Je, Rais Samia huyu Waziri wako Mwandamizi aliye nyuma ya hii Timu ya DTB ya Championship hizi Pesa anazoweka huko siyo kwamba huwa anakuibia?

Huyu ni mwanaume wa kwanza mumbeya toka musoma iweko duniani

Musoma hakuna hata mwanamke mumbeya huwezi kumpata
Nimefurahi sana kuutaja Mkoa wa Wanamume, Watu Werevu Kiasili, Wasomi na Mashujaa ( Majasiri ) wa Asili wa Mara ( Musoma )

Na Mkoa wa Mara ndiyo umeleta Uhuru.
 
Viongozi wanaomiliki timu za mpira,wahojiwe pesa za kuendesha timu hizo wanazitoa wapi,?
Tuanze na mmiliki wa namungo fc

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Kwani DTB inamilikiwa na serikali? KMC inamilikiwa na serikali za mitaa.
 
Viongozi wanaomiliki timu za mpira,wahojiwe pesa za kuendesha timu hizo wanazitoa wapi,?
Tuanze na mmiliki wa namungo fc

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Wa Namungo FC kwakuwa ni ya muda mrefu tumsamehe Mkuu ila Mimi GENTAMYCINE nataka tuanze rasmi na huyu Waziri Mwandamizi ( Serikali ya sasa ya Rais Samia ) ambaye kwa 100% ndiyo Mmiliki wa DTB FC kwani kwa Huduma za First Class ambayo Timu hii ya DTB inapata ( ambayo inazidi hata Timu za Ligi Kuu ) ni lazima tu huyu Waziri atakuwa anamuibia Mama ( Rais Samia ) Pesa kule ( pale ) Hazuna.
 
Achunguzwe

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Usimpangie namna ya mtu kutumia pesa yake ambayo kaipata kihalali na kodi kakatwa ana uhuru wa kuifanyia chochote kuhonga,kupeleka kwa mitume na manabii matapeli,kuanzisha timu yake popote nk

pambana na hali yako
Mkuu umeelewa nilichokiandika au umekuja kuninukuu bila kuelewa nilichomaanisha?
 
Wakati anahonga wewe huwa uko nae?
Hebu acha udwanzi mwache afanye atakacho na wewe iba basi kama unadhani ni rahisi

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kwa tozo zisizo na mwenyewe matumizi yake ni kujiamulia tu jumlisha hizi za IMF zinazoenda kuliwa kijanja kupitia ujenzi na utalii hewa ushindwe kumiliki vilabu vya kandanda kila kona.......ngoja tuone awamu hii ile kampuni itashusha mabasi mapya mangapi, endeleeni kutukamua tu naona mnazidi kunogewa....​
 
Nyie mashabiki wa yanga acheni kuleta utoto na ujinga wenu hapa! kila ishu ikiibuliwa ikiwahusu maboss wenu huwa mnalalama na kuleta usimba vs Uyanga ili kupoza mambo.. kama huyo premier mnahisi ni boss wa namungo kwa nini mlishindwa kuleta hoja humu tukaijadili? acha boss wenu achunguzwe tu.. yawezekana tozo za miamara haziendi sehemu sahihi.
 
Wengi mmempuuza Gentamycine lakini jamaa ana hoja!

Mimi mwenyewe sikuwa najua DTB ni timu ya Madelu mpaka siku moja redioni nilipomsikia Juma Abdul akihojiwa kwanini umeenda kucheza DTB tena ligi daraja la kwanza?

Juma Abdul Mnyamani akajibu kuwa Madelu alinipigia simu akanipa ofa nzuri ikabidi nisajili huko!

Tafuteni hiyo clip ipo mpaka youtube! Hapo ndipo nikajua Alizeti Fc imerudi kivingine!
 
Gentamycine kwa huu uzi umetumia ujasili na naakili sana ila wengi watakupuuza!!
 
Unamjuwa mmiliki wa mabasi ya Easter?
 
Ni waziri aliyeiba jina la mtoto wa kisukuma japo yeye wa kanda ya kati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…