Je, Taasisi na Mashirika wafanye saili kama kipindi cha Kikwete?

Je, Taasisi na Mashirika wafanye saili kama kipindi cha Kikwete?

Je, Taasisi na Mashirika yafanye saili kama kipindi cha Kikwete?

  • Ndiyo

    Votes: 29 49.2%
  • Hapana. PSRS iendelee kukanda tu 🤣

    Votes: 30 50.8%

  • Total voters
    59
  • Poll closed .
Kwa upande wa ajira za walimu huyu Raisi alijitaidi sana. Wahitimu wakimaliza walikuwa wanapangiwa vitu.. pongezi sana kwake.
Mpaka majeshini, Mara ya mwisho aliajiri wanajeshi madereva la Saba, form fail asali kwa wote , watu walikuwa madereva tax, hiace, Sasa hivi makopro ma mp, jk mwana Sana.
 
Sipo PSRS ni mtoto wa masikini niliyepata ajira kupitia PSRS.. kama kuna udhaifu watajirekebisha. Ila kwa maono 30% wanaolalamikia mchakato wa PSRS ni wanaotaka connections , na PSRS wameziba , angalia ajira za juzi watu wengi wamepata.. mchakato ni wa haki ila kama kuna mapungufu endelea kuwapa maoni watafanyia kazi.
Umeziona post za udsm zilizotoka juzi, nusu ya zile post ni re advatise, PSRS waliwapelekea udsm watu wasio kidhi vigezo,

Kuna maswali mengi ya kujiuliza hapa,👆

Kufanya interview pekee na kufaulu sio kipimo Cha 💯 kusema kwamba huyu mtu ana fiti kitengo fulan, Bali Kuna vigezo vingine kama nidhamu, kujituma kufanya kazi kwa bidii, kuwa mbunifu , kuweza kutoa maamuzi ya haraka na Kwa usahihi, kujiamini,.etc

Sasa hivi vitu Huwezi kuvikuta kwenye panels,labda kama mtu alikuwa anafanya internship, hii inakuwa rahisi sana Kwa taasisi kuamua kumuajiri Moja Kwa Moja au kumuacha Kwa sababu criteria zote wanazozihitaji kama taasisi Kwa uyo mtu wanazifahamu vizuri, kuliko MTU afanyie interview na PSRS alufa apelekwe kwenye taasisi kisa kafaulu interview, taasisi nyingi huwa hawakubali Kwa sababu Wana utaratibu wao wa kufanya kazi, huwa wanaenda kujua tabia za wahitimu kwanza kabla hawaja waajiri Moja Kwa Moja,

Labda haya Mambo yakupeleka watu waliofanya interview PSRS yafanyike huko halmashauri, Kwa sababu huku hakuitaji ubunifu Sanaa, atakama umefoji vyeti we twende tuu

SS inategemea unakuta Kuna panels Kama tatu hivi ,1 ndio Iko poa hizo nyingine ni zamoto balaa, na placement zikitoka Ile panel 1 ndio inatoa watu wengi.
Kuna mengi sana humu kwenye interview panels yanatokea.

Nainategemea ww mtainiwa na wao wakandaji wameamkaje siku hiyo Kwa kweli Hali n mbaya sana.

Kwahiyo kufaulu interview PSRS Sio kigezo pekee kwamba unafit kwenye kitengo Fulani.

Kuna haja ya kuwaangalia wanazofanya internship kwenye taasisi na mashirika , walimu, wahudumu wa afya kupewa kipaumbele zaidi
 
Mpaka majeshini, Mara ya mwisho aliajiri wanajeshi madereva la Saba, form fail asali kwa wote , watu walikuwa madereva tax, hiace, Sasa hivi makopro ma mp, jk mwana Sana.
Kipindi Cha jk kama una ujuzi wowote Huwezi kuwa masikini, Yan vijana walilamba asali kimasihara sana mpaka raia wa nchi jirani Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Congo walimiminika bongo waliona fursa za kiuchumi ziko nyingi sana. wafanyabiashara walifanya kazi kwa uhuru, Mzumguko wa fedha ulikuwa wa kutosha
 
Pia kuwepo kwa Elimu bure kumesababisha Serikali ikose pesa ya kuajili walimu wapya ,


Kikwete was the master of kila kitu anabidi Kupewa heshima yake.
KiKwete alikuwa MTU wa watu bhana, anajua vipaumbele vya raia ,hakurupuki TU, kufanya mipango Kwa ajili ya nchi yake
 
Kati ya makosa yalifanyika Nchi hii ni Jiwe kupewa Urais.. jamaa alikuwa mtu wa Kisasi, mwizi (hela kaficha China), Muuaji ( maiti Mto Ruvu) plus uovu na uchafu kibao.
Alikuwa kiongozi wa bahati mbaya
 
Ewe Kilaza mwenye ndugu zako ambao unataka Wakushike Mkono Jua umeeumiw Nenda kapambana na wanaume wenzio PSRS sio Kutegemea Back up ya Mjomba
Ivi unafikiri kama nina ndugu kama unavyo Sema ninashindwa kupita , Kwan wale Tra mwaka jana walipitaje PSRS, Tena walikuwa ni watu wengi sio ata mtu mmoja.

Ni vile TU nyie vijana bado ni washamba MMetolewa chitoholi , bado mnavitu vingi vya kujifunza.

Na bado mpaka Kesho watoto wa ma CEO wote wanapitishwa psrs, cjui ww PSRS umefika ln , Kaa vizur na watu Wakuelekeze ukijifanya mjuaji uta chekwa
 
Umeziona post za udsm zilizotoka juzi, nusu ya zile post ni re advatise, PSRS wakiwapelekea udsm watu wasio kidhi vigezo,

Kuna maswali mengi ya kujiuliza hapa,
Kufanya interview pekee na kufaulu sio kipimo Cha 💯 kusema kwamba huyu mtu ana fiti kitengo fulan, Bali Kuna vigezo vingine kama nidhamu, kujituma kufanya kazi kwa bidii, kuwa mbunifu , kuweza kutoa maamuzi ya haraka na Kwa usahihi, kujiamini,.

Sasa hivi vitu Huwezi kuvikuta kwenye panels,

SS inategemea unakuta Kuna panels Kama tatu hivi ,1 ndio Iko poa hizo nyingine ni zamoto balaa, na placement zikitoka Ile panel 1 ndio inatoa watu wengi.
Kuna mengi sana humu kwenye database interview yanatokea
Hapo kwenye database kidogo kuwe na uwazi , pia mtu anapokuwa kwenye data base wasimtoe ndani ya miezi 6 kama wanavyofanya sasa. Na kwa upande wa panel nadhani napo waangalie kwenye mapungufu wajifunze..
 
Hapo kwenye database kidogo kuwe na uwazi , pia mtu anapokuwa kwenye data base wasimtoe ndani ya miezi 6 kama wanavyofanya sasa. Na kwa upande wa panel nadhani napo waangalie kwenye mapungufu wajifunze..
Changamoto wanazo nyingi kuzirekebusha hawataki wanaamua kuzificha
 
Kwanini


utumishi


Wanatumia


Muda mrefu kuita watu



kazini



SWALI MTAMBUKA
Je Taasisi na mashirika wafanye saili kama kipindi Cha jk ?

Mshana Jr Bujibuji Simba Nyamaume @
Kindly write your comments
 
Kutokana na PSRS kushindwa kufanya kazi kwa ukweli, welidi, ubunifu, hivi vitendo vimepelekea kuwa na shutuma nyingi juu ya utendaji wa hii TAASISI.

Na hivyo wadau tukamkumbuka bingwa wa diplomasia jk kipindi Cha uongozi wake jinsi michakato ya ajira ulivyokuwa inafanyika, watu walikuwa wanapata ajira mapema, na wengine kubadilisha ajira kwenye taasisi tofauti ndani ya mwaka mmoja TU Yan,

So tunaomba maoni yenu Ili yawafikie wahusika

SWALI MTAMBUKA
Je Taasisi na mashirika wafanye saili kama kipindi Cha jk ?
PSRC haina maana yoyote. Taasisi ziajiri zenyewe. Kinachofanywa na PSRC ni kudhalilishq watanzania, wanaitwa watu 1000 nafasi
moja siyo sawa. Tangia tupate uhuru tàasisi zimekuwa zikiajiri zenyewe, wao ndiyo wenye uhitaji waachiwe jukumu la kuajiri wenyewe kwa kadiri ya uharaka walionao, hawa jamaa wa tume kwanza wanachelewesha sana
 
📌📌KIteng€ kapitie report ya CAG Kuna taarifa pale umeachiwa
 
PSRC haina maana yoyote. Taasisi ziajiri zenyewe. Kinachofanywa na PSRC ni kudhalilishq watanzania, wanaitwa watu 1000 nafasi
moja siyo sawa. Tangia tupate uhuru tàasisi zimekuwa zikiajiri zenyewe, wao ndiyo wenye uhitaji waachiwe jukumu la kuajiri wenyewe kwa kadiri ya uharaka walionao, hawa jamaa wa tume kwanza wanachelewesha sana

Tutadhibiti vipi nepotism??
 
Magufuli yule alikuwa laana sana ,kavuruga kila kitu na kuweka mifumo yake ya kipuuz na mapandikizi yake kwenye mfumo ,ndio hayo yanayoendekeza bureaucracy na upuuz hadi sasa
 
PSRC haina maana yoyote. Taasisi ziajiri zenyewe. Kinachofanywa na PSRC ni kudhalilishq watanzania, wanaitwa watu 1000 nafasi
moja siyo sawa. Tangia tupate uhuru tàasisi zimekuwa zikiajiri zenyewe, wao ndiyo wenye uhitaji waachiwe jukumu la kuajiri wenyewe kwa kadiri ya uharaka walionao, hawa jamaa wa tume kwanza wanachelewesha sana
Umesema 💯 ukweli ankoli, Taasisi na mashirika waachiwe wafanye saili wenyewe kama zamani Kwan wao Ndio wanajua Mahitaji halisi ya Taasisi zao Kwa wakati muuafaka.

Kusema saili zote za ajira kwenye Taasisi na mashirika zifanywe PSRS, hicho kitu ni hakiwezekani na haiingii akili kabisa.

PSRS ni bureaucracy Kwa vijana wasipate Ajira Kwa wakati
 
Magufuli yule alikuwa laana sana ,kavuruga kila kitu na kuweka mifumo yake ya kipuuz na mapandikizi yake kwenye mfumo ,ndio hayo yanayoendekeza bureaucracy na upuuz hadi sasa
Lilikuwa ni wazo la kidikteta sana, kulazimisha Taasisi na mashirika yote wa recruiting kupitia PSRS.

Nashaa Kwa NN mpaka SS serikali ya Raisi Samia Bado wanalifumbia macho hili swala, wakati hiti kitu kinawaumiza watanzania ambao ndio wapiga kura wake Ccm chama changu
 
Back
Top Bottom