Shakidinkili
JF-Expert Member
- Sep 28, 2013
- 458
- 174
Shetani ni nafsi yako inapotenda kinyume na matakwa ya Mungu. Jiangalie ulivyo ujue ukitenda kinyume na makusudio ya Mungu basi Shetani ndivyo alivyo ni wewe.Ni dhahiri asilimia kubwa ya wanaofanya makosa huyahusianisha na kitu kisichoonekana na kinachokinzana na Mungu kiitwacho shetani. Je, shetani kweli yupo? Anaishi mazingira yapi na kwa nini Mungu anashindwa kumdhibiti ili binadamu waishi kwa ustaarabu na kutotenda dhambi kabisa? Je, nani anaweza kuzithibitisha theologies za huyo shetani kiumbo, mtazamo, mnyumbuliko na kiakili bila kuhusianisha imani?
Learning has no boundaries......
Elezea kidogo namna mashetani wanavyozalianaWapendwa shetani ni wale malaika wabaya waliofukuzwa na mwenyezi mungu mbinguni, ni wale malaika waliokataa kumtii mungu na walikuja duniani wakazaliana sana,na wako wengi mno na kazi yao hasa wanatafuta wale wanaopingana na mambo ya mungu ili wapate wafuasi wao!!,ila tukirudi kwa upande mwingi tena Jini ni shetani???
ukweli hatuabudu sanamu bali mtu alie mbinguni...Lile sanam walolifanya wazungu wana agenda yao.Anyway kama ulimaanisha mzungu ndo huyo shetani haya...Mwarabu ye malaika..UmeshindaEwe punguani, povu linakutoka kwa kukufahamisha shetani wa kibinadamu ni yupi.
Unaonesha wewe umeshaingizwa mkenge na shetani na unaabudu sanamu la mzungu aliyevishwa nepi.
Mleta mada angetaka hii mada isichangiwe kiuwazi angeifanya private, au haujui kutumia vizuri features za JF? Kwa hiyo ondokana na huo upuuzi wa eti kuvamia mada za watu.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
ukweli hatuabudu sanamu bali mtu alie mbinguni...Lile sanam walolifanya wazungu wana agenda yao.Anyway kama ulimaanisha mzungu ndo huyo shetani haya...Mwarabu ye malaika..Umeshinda punguani mwenzangu!
FaizaFoxy mfano mtu akiniibia au kunishawishi nitende dhambi, je huyo tutamchukulia kama nani? Je, kuna roho iitwayo shetani imemfanya kuniibia au ni yeye binafsi? Kama ni shetani, amemfikiaje huyo ndugu?Ewe punguani, povu linakutoka kwa kukufahamisha shetani wa kibinadamu ni yupi.
Unaonesha wewe umeshaingizwa mkenge na shetani na unaabudu sanamu la mzungu aliyevishwa nepi.
Mleta mada angetaka hii mada isichangiwe kiuwazi angeifanya private, au haujui kutumia vizuri features za JF? Kwa hiyo ondokana na huo upuuzi wa eti kuvamia mada za watu.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Hiyo ya kuabudu nayo ni issue hatujui. Mtu anaweza kwenda kanisani miaka na mikaka bila kuabudu. Kuabudu ni somo deep. Swali, shetani ni nini na je, kwa nini Mungu amuache tu kutuvuruga?ukweli hatuabudu sanamu bali mtu alie mbinguni...Lile sanam walolifanya wazungu wana agenda yao.Anyway kama ulimaanisha mzungu ndo huyo shetani haya...Mwarabu ye malaika..Umeshinda
Because people are differentMshana jr, why differences in belief?
Kama wewe unaamini kuwa kuna malaika walimuasi mungu wakafukuzwa ndiyo mashetani,basi utagundua kwamba baada ya wao kuasi ndipo walipopata hiyo sifa mbaya ya ushetani,hivyo hata binadamu aweza kuwa na sifa ya kishetani. Majini ni viumbe nao kama walivyo binadamu.Wapendwa shetani ni wale malaika wabaya waliofukuzwa na mwenyezi mungu mbinguni, ni wale malaika waliokataa kumtii mungu na walikuja duniani wakazaliana sana,na wako wengi mno na kazi yao hasa wanatafuta wale wanaopingana na mambo ya mungu ili wapate wafuasi wao!!,ila tukirudi kwa upande mwingi tena Jini ni shetani???
Hii Kali...Hakuna shetani,hakuna Mungu!
Kuishi kwa wema ndiyo kupi huko?vp kuhusu pepo na moto?Tunaamini Mungu ana nguvu kuliko kila kitu, alituumba ili tuishi kwa wema. Kwa nini alimuacha shetani kutuvuruga na akijua hatumuwezi shetani? Shetani ni kijitu gani?
Kwa muktadha gani?Kwani Mungu alituumba tutofautiane?
Mungu aliumba mtu mume na mtu mkeKwa muktadha wa ufahamu na uelewa
Kwahyo yule anasemwa kwenye vtabu amemuasi mungu n uongo?Shetani ni nafsi yako inapotenda kinyume na matakwa ya Mungu. Jiangalie ulivyo ujue ukitenda kinyume na makusudio ya Mungu basi Shetani ndivyo alivyo ni wewe.
Hapa mi mwenyew pananishinda mshana anasema shetani n roho, wengne wanatuambia n malaika waliomuasi mungu, wengine wanasema shetani Wa MTU ni MTU kwa maana hata MTU anaweza kuwa shetani. Kila MTU anasema vyakeTunaamini Mungu ana nguvu kuliko kila kitu, alituumba ili tuishi kwa wema. Kwa nini alimuacha shetani kutuvuruga na akijua hatumuwezi shetani? Shetani ni kijitu gani?