Je, Rais Magufuli alikuwa na Pacemaker au Defibrillator? Ilidukuliwa?
Huyu mtoto wa mjini hakuna anayeweza kumshinda. Akiwekwa ndani akitoka aliyemuweka anafariki. Subirini mtaona. Mbwa wenu jiwe si mnaona alivyokufa kibwege?
Unajua madhara ya maandishibhaya kwako!?
 
Mtapunzisha wengi kama mlivyopanga lakini tutazalisha wengi zaidi ya mlivyopanga!!

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Tuking'oa mmoja mfumo mzima unaharibika.

Tumepiga kombora moja tu (la kumoumzisha jiwe), Slowslow, bar-she-rew, Hail Jee m.c, Sirbaya, Bashite, Char lameela, na wengine wengi wamepoteana.
 
Tuking'oa mmoja mfumo mzima unaharibika.

Tumepiga kombora moja tu (la kumoumzisha jiwe), Slowslow, bar-she-rew, Hail Jee m.c, Sirbaya, Bashite, Char lameela, na wengine wengi wamepoteana.
Ask who is behind those pioneers?
 
Wasalaamu!
Kiukweli kifo cha JPM kimeniumiza sana kisaikolojia.
bado naendelea kutafuta ukweli juu ya kifo chake ndani na nje ya JF.

So much informed but so much careful to conclude!

RiP Magufuli.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Itakusaidia nini watafutie ugali wanao
 
Wazee wa kuunganisha matukio .karibia watanzania wote ni waandika script
 
Back
Top Bottom