Pacemaker au Defibrillator? Ilidukuliwa?
CCM ipewe lawama kwa kuwapa vyeo wale mayuda walionunuliwa toka upinzani. itakuwa wanahusika na kifo cha JPM.
 
... afya ya mtu ni siri kati yake na daktari wake! Ni ajabu CCM kuweka kipengele kama hicho kama mojawapo ya "sifa" za mgombea. Nadhali walikuwa na nia ovu ya kuja kukitumia baadaye kum-eliminate mgombea fulani kihuni na walifanikiwa hadi kwenye kampeni. Ila bahati mbaya Mungu alikuwa na jambo lake!
 
Rais Samia Suluhu Hassan ameonya wanaoeneza uvumi kwa Rais JPM aliuawa kwa sumu na kutoa rai wenye ushahidi huo watoe taarifa kwenye vyombo vya usalama ili hatua zichukuliwe.

Wanaojenga hoja hiyo ya sumu wanaamini katika Ulinzi madhubuti wa Rais kwa kila namna hawezi kudhurika kirahisi.

Rais SSH amezima mjadala huo kwa kusema mtangulizi wake alikuwa na tatizo (mgonjwa) wa/la moyo kwa zaidi ya miaka kumi. Hii maana yake toka 2015 Magufuli alikuwa mgonjwa.

Tutakumbuka Edward Lowassa aliambiwa ni mgonjwa "asiende kufia Ikulu" na ili kujibu afya njema Magufuli alipiga push up jukwaani.

Katika sifa 13 za mgombea Urais 2015 sifa ya 3 inasomeka, "Awe na afya njema isiyo na mashaka".

Swali, je JPM alidanganya chama kuhusu afya yake? Je, ni nani anathibitisha afya hiyo kwa chama? Je, chama kilidanganya wanachama wenzao? Tumejifunza nini kama chama kuhusu afya ya wagombea Urais ili makosa yasijirudie? Nawaza kwa sauti kwa nini CCM ikwepe lawama?
#FreedomIsBack
John kijazi KMK nani atabeba lawama?
 
... afya ya mtu ni siri kati yake na daktari wake! Ni ajabu CCM kuweka kipengele kama hicho kama mojawapo ya "sifa" za mgombea. Nadhali walikuwa na nia ovu ya kuja kukitumia baadaye kum-eliminate mgombea fulani kihuni na walifanikiwa hadi kwenye kampeni. Ila bahati mbaya Mungu alikuwa na jambo lake!
Rais siyo mtu bwashee!
 
So you admit ni conspiracy? okay so its not real.

Lissu yeye alipata formal information kuwa rais ana hali mbaya.. baadae akiwa ameondoka. sio eti kama hacked. ameondoka na nn na nn sababu hapo hakujua.

So badala ya ku stick kutunga empty theories na whitch hunt hapa..
tumuenzi kwa mazuri aliyotenda our late president.
Na tumlaani pia kwa mabaya aliyotenda pia! Never ever again!
 
Ukisikiliza hotuba zake JPM kwa umakini sana, utagundua jinsi alivyokuwa anaiona hatari ya Kuuliwa. Hata mimi kwa uelewa wangu mdogo wa security nilikuwa nishaanza kunusa hiyo hatari ya kifo chake.

Sasa inakuwaje TISS ambao wamepewa dhamana ya kumlinda masaa 24 wasiweze gundua hatari iliyokuwa inamkabili? inaelekea hiyo taasisi imejaa watu wasio sahihi na wasio na uzalendo kabisa. Na watakuwa wanaitumia hiyo taasisi Vibaya.

Katika uongozi wa Tanzania, ukiwaangalia marais 6 utagundua kuna makundi 2 yenye style tofauti za uongozi. Kundi la kwanza ni viongozi wenye msimamo mkali wa raslimali za nchi ambao ni Nyerere, Mkapa na Magufuli. Wote walikuwa wazalendo kwa nchi yao na wameleta impact kubwa sana nchini. Walikuwa wanatetea raslimali za nchi na walikuwa hawacheki na mabeberu. Na wote watatu vifo vyao ni vya utata utata.

Kundi la pili ni ili kundi la viongozi wenye msimamo soft soft ambao ni Mwinyi, Kikwete na Samia. Wote hawa misimamo yao sio mikali hasa hasa kwenye raslimali za nchi. Mwinyi alikuwa mzee wa ruksa, Kikwete mzee wa bata na Samia mmemsikia akiamuru madini yachimbwe, wafanya biashara waachwe hata wakihujumu uchumi na kadhalika. mitazamo yao ya uongozi iko tofauti kabisa na kundi la kwanza.

