City Of Lies
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 4,925
- 6,137
Mnajisimbua sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye Mwenyewe alipoteza Maisha ya wengi labda waanze kuchunguza vifo vilivyotokea wakti yeye alipokuwepo Madarakani.. alafu katika Siasa ukiua raia au askari jamaa zao au ndugu zao na wapenda haki huwa hawafurahii so visasi huwa ni kawaida even Mflame Daudi ilimtokea pia.. auaye kwa upanga atauwawa kwa Upanga... so justice iwe kwa wote na Jiwe alikuwa na nafasi nzuri ya kurekebisha Katiba na kutenda Mema kwa raia wake ila alienda ndivyo sivyo na ukatiri zaidi.. na Muovu huwa hadumu sanaKila upande na sehemu mbalimbali watu wanaendelea kuamini JPM hakufa kifo cha kawaida!
Binafsi naisihi Serikali iunde jopo la wataalamu wa afya wachunguze kifo cha huyo bwana Hayati Magufuli.
Kuiacha hiyo dhahania iendelee kuishi ndani ya mioyo ya watu ni sawa na kulea bomu ndani ya nyasi zenye ute ute wa petroli.
Ni muda mwafaka sasa Serikali ichunguze kifo cha JPM na itoke matokeo wazi.
kaka tubishane kwenye viwanda tu!Alikuwa hajamaliza malipo yenu ya lile kundi lenu la watu wasiojulikana? Hela alimuachia bashite, labda kama kawarusha.
Na aliyemuua sasa anyee ndooHuyu dikteta bora alikufa. Na kama inawezekana huko aliko afe tena.
Gaidi mwenzako ameshakamatwa umebaki wewe!Huyu dikteta bora alikufa. Na kama inawezekana huko aliko afe tena.
Tunashukuru kwa niaba...pole za tangulizi ziwafikie kwani retaliation haitakuwa ya kitotoPoleni wajane...
Jina lako na uzi wako same same..
Gaidi mwenzako yuko mikono salama na wewe soon nafikiri wanakusoma hapa!Kama ni kweli unalowaza nawapa kongole watekelezaji.