Je, Taasisi na Mashirika wafanye saili kama kipindi cha Kikwete?

Je, Taasisi na Mashirika wafanye saili kama kipindi cha Kikwete?

Je, Taasisi na Mashirika yafanye saili kama kipindi cha Kikwete?

  • Ndiyo

    Votes: 29 49.2%
  • Hapana. PSRS iendelee kukanda tu 🤣

    Votes: 30 50.8%

  • Total voters
    59
  • Poll closed .
Majobless na mabest losser wote kaeni mkao wa surprise kwanzia j5 mpaka jmosi kutakuwa na TU PDF za halmashauri ni mwendo TGS D Yan 😂
 
Best students huwaoni kweny oral?
Kivip yan kwamba unawajua wote?
, ok bas saw huwaon, ko ww unaamin mtu akishakua tu best student bas anafaa kua TA. Na n nan alikuambia kila best student yuko interested na kua TA?..
My friend huu mfumo unaoulilia ndo umetupatia some of ma TA na lecturers ambao akisimama mbele aibu unaona wew had unawaza hii kazi aliipataje?
Sio kila mtu anaweza kufundisha ata kma ana GPA ya 5.0 acha watu wakandwe ban,, nawasalimu kwa jina la psrs na mikando iendelee.
Ni kweli kufundisha ni kipaji, unaweza kuwa ni genius lakini kufundisha mtu Huwezi,
Lakini Huwezi kumpata tutorial assistant Kwa panel ya siku Moja,
TA inahitaji maandalizi ya Muda kumchunguza muhusika
 
Umeziona post za udsm zilizotoka juzi, nusu ya zile post ni re advatise, PSRS waliwapelekea udsm watu wasio kidhi vigezo,

Kuna maswali mengi ya kujiuliza hapa,👆

Kufanya interview pekee na kufaulu sio kipimo Cha 💯 kusema kwamba huyu mtu ana fiti kitengo fulan, Bali Kuna vigezo vingine kama nidhamu, kujituma kufanya kazi kwa bidii, kuwa mbunifu , kuweza kutoa maamuzi ya haraka na Kwa usahihi, kujiamini,.etc

Sasa hivi vitu Huwezi kuvikuta kwenye panels,labda kama mtu alikuwa anafanya internship, hii inakuwa rahisi sana Kwa taasisi kuamua kumuajiri Moja Kwa Moja au kumuacha Kwa sababu criteria zote wanazozihitaji kama taasisi Kwa uyo mtu wanazifahamu vizuri, kuliko MTU afanyie interview na PSRS alufa apelekwe kwenye taasisi kisa kafaulu interview, taasisi nyingi huwa hawakubali Kwa sababu Wana utaratibu wao wa kufanya kazi, huwa wanaenda kujua tabia za wahitimu kwanza kabla hawaja waajiri Moja Kwa Moja,

Labda haya Mambo yakupeleka watu waliofanya interview PSRS yafanyike huko halmashauri, Kwa sababu huku hakuitaji ubunifu Sanaa, atakama umefoji vyeti we twende tuu

SS inategemea unakuta Kuna panels Kama tatu hivi ,1 ndio Iko poa hizo nyingine ni zamoto balaa, na placement zikitoka Ile panel 1 ndio inatoa watu wengi.
Kuna mengi sana humu kwenye interview panels yanatokea.

Nainategemea ww mtainiwa na wao wakandaji wameamkaje siku hiyo Kwa kweli Hali n mbaya sana.

Kwahiyo kufaulu interview PSRS Sio kigezo pekee kwamba unafit kwenye kitengo Fulani.

Kuna haja ya kuwaangalia wanazofanya internship kwenye taasisi na mashirika , walimu, wahudumu wa afya kupewa kipaumbele zaidi

Mleta Maada ni vile members wengi hawakufahamu humu ndani.Ila wewe ni mmoja ya msomi Mpuuzi,wewe unadhani serikali hawana akili mpaka wakaanzisha chombo Cha kuajiri???
Tunayejua magumu ya Ajiri ni Sisi tuulize huko kwenyewe Polisi,Takukuru,JWTZ tunaona kila siku rafiki zetu Wana sifa zote za kuwa askari na Wanapenda lakini wanakosa.Na hao wenzetu wanaopata kazi wanajisifu jinsi gani walipata hizo kazi kuwa vyomboni humo....
Ajira ambazo Sasa mtu anapata kihalali zote ni kupitia PSRS,ambao hao wanaratibu tu hizo Ajira kuanzia mitihani mpaka mwisho Huku wakishirikiana Kwa Kila kitu na Taasisi Husika.Ndio maana kwenye Oral Interview watu wa Taasisi husika baada ya Mchujo ndio wao Huamua wamchukue nani na wamuache Nani.Tena Maofisa wa PSRS wakiwepo wakisimamia kuhakikisha Haki imetendeka na hakuna upendeleo....

Sasa nikirudi kwako.Wewe ni mtu tunayekufahamu na unajisifu una ndugu zako Wakubwa baadhi ya Mashirika Kwa hiyo unataka wazo lako la kukosa/kushindwa saili za PSRS basi Mashirika ya ajili kisa wewe upate kazi???? Mimi nasema Acha Upuuzi...

Leo hii unaona kuna Vijana wenzetu wanaopata kazi Mashirika yote ambayo zamani walisema kama huna ndugu yake pale huwezi pata.Angalia Leo hii TRA,Brela,NAOT ,EGA, na kwingineko kwingi tu Kuna Vijana wengi wamepata fursa kupitia hii PSRS,Huku connection zao akiwa Mungu...

Mtanzania ni mtu asiyeridhika na kitu chochote kile kizuri,wewe ni mmojawapo.
Mimi kiufupi kama mwana CCM nasema PSRS ndio kimbilio la wengi na Waendelee kuajiri wