mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,514
- 4,042
Mleta Maada ni vile members wengi hawakufahamu humu ndani.Ila wewe ni mmoja ya msomi Mpuuzi,wewe unadhani serikali hawana akili mpaka wakaanzisha chombo Cha kuajiri???
Tunayejua magumu ya Ajiri ni Sisi tuulize huko kwenyewe Polisi,Takukuru,JWTZ tunaona kila siku rafiki zetu Wana sifa zote za kuwa askari na Wanapenda lakini wanakosa.Na hao wenzetu wanaopata kazi wanajisifu jinsi gani walipata hizo kazi kuwa vyomboni humo....
Ajira ambazo Sasa mtu anapata kihalali zote ni kupitia PSRS,ambao hao wanaratibu tu hizo Ajira kuanzia mitihani mpaka mwisho Huku wakishirikiana Kwa Kila kitu na Taasisi Husika.Ndio maana kwenye Oral Interview watu wa Taasisi husika baada ya Mchujo ndio wao Huamua wamchukue nani na wamuache Nani.Tena Maofisa wa PSRS wakiwepo wakisimamia kuhakikisha Haki imetendeka na hakuna upendeleo....
Sasa nikirudi kwako.Wewe ni mtu tunayekufahamu na unajisifu una ndugu zako Wakubwa baadhi ya Mashirika Kwa hiyo unataka wazo lako la kukosa/kushindwa saili za PSRS basi Mashirika ya ajili kisa wewe upate kazi???? Mimi nasema Acha Upuuzi...
Leo hii unaona kuna Vijana wenzetu wanaopata kazi Mashirika yote ambayo zamani walisema kama huna ndugu yake pale huwezi pata.Angalia Leo hii TRA,Brela,NAOT ,EGA, na kwingineko kwingi tu Kuna Vijana wengi wamepata fursa kupitia hii PSRS,Huku connection zao akiwa Mungu...
Mtanzania ni mtu asiyeridhika na kitu chochote kile kizuri,wewe ni mmojawapo.
Mimi kiufupi kama mwana CCM nasema PSRS ndio kimbilio la wengi na Waendelee kuajiri wao.Hatuoni malalamiko kabisa Kwenye Ajira,uwazi na kufuata kanuni ndio msingi wao.Unaona Majina ya Kuitwa Usaili wa Mchujo Kwa uwazi,unaona matokeo ya Mtihani wa Mchujo muhusika kupitia namba Yako,Lakini pia mwisho kwa Uwazi unaona Majina ya Kuitwa Kazini Kwa Uwazi kabisa.Aisee PSRS Raha Sana.
Ushauri wangu kwako kijana,Jiandae kikamilifu,pambana na Muombe Mungu ipo siku utafanikiwa.
PSRS Iko Juu🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Tunayejua magumu ya Ajiri ni Sisi tuulize huko kwenyewe Polisi,Takukuru,JWTZ tunaona kila siku rafiki zetu Wana sifa zote za kuwa askari na Wanapenda lakini wanakosa.Na hao wenzetu wanaopata kazi wanajisifu jinsi gani walipata hizo kazi kuwa vyomboni humo....
Ajira ambazo Sasa mtu anapata kihalali zote ni kupitia PSRS,ambao hao wanaratibu tu hizo Ajira kuanzia mitihani mpaka mwisho Huku wakishirikiana Kwa Kila kitu na Taasisi Husika.Ndio maana kwenye Oral Interview watu wa Taasisi husika baada ya Mchujo ndio wao Huamua wamchukue nani na wamuache Nani.Tena Maofisa wa PSRS wakiwepo wakisimamia kuhakikisha Haki imetendeka na hakuna upendeleo....
Sasa nikirudi kwako.Wewe ni mtu tunayekufahamu na unajisifu una ndugu zako Wakubwa baadhi ya Mashirika Kwa hiyo unataka wazo lako la kukosa/kushindwa saili za PSRS basi Mashirika ya ajili kisa wewe upate kazi???? Mimi nasema Acha Upuuzi...
Leo hii unaona kuna Vijana wenzetu wanaopata kazi Mashirika yote ambayo zamani walisema kama huna ndugu yake pale huwezi pata.Angalia Leo hii TRA,Brela,NAOT ,EGA, na kwingineko kwingi tu Kuna Vijana wengi wamepata fursa kupitia hii PSRS,Huku connection zao akiwa Mungu...
Mtanzania ni mtu asiyeridhika na kitu chochote kile kizuri,wewe ni mmojawapo.
Mimi kiufupi kama mwana CCM nasema PSRS ndio kimbilio la wengi na Waendelee kuajiri wao.Hatuoni malalamiko kabisa Kwenye Ajira,uwazi na kufuata kanuni ndio msingi wao.Unaona Majina ya Kuitwa Usaili wa Mchujo Kwa uwazi,unaona matokeo ya Mtihani wa Mchujo muhusika kupitia namba Yako,Lakini pia mwisho kwa Uwazi unaona Majina ya Kuitwa Kazini Kwa Uwazi kabisa.Aisee PSRS Raha Sana.
Ushauri wangu kwako kijana,Jiandae kikamilifu,pambana na Muombe Mungu ipo siku utafanikiwa.
PSRS Iko Juu🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