PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Mtoa mada naona ni mgeni hapa DAR hiyo ndiyo shida yake inamsumbua.Kwani mapato ya stand yanategemea abiria kulipia getini au. Kwani zile ofisi ndani ya stand watu wanakaa Bure. Kila bus ni lazima liingie stand na kulipia. Siyo urafiki na Shekilango Kuna ofisi za mabasi tu. Hata Mbagala, Chanika, Temeke zipo.
sasa ya ubungo ilikywa tofayti?Stand ya Magufuli Mbezi ulikuwa ubunifu usiokuwa na tija. Kwenda kurundika mabasi zaidi ya 300 yanayotakiwa kuondoka kwenda mikoani kwa wakati mmoja ni kituko. Dsm inahitaji stendi nyingi kulingana na eneo ambako magari yanaelekea.
Hapo Mbezi kwenyewe kutafuta gari linalohusika upande ni vurugu na mbinde.
Watu hawasemi lakini Stendi ya Mbezi haina tija kwa wananchi. Labda makusanyo ya serikali tu. Ndio maana mwanzishaji three hii kaona eneo moja tu la ukusanyaji mapato.
Mabasi ya Abiria lazima yapakize abiria ktk Kituo cha Mabasi Magufuli, kinyume cha hapo ni uvunjifu wa sheria.
LATRA wanao wajibu wa kusimamia Sheria za usafirishaji wa abiria pamoja na mamlaka zingine.
tabia hii ikiachiwa italeta vurugu na itafikia mahala kila basi litajipakizia abiria wake mahala popote inpo jisikia.
maana ya kuwa na kituo cha Mabasi itakuwa hakuna tena.
Tafadhali Malaka husika zisimanie Sheria na Taratibu.
Umasikini unakutesaAhlan wa sahlan
Naiomba serikali ifunge hizi ofisi uchwara zilizopo hapa maeneo ya shekilango na Urafiki. Mabasi ya mikoani yamekuwa hayaendi tena kupaki stendi ya Magufuli pale Mbezi badala yake yamekuwa yakijazana maeneo ya Shekilango na Urafiki nyakati za Alfajiri na Mchana. Najiuliza ile stendi ya mabilioni pale Mbezi imejengwa kwa ajili ya kina nani?
Wahusika mpo na mnalifumbia mamcho jambo hili.Stendi imekuwa ikikosa mapato ya getini kwa abiria wanaoingia ndani ya stendi kutokana na watu sasa kumiminika kwenda maeneo ya Urafiki na Shekilango.
Wito wangu kwa serikali ni kuhakikisha mnazifunga mara moja ofisi hizi uchwara za haya mabasi hapa Shekilango na urafiki kwani hawa jamaa wameshageuza eneo hili kuwa ni terminal
We utakuwa abiria wa Ngorika maana sio kupanic huloWabongo ni moja ya watu maamuma sana...
Yaani ukimpa mfano, basi huufanya mfano kuwa habari kamili...
Kama unaishi Dar es salaam, fika maeneo tajwa kafanye utafiti, na kama unaishi Kigonsera huko endelea kusoma tu comments
Nini maana ya ofisi Mtoa hoja ana wivu wa kijinga sana, fikiria MTU unakaa Sinza, Mwenge, Mburahati, Ubungo na kwingineko makampuni yanaamua kutoa huduma kwa wananchi kuwapunguzia Mzigo wa gharama za Bajaji, Taxii, Uber na kadhalika na kuwaingiza katikati ya Mji bila gharama ya Ziada!!! Yaani ndio utagundua waafrika no Kizazi cha laana!! Waheshimiwa Wabunge wa majimbo husika ndio muda wa kuonyesha mshikamano na hawa wenye Mabus!!Zilipaswa kuwa ofisi tuu sasa wamezigeuza stand kabisa. Money talk my brother
Sauli ana maBus mengi, huenda mojawapo la lililojaa likikiona chart imejaa halina wa kwa Magufuli linapitiliza, NI MAKOSA.Naona watu hamna reference...
Mathalani, basi la Sauli halipiti stendi ya Mbezi, na linaanzia safari zake hapo Urafiki kwenye ofisi zake mbili...sijui kama unafahamu hili?
Likitoka hapo linaenda simama Kibanda cha Mkaa, baada ya hapo linaendelea zake kwenda mikoani huko
Nini maana ya ofisi Mtoa hoja ana wivu wa kijinga sana, fikiria MTU unakaa Sinza, Mwenge, Mburahati, Ubungo na kwingineko makampuni yanaamua kutoa huduma kwa wananchi kuwapunguzia Mzigo wa gharama za Bajaji, Taxii, Uber na kadhalika na kuwaingiza katikati ya Mji bila gharama ya Ziada!!! Yaani ndio utagundua waafrika no Kizazi cha laana!! Waheshimiwa Wabunge wa majimbo husika ndio muda wa kuonyesha mshikamano na hawa wenye Mabus!!
Mazingira gani unamaanisha!?Lazima sheria za jiji zifuatwe pamoja na kulinda mazingira.
Unaweza nitajia bus moja tu ambalo haliingii stand ya mbezi?Alichoandika mleta mada kina mantiki...
Kuna mabasi yanayoanza na kumalizia safari hapo Shekilango/Urafiki na hayafiki kabisa kwenye hiyo stendi mpya...
Abiria akihitajika kupanda basi, analazimika kwenda hapo Shekilango/Urafiki...
Ilianza kama utani hivi kwa New Force, Dar Lux na Kilimanjaro, lakini sasa hivi kuna makampuni si chini ya 15...
kuna mdau alisema darlux ila sikumjibu darlux zinapita sana pale stendiUnaweza nitajia bus moja tu ambalo haliingii stand ya mbezi?
Nijuavyo mm pamoja na kuwa na ofs.apo lkn gari uwa zinapita stendi ya mbezi ila km hazipiti,gari zpo nyng,si lazima upande hzo.Panda gari nyngne....Alichoandika mleta mada kina mantiki...
Kuna mabasi yanayoanza na kumalizia safari hapo Shekilango/Urafiki na hayafiki kabisa kwenye hiyo stendi mpya...
Abiria akihitajika kupanda basi, analazimika kwenda hapo Shekilango/Urafiki...
Ilianza kama utani hivi kwa New Force, Dar Lux na Kilimanjaro, lakini sasa hivi kuna makampuni si chini ya 15...
Kiongozi,Ahlan wa sahlan
Naiomba serikali ifunge hizi ofisi uchwara zilizopo hapa maeneo ya shekilango na Urafiki. Mabasi ya mikoani yamekuwa hayaendi tena kupaki stendi ya Magufuli pale Mbezi badala yake yamekuwa yakijazana maeneo ya Shekilango na Urafiki nyakati za Alfajiri na Mchana. Najiuliza ile stendi ya mabilioni pale Mbezi imejengwa kwa ajili ya kina nani?
Wahusika mpo na mnalifumbia mamcho jambo hili.Stendi imekuwa ikikosa mapato ya getini kwa abiria wanaoingia ndani ya stendi kutokana na watu sasa kumiminika kwenda maeneo ya Urafiki na Shekilango.
Wito wangu kwa serikali ni kuhakikisha mnazifunga mara moja ofisi hizi uchwara za haya mabasi hapa Shekilango na urafiki kwani hawa jamaa wameshageuza eneo hili kuwa ni terminal
Sio wivu Jamaa atakuwa mpiga debe wa pale mbeziUkiangalia hoja kwa undani ni wivu tu unamsumbua mleta hoja