Sio kweli, labda kama haujaelewa mada.
Hakuna basi ambalo halipakii wala kushusha abiria stendi ya Mbezi. Hii ni bila kujali kwamba basi hilo lina ofisi Shekilango ambako nako linapakia au kushusha.
Kwa kifupi, ni kosa kubwa kwa basi kutoingia stendi. Iwe ni stendi ya Mbezi, Kibaha, Stendi mpya Dodoma, Igumbilo, au yoyote ile.
Mfano new force inapotoka shekilango lazima ipite stendi ya mbezi, vile kwa dar lux...
Kuna basi za arusha, kaskazini yote zinazo zungukia chalinze , kuna basi ukanda wa arusha tanga moshi zinatoka stendi, kupita goba madale bagamoyo road.
Nenda rudi hivyo. Changamoto iko wapi
Nasafiri mara nyingi tanga - dar, huwa napanda magari ya tashirif yanaenda mtwara na masasi. Kwanza haya mabasi yanaenda stand mbezi Louis kushusha abiria kabla ya kwenda mbagala. Tunaoenda mjini kati wanatupa msaada Hadi shekilango. Sasa ubaya uko wapi? Wewe utakuwa wale pingapinga au mchawi.Ahlan wa sahlan
Naiomba serikali ifunge hizi ofisi uchwara zilizopo hapa maeneo ya shekilango na Urafiki. Mabasi ya mikoani yamekuwa hayaendi tena kupaki stendi ya Magufuli pale Mbezi badala yake yamekuwa yakijazana maeneo ya Shekilango na Urafiki nyakati za Alfajiri na Mchana. Najiuliza ile stendi ya mabilioni pale Mbezi imejengwa kwa ajili ya kina nani?
Wahusika mpo na mnalifumbia mamcho jambo hili.Stendi imekuwa ikikosa mapato ya getini kwa abiria wanaoingia ndani ya stendi kutokana na watu sasa kumiminika kwenda maeneo ya Urafiki na Shekilango.
Wito wangu kwa serikali ni kuhakikisha mnazifunga mara moja ofisi hizi uchwara za haya mabasi hapa Shekilango na urafiki kwani hawa jamaa wameshageuza eneo hili kuwa ni terminal
Anakaa kwa mume wa Dada huyo haelewi maisha. Achana nae pimbi mleta mada.Nadhani OFISI na STENDI ni vitu viwili tofauti.
"Ofisi zetu zinapatikana stendi ya Magufuli, chumba namba 37".
Kitu kibaya ni pale "ofisi" zinapoifanya kampuni ya mabasi isitumie huduma za "stendi".
Kwa ufahamu wangu najua mabasi yote yanatumia huduma za stendi bila kujali wana ofisi Shekilango, Magomeni, Manzese au eneo lolote lile.
Mimi sioni ubaya maana lengo kusudiwa la kujengwa kwa stendi bado linatimizwa.
Labda tu uwe umeamua kuwafanyia UKATILI hawa watu wa usafirishaji.
Kuna mabasi hayafanyi hivyo, soma hiyo post yangu ya juu
Ni dhulma mnooo na wanaudhi sana!ule nafikiri ni mradi wa watuUmeshaenda pale Magufuli stand siku za karibuni au umeambiwa tu?
Whether una tiketi au huna, hiyo 300 getting utalipa tu.
Unawajua Suma JKT?
Pesa ndo kila kituZilipaswa kuwa ofisi tuu sasa wamezigeuza stand kabisa. Money talk my brother
Na wewe una support mawazo yaliyokufa ya mtoa mada.Nashangaa sana Kila basi sasa limeanzisha kituo chake, yaani wengine Shekilango, wengine Tabata, wengine Buguruni n.k.
Mamlaka zipo kimyaaaaaaa.
LATRA wapo, Waizara ya usafirishaji wpo, n.k.
kinacho fanywa na baadhi ya makampuni ni uvunjifu wa sheria na taratibu, hivyo ni lazima sheria zisimamiwe.
[emoji1787] [emoji1787]Kama Kilimanjaro Express wameturahisishia sana pale Shekilango. Ni yaani unasubiri mgeni wako huku unakunywa safari lager ya baridi kwenye bar yao ya palepale.
mnoko weweAhlan wa sahlan
Naiomba serikali ifunge hizi ofisi uchwara zilizopo hapa maeneo ya shekilango na Urafiki. Mabasi ya mikoani yamekuwa hayaendi tena kupaki stendi ya Magufuli pale Mbezi badala yake yamekuwa yakijazana maeneo ya Shekilango na Urafiki nyakati za Alfajiri na Mchana. Najiuliza ile stendi ya mabilioni pale Mbezi imejengwa kwa ajili ya kina nani?
Wahusika mpo na mnalifumbia mamcho jambo hili.Stendi imekuwa ikikosa mapato ya getini kwa abiria wanaoingia ndani ya stendi kutokana na watu sasa kumiminika kwenda maeneo ya Urafiki na Shekilango.
Wito wangu kwa serikali ni kuhakikisha mnazifunga mara moja ofisi hizi uchwara za haya mabasi hapa Shekilango na urafiki kwani hawa jamaa wameshageuza eneo hili kuwa ni terminal
Atakuwa Konda huyo jamaa [emoji23][emoji23]mnoko wewe
Mabasi ya Abiria lazima yapakize abiria ktk Kituo cha Mabasi Magufuli, kinyume cha hapo ni uvunjifu wa sheria.Na wewe una support mawazo yaliyokufa ya mtoa mada.
Kwani shida iko wapi kwa makampuni kuweka ofisi zao karibu na wateja wao?
Hebu jaribuni kuangalia positivity, pale mbezi ni favorite kwa wakazi wa jirani na maeneo yale tu
Kama hilo umeona ni tatizo huoni kuna haja ya kuwa na vituo kama cha magufuli maeneo ya katikati ya jiji, mbagala na sehemu zingine zenye uhitaji?Mabasi ya Abiria lazima yapakize abiria ktk Kituo cha Mabasi Magufuli, kinyume cha hapo ni uvunjifu wa sheria.
LATRA wanao wajibu wa kusimamia Sheria za usafirishaji wa abiria pamoja na mamlaka zingine.
tabia hii ikiachiwa italeta vurugu na itafikia mahala kila basi litajipakizia abiria wake mahala popote inpo jisikia.
maana ya kuwa na kituo cha Mabasi itakuwa hakuna tena.
Tafadhali Malaka husika zisimanie Sheria na Taratibu.
Hii ndio solution, huwezi kuwa na kituo kimoja jiji zima, kwa nini wasijifunze kwa wenzetu? Weka Samia Terminal Bagamoyo road, weka Majaliwa Terminal huko Mbagala(si wanapenda viitwe majina yao).Kama hilo umeona ni tatizo huoni kuna haja ya kuwa na vituo kama cha magufuli maeneo ya katikati ya jiji, mbagala na sehemu zingine zenye uhitaji?
AbsolutelyHii ndio solution, huwezi kuwa na kituo kimoja jiji zima, kwa nini wasijifunze kwa wenzetu? Weka Samia Terminal Bagamoyo road, weka Majaliwa Terminal huko Mbagala(si wanapenda viitwe majina yao).