Je, Rais Magufuli alikuwa na Pacemaker au Defibrillator? Ilidukuliwa?
Futa au usifute...it is on analysis
Uh
giphy.gif
 
Kifo cha Mawazo, Azory, Ben, ulemavu wa Lissu... pia vinauma sana. Bora yeye huyo hakufa kwa risasi ila kwa corona.
Wasalaamu!
Kiukweli kifo cha JPM kimeniumiza sana kisaikolojia.
bado naendelea kutafuta ukweli juu ya kifo chake ndani na nje ya JF.

So much informed but so much careful to conclude!

RiP Magufuli.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
 
Lisu alikuwa anapewa na nani taarifa za kwamba Magufuli anaumwa na hatapona?

Bila shaka laptop za mbowe zilizokamatwa zimesema mengi kuhusu kundi la kigaidi.
Jiwe akimuweka ndani Mbowe akafa yeye. Sasa .......
 
Yule huwa ni mshindi mara zote. Yule bwege bin mshamba wenu alimuweka ndani kwa miezi mitatu akafa mwezi wa tatu.

Huyu bibi akimuweka ndani meezi mmoja atakufa January.
Ukizingua unazinguliwa
 
Uzuri wake kila anayemuweka ndani hufa. Subirini muone kifo cha aliyemuweka ndani.
Hafi kwa Taarifa yako.
This time hachomoki utauaje viongozi wa serikali tena wakubwa [emoji15][emoji15][emoji15][emoji33]
 
Wasalaamu!
Kiukweli kifo cha JPM kimeniumiza sana kisaikolojia.
bado naendelea kutafuta ukweli juu ya kifo chake ndani na nje ya JF.

So much informed but so much careful to conclude!

RiP Magufuli.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Umenikumbusha na Kabudi alivyo kua akinena.
 
Wasalaamu!
Kiukweli kifo cha JPM kimeniumiza sana kisaikolojia.
bado naendelea kutafuta ukweli juu ya kifo chake ndani na nje ya JF.

So much informed but so much careful to conclude!

RiP Magufuli.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Ule umati haukununuliwa ulilia kwa uchungu sana pamoja na mimi yale yaliyojificha yatafunuliwa yule jamaa wa kaskazini nawasiwasi nae sana tena sana yawezekana ukweli ukajurikana
 
Maandiko matakatifu yanatufundisha kwamba shetani ni mbaya sana. Kwakuwa shetani ana roho mbaya kuliko Mwendazake, basi shetani itakuwa ana roho mbaya sana.
 
Back
Top Bottom