Hii inatuonesha kwamba viongozi wenye msimamo mkali kwenye raslimali za nchi wanauliwa mapema sana kwani wanakwamisha mipango ya mabeberu kuiba raslimali za nchi. Na kiongozi mwenye msimamo mkali hata TISS hawawezi kumlinda.

Kama ukiwa rais na ukalegeza msimamo wako kwa mabeberu, basi utakuwa umejisalimisha na mabeberu hawatakuua, kwahiyo kazi ya TISS kukulinda itakuwa raisi kwao kwani hutadhulika.

Swali la kujiuliza, kama moja ya kazi ya TISS ni kuhakikisha vongozi wako salama, sasa ni kwanini viongozi wanauliwa kwasababu ya kulinda na kutetea raslimali za nchi?
Nyerere hakufa madarakani,Mkapa hakufa madarakani.Wote hao walifariki wako nje ya madaraka.
 
Kwa maslahi mapana ya nchi tujiulize;
Je alikuwa asset au liability?
Je alikuwa bearable au unbearable?
Huwa ni kawaida ya nyumbu kuona yuko salama mbele ya mdomo wa Simba.

Rais Samia wanyooshe tena.
 
Sasa yeye kama alijua ana matatizo yote haya, alikuwa anatafuta nini kwenye nafasi kubwa kama ile? Mnajua tunachoshana tu, Ina maana Mamlaka za vetting zilishindwa kujua kwamba jamaa anatumia jenereta?

Huyo bana alienda tu zilifika zake. Aliwekwa ili maandiko yatimie na alikuwa anaongea lakini hakuwahi kuamini waweza kufa muda wowote hata ukiwa ikulu Mungu akiruhusu hauna ujanja.
 
" Na nyie Vijana akina GENTAMYCINE ifike muda muwe mnafanya sana Utafiti na Kutumia Akili pia. Hivi kwa Akili ya Kawaida tu kweli Mgonjwa wa Moyo akiwekewa Pacemaker anaweza kuwa na Ratiba nyingi ambazo hasa Marais ( Viongozi ) huwa wanazo? "

" Ukiona umewekewa hiyo Pacemaker jua hata Uhai wako kwa 99% uko shakani na huwezi ukamaliza hata Miezi 6 sasa tunajua jinsi Marais wa Afrika walivyo na busiest Schedules zao hivi kama kweli yupo aliyekuwa nayo angeweza hata tu Kufanya Kampeni au Kusafiri huku na kule kwa Gari au hata Ndege? "

" Kuna Watu unaweza kukuta labda wana Uadui wao na Wewe hivyo wakata Kufanya yao Kwako ili Ndugu zako wasijue na wakishakifanikisha tu na Wewe GENTAMYCINE kuwa Historia hapa duniani wanakimbilia Kueneza Uwongo na Uzushi kuwa uliwekewa hiyo Pacemaker Moyoni mwako "

Huwa napenda sana Kukutana na 'Wataalam' mbalimbali na 'Kuwachokoza' na Maswali yangu ya 'Mitego' ambayo usipokuwa makini nayo unaweza kujikuta unanipa na mengineyo ambayo huenda sikupaswa kuyajua ila ukajikuta unashawishika na kufurahi tu Kuniambia ( Kunielezea ) huku Mimi nikikuchora Kiuweledi.

Ama kweli Mission Accomplished 100%
 
Upepo mbaya unaanza kuvuma kuelekea Msoga wiki hii!
K-vant nimeacha kwasababu ya kufuta kumbukumbu za mtumiaji!
 
Sasa sisi tumedanganywa na nani!?
Ila mbona nasikia manji anayo na anadunda?
Nilifikiri ungekuja na masuala ya kitaalamu zaidi
Kumbe ni maneno ya kanga tu
Ngoja tuendelee kufanya tafiti zaidi ili kujua ni sosi ipi ya habari waliotoa hio unaosema hakuna orodha yeyote ya rais tena wa afrika aliewahi kuwekewa pacemaker!
 
Kila upande na sehemu mbalimbali watu wanaendelea kuamini JPM hakufa kifo cha kawaida!

Binafsi naisihi Serikali iunde jopo la wataalamu wa afya wachunguze kifo cha huyo bwana Hayati Magufuli.

Kuiacha hiyo dhahania iendelee kuishi ndani ya mioyo ya watu ni sawa na kulea bomu ndani ya nyasi zenye ute ute wa petroli.

Ni muda mwafaka sasa Serikali ichunguze kifo cha JPM na itoke matokeo wazi.
 
Jiulize Tanzania kuna CORONA (COVID-19) na kama Ipo iliingia lini? Pili Jiulize je COVID-19 inawaondoa Watu wenye umri gani na wale wenye Matatizo yapi nyemelezi ya kiafya. Then Kifo ni Mungu tusipoteze Muda,Maisha Yaendelee hata Sisi Tutakufa.
 
Back
Top Bottom