Je, Taasisi na Mashirika wafanye saili kama kipindi cha Kikwete?

Je, Taasisi na Mashirika wafanye saili kama kipindi cha Kikwete?

Je, Taasisi na Mashirika yafanye saili kama kipindi cha Kikwete?

  • Ndiyo

    Votes: 29 49.2%
  • Hapana. PSRS iendelee kukanda tu 🤣

    Votes: 30 50.8%

  • Total voters
    59
  • Poll closed .
Mleta Maada ni vile members wengi hawakufahamu humu ndani.Ila wewe ni mmoja ya msomi Mpuuzi,wewe unadhani serikali hawana akili mpaka wakaanzisha chombo Cha kuajiri???
Tunayejua magumu ya Ajiri ni Sisi tuulize huko kwenyewe Polisi,Takukuru,JWTZ tunaona kila siku rafiki zetu Wana sifa zote za kuwa askari na Wanapenda lakini wanakosa.Na hao wenzetu wanaopata kazi wanajisifu jinsi gani walipata hizo kazi kuwa vyomboni humo....
Ajira ambazo Sasa mtu anapata kihalali zote ni kupitia PSRS,ambao hao wanaratibu tu hizo Ajira kuanzia mitihani mpaka mwisho Huku wakishirikiana Kwa Kila kitu na Taasisi Husika.Ndio maana kwenye Oral Interview watu wa Taasisi husika baada ya Mchujo ndio wao Huamua wamchukue nani na wamuache Nani.Tena Maofisa wa PSRS wakiwepo wakisimamia kuhakikisha Haki imetendeka na hakuna upendeleo....

Sasa nikirudi kwako.Wewe ni mtu tunayekufahamu na unajisifu una ndugu zako Wakubwa baadhi ya Mashirika Kwa hiyo unataka wazo lako la kukosa/kushindwa saili za PSRS basi Mashirika ya ajili kisa wewe upate kazi???? Mimi nasema Acha Upuuzi...

Leo hii unaona kuna Vijana wenzetu wanaopata kazi Mashirika yote ambayo zamani walisema kama huna ndugu yake pale huwezi pata.Angalia Leo hii TRA,Brela,NAOT ,EGA, na kwingineko kwingi tu Kuna Vijana wengi wamepata fursa kupitia hii PSRS,Huku connection zao akiwa Mungu...

Mtanzania ni mtu asiyeridhika na kitu chochote kile kizuri,wewe ni mmojawapo.
Mimi kiufupi kama mwana CCM nasema PSRS ndio kimbilio la wengi na Waendelee kuajiri wao.Hatuoni malalamiko kabisa Kwenye Ajira,uwazi na kufuata kanuni ndio msingi wao.Unaona Majina ya Kuitwa Usaili wa Mchujo Kwa uwazi,unaona matokeo ya Mtihani wa Mchujo muhusika kupitia namba Yako,Lakini pia mwisho kwa Uwazi unaona Majina ya Kuitwa Kazini Kwa Uwazi kabisa.Aisee PSRS Raha Sana.

Ushauri wangu kwako kijana,Jiandae kikamilifu,pambana na Muombe Mungu ipo siku utafanikiwa.
PSRS Iko Juu🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
 
Mleta Maada ni vile members wengi hawakufahamu humu ndani.Ila wewe ni mmoja ya msomi Mpuuzi,wewe unadhani serikali hawana akili mpaka wakaanzisha chombo Cha kuajiri???
Tunayejua magumu ya Ajiri ni Sisi tuulize huko kwenyewe Polisi,Takukuru,JWTZ tunaona kila siku rafiki zetu Wana sifa zote za kuwa askari na Wanapenda lakini wanakosa.Na hao wenzetu wanaopata kazi wanajisifu jinsi gani walipata hizo kazi kuwa vyomboni humo....
Ajira ambazo Sasa mtu anapata kihalali zote ni kupitia PSRS,ambao hao wanaratibu tu hizo Ajira kuanzia mitihani mpaka mwisho Huku wakishirikiana Kwa Kila kitu na Taasisi Husika.Ndio maana kwenye Oral Interview watu wa Taasisi husika baada ya Mchujo ndio wao Huamua wamchukue nani na wamuache Nani.Tena Maofisa wa PSRS wakiwepo wakisimamia kuhakikisha Haki imetendeka na hakuna upendeleo....

Sasa nikirudi kwako.Wewe ni mtu tunayekufahamu na unajisifu una ndugu zako Wakubwa baadhi ya Mashirika Kwa hiyo unataka wazo lako la kukosa/kushindwa saili za PSRS basi Mashirika ya ajili kisa wewe upate kazi???? Mimi nasema Acha Upuuzi...

Leo hii unaona kuna Vijana wenzetu wanaopata kazi Mashirika yote ambayo zamani walisema kama huna ndugu yake pale huwezi pata.Angalia Leo hii TRA,Brela,NAOT ,EGA, na kwingineko kwingi tu Kuna Vijana wengi wamepata fursa kupitia hii PSRS,Huku connection zao akiwa Mungu...

Mtanzania ni mtu asiyeridhika na kitu chochote kile kizuri,wewe ni mmojawapo.
Mimi kiufupi kama mwana CCM nasema PSRS ndio kimbilio la wengi na Waendelee kuajiri wao.Hatuoni malalamiko kabisa Kwenye Ajira,uwazi na kufuata kanuni ndio msingi wao.Unaona Majina ya Kuitwa Usaili wa Mchujo Kwa uwazi,unaona matokeo ya Mtihani wa Mchujo muhusika kupitia namba Yako,Lakini pia mwisho kwa Uwazi unaona Majina ya Kuitwa Kazini Kwa Uwazi kabisa.Aisee PSRS Raha Sana.

Ushauri wangu kwako kijana,Jiandae kikamilifu,pambana na Muombe Mungu ipo siku utafanikiwa.
PSRS Iko Juu🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Unachokisema kwamba psrs Ndio wanao tenda Haki hio Sio kweli,
Kwasababu Bado watu wanapita Kwa Upendeleo, rushwa, hakuna mkate mgumu mbele ya chai.

Unachotakiwa kusema ni kwamba psrs wanafanya kazi kwa mujibu was sheria, na Sio kutenda Haki , Haki inatafutwa na MTU mwenyewe,

Sheria inaweza kuwepo na Haki isitendeke, ni kama tuna vyoona police wanavyo wabambiakia kesi watu, na mahakama ikitoa mahamuzi ya hovyo Kwa sababu ya bahasha. Na Hali yakuwa sheria zipo na wanazijiua

Haki inatafutwa na SS tuko hapa kutafuta haki
GENTAMYCINE
 
Mleta Maada ni vile members wengi hawakufahamu humu ndani.Ila wewe ni mmoja ya msomi Mpuuzi,wewe unadhani serikali hawana akili mpaka wakaanzisha chombo Cha kuajiri???
Tunayejua magumu ya Ajiri ni Sisi tuulize huko kwenyewe Polisi,Takukuru,JWTZ tunaona kila siku rafiki zetu Wana sifa zote za kuwa askari na Wanapenda lakini wanakosa.Na hao wenzetu wanaopata kazi wanajisifu jinsi gani walipata hizo kazi kuwa vyomboni humo....
Ajira ambazo Sasa mtu anapata kihalali zote ni kupitia PSRS,ambao hao wanaratibu tu hizo Ajira kuanzia mitihani mpaka mwisho Huku wakishirikiana Kwa Kila kitu na Taasisi Husika.Ndio maana kwenye Oral Interview watu wa Taasisi husika baada ya Mchujo ndio wao Huamua wamchukue nani na wamuache Nani.Tena Maofisa wa PSRS wakiwepo wakisimamia kuhakikisha Haki imetendeka na hakuna upendeleo....

Sasa nikirudi kwako.Wewe ni mtu tunayekufahamu na unajisifu una ndugu zako Wakubwa baadhi ya Mashirika Kwa hiyo unataka wazo lako la kukosa/kushindwa saili za PSRS basi Mashirika ya ajili kisa wewe upate kazi???? Mimi nasema Acha Upuuzi...

Leo hii unaona kuna Vijana wenzetu wanaopata kazi Mashirika yote ambayo zamani walisema kama huna ndugu yake pale huwezi pata.Angalia Leo hii TRA,Brela,NAOT ,EGA, na kwingineko kwingi tu Kuna Vijana wengi wamepata fursa kupitia hii PSRS,Huku connection zao akiwa Mungu...

Mtanzania ni mtu asiyeridhika na kitu chochote kile kizuri,wewe ni mmojawapo.
Mimi kiufupi kama mwana CCM nasema PSRS ndio kimbilio la wengi na Waendelee kuajiri wao.Hatuoni malalamiko kabisa Kwenye Ajira,uwazi na kufuata kanuni ndio msingi wao.Unaona Majina ya Kuitwa Usaili wa Mchujo Kwa uwazi,unaona matokeo ya Mtihani wa Mchujo muhusika kupitia namba Yako,Lakini pia mwisho kwa Uwazi unaona Majina ya Kuitwa Kazini Kwa Uwazi kabisa.Aisee PSRS Raha Sana.

Ushauri wangu kwako kijana,Jiandae kikamilifu,pambana na Muombe Mungu ipo siku utafanikiwa.
PSRS Iko Juu🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mbona Taasisi nyingi watu wengi mlio wapelekea wamewarudisha mfano udsm,udom,

Hapo awali vyuo kama sua ,udsm, walikuwa wanawachagua wale best students, Na kuwafanya kuwa TA, na baadae kuwaajiri na kuwapa scholarship
Wakiangalia vitu mbalimbali mfano tabia, ubunifu,kujituma,

SS psrs wamekuja kudandia treni Kwa mbele , wameharibu Kila kitu Yan.

Psrs Wanataka kufanya saili zote za kwenye Taasisi na mashirika, ni Kwa sababu ya uroho wa posho mnazolipwa.

Ila kiukweli haiwezaki Taasisi (Psrs)Moja ifanye saili Kwa ajili ya Taasisi nyingi zote, hiki kitu hakiwezekani na hakii akilini kabisa
 
Mbona Taasisi nyingi watu wengi mlio wapelekea wamewarudisha mfano udsm,udom,

Hapo awali vyuo kama sua ,udsm, walikuwa wanawachagua wale best students, Na kuwafanya kuwa TA, na baadae kuwaajiri na kuwapa scholarship
Wakiangalia vitu mbalimbali mfano tabia, ubunifu,kujituma,

SS psrs wamekuja kudandia treni Kwa mbele , wameharibu Kila kitu Yan.

Psrs Wanataka kufanya saili zote za kwenye Taasisi na mashirika, ni Kwa sababu ya uroho wa posho mnazolipwa.

Ila kiukweli haiwezaki Taasisi (Psrs)Moja ifanye saili Kwa ajili ya Taasisi nyingi zote, hiki kitu hakiwezekani na hakii akilini kabisa
Acha propaganda za kijinga kijana.Mbona unakuwa kama mjinga mjinga hivi.Hivi unajua unachokisema??...
 
Utumishi hawasahihishi mitihani wanakuwa na watu wao tayari.
 
Jk na kiroboto na ni Mzee 😂
A1871E6A-F93D-4F5C-ABF1-85ACEABA030C.jpeg
C98B8CB0-5B4A-4C16-BDAE-5DA042CD2E03.jpeg
fb_img_1681325895931-jpg.2585837
 

Attachments

  • FB_IMG_1681325895931.jpg
    FB_IMG_1681325895931.jpg
    85.4 KB · Views: 39
Mbona Taasisi nyingi watu wengi mlio wapelekea wamewarudisha mfano udsm,udom,

Hapo awali vyuo kama sua ,udsm, walikuwa wanawachagua wale best students, Na kuwafanya kuwa TA, na baadae kuwaajiri na kuwapa scholarship
Wakiangalia vitu mbalimbali mfano tabia, ubunifu,kujituma,

SS psrs wamekuja kudandia treni Kwa mbele , wameharibu Kila kitu Yan.

Psrs Wanataka kufanya saili zote za kwenye Taasisi na mashirika, ni Kwa sababu ya uroho wa posho mnazolipwa.

Ila kiukweli haiwezaki Taasisi (Psrs)Moja ifanye saili Kwa ajili ya Taasisi nyingi zote, hiki kitu hakiwezekani na hakii akilini kabisa
acheni mambo ya uongo uongo psrs wakifanya oral wanakua na panel ya chuo husika na ndio wao wanaouliza maswali wenyewe husimamia tu kuona haki inafanyika PSRS hawaulizi maswali maana sio kila kitu wanajua

ni bora psrs kuliko ajira zipelekwe taasisi husika undugulist na kufahamiana ni 100%
 
Mbona Taasisi nyingi watu wengi mlio wapelekea wamewarudisha mfano udsm,udom,

Hapo awali vyuo kama sua ,udsm, walikuwa wanawachagua wale best students, Na kuwafanya kuwa TA, na baadae kuwaajiri na kuwapa scholarship
Wakiangalia vitu mbalimbali mfano tabia, ubunifu,kujituma,

SS psrs wamekuja kudandia treni Kwa mbele , wameharibu Kila kitu Yan.

Psrs
Wanataka kufanya saili zote za kwenye Taasisi na mashirika, ni Kwa sababu ya uroho wa posho mnazolipwa.

Ila kiukweli haiwezaki Taasisi (Psrs)Moja ifanye saili Kwa ajili ya Taasisi nyingi zote, hiki kitu hakiwezekani na hakii akilini kabisa

Una wazimu 😁 😁

Yani wachague wenyewe halafu eti wawarudishe. Aisee😁😁😁

Badala ya kuwa busy kuanzisha nyuzi za kidwanzi humu, nashauri kajisomee practical aspects za kada yako na ujiandae vizuri na interview.

Kwanza wewe brother unaandika vibaya sana as if sijui mtoto wa shule ya msingi. Ndio maana wanakukanda.
 
Moderator Kwa maombi yangu na ufahamu,huu uzi ni Batili Ufutwe.Huyu ni kijana mwenzetu yupo Kule kwenye Uzi wa "Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini" Ila Huyu kijana anaonekana ana watu kwenye masharika na kushindwa kwake Kwenye Usaili,chuki zote anapelekea kuwachukua PSRS..
Ki ufupi PSRS hao ndio wamefanya kuweka mahusiano mazuri ya Serikali na Vijana,angalau Sasa Ajira zozote zile zinaonekana sio za watu Fulani,maaana mtaani Huku tunaona vijana wenzetu wanapata Ajira Tena Kwa uwezo wao na sio Kubebwa,Yaani wanaopata Wanastahili.
Sekretarieti ya Ajira mimi binafsi nawapongeza sana Kwa kazi nzuri ya kusimamia mchakato wa Ajira.Natamani sana Ajira zote hata zingekuwa zinapitia kwenu Ili mambo ya kujuana yaishe kwenye Suala la Ajira...

Nawasilisha,naimani Mods mkifuatilia ukweli wa huyu kijana na comments Zangu mtayafanyia kazi.Huyu kijana yupo kuchafua taswira tu ya Taasisi yetu ya Serikali ambayo inafanya kazi Kubwa sana na nzuri.Sasa wakiwa na Mhe.Waziri Simbachawene na Naibu wake Mhe.Kikwete pamoja na Katibu wa PSRS Bwana.Kitenge.
Mwifwa
Yakunle
Twinawe
mfwende sawadogo
 
Jikaze kaka, ukienda kwenye interview kama hujajiadaa vizuri lazima upate stroke then baadaye uje usingizie utumishi hawako fair.
Mbona hayo yote yanafahamika kuwa hapo mnatoa kazi kwa kujuana tu.

Hakuna kusahihisha mitihani interview zote ni kudanganya tu watu.

Mnapotezea watu muda na fedha.
 
Moderator Kwa maombi yangu na ufahamu,huu uzi ni Batili Ufutwe.Huyu ni kijana mwenzetu yupo Kule kwenye Uzi wa "Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini" Ila Huyu kijana anaonekana ana watu kwenye masharika na kushindwa kwake Kwenye Usaili,chuki zote anapelekea kuwachukua PSRS..
Ki ufupi PSRS hao ndio wamefanya kuweka mahusiano mazuri ya Serikali na Vijana,angalau Sasa Ajira zozote zile zinaonekana sio za watu Fulani,maaana mtaani Huku tunaona vijana wenzetu wanapata Ajira Tena Kwa uwezo wao na sio Kubebwa,Yaani wanaopata Wanastahili.
Sekretarieti ya Ajira mimi binafsi nawapongeza sana Kwa kazi nzuri ya kusimamia mchakato wa Ajira.Natamani sana Ajira zote hata zingekuwa zinapitia kwenu Ili mambo ya kujuana yaishe kwenye Suala la Ajira...

Nawasilisha,naimani Mods mkifuatilia ukweli wa huyu kijana na comments Zangu mtayafanyia kazi.Huyu kijana yupo kuchafua taswira tu ya Taasisi yetu ya Serikali ambayo inafanya kazi Kubwa sana na nzuri.Sasa wakiwa na Mhe.Waziri Simbachawene na Naibu wake Mhe.Kikwete pamoja na Katibu wa PSRS Bwana.Kitenge.
Mwifwa
Yakunle
Twinawe
mfwende sawadogo
Unashindwa kujibu hoja zetu unakimbilia Uzi ufutwe, bado mna mentally za kidikteta.

Badala msuluhishe makosa yenu nyie mpoko kuficha TU, hii ni tabia mbaya sana .

Mngekuwa mnafanya kazi nzuri, Raisi Samia asingekuja kuwalalamikia kwenye press.

PSRS badilikeni, hatuko kipindi Cha dikiteta, tuko kipindi Cha ukweli na uwazi.

Re advatise mnazo zitoa mbona hamzitolei ufafanuzi, je Hawa watu wamefariki?, hawaku report kituo Cha kazi?, Je ni unfit?, Haya maswali kama nyie ni TAASISI makini mngekwisha yatolea ufafanuzi, ila munakaa kimya , us if PSRS ni company Yenu
 
Unashindwa kujibu hoja zetu unakimbilia Uzi ufutwe, bado mna mentally za kidikteta.

Badala msuluhishe makosa yenu nyie mpoko kuficha TU, hii ni tabia mbaya sana .

Mngekuwa mnafanya kazi nzuri, Raisi Samia asingekuja kuwalalamikia kwenye press.

PSRS badilikeni, hatuko kipindi Cha dikiteta, tuko kipindi Cha ukweli na uwazi.

Re advatise mnazo zitoa mbona hamzitolei ufafanuzi, je Hawa watu wamefariki?, hawaku report kituo Cha kazi?, Je ni unfit?, Haya maswali kama nyie ni TAASISI makini mngekwisha yatolea ufafanuzi, ila munakaa kimya , us if PSRS ni company Yenu
Unajua watu wasipokizi vigezo kwenye Oral/Maombi ya kazi Tangazo hutangazwa Tena.
Hasa Ajira za Vyuo vikuu,kigezo masters na masters zenyewe zinakuwa chache Sasa unataka PSRS wawatoe wapi hao watu????Unaporudia kutangaza post Ina maana unategemea labda Kwa wakati huu unaweza kupata watu wa kuweza kuwaajiri...
Tumia Akili ya kawaida tu Kama kijana Msomi.
 
Back
Top Bottom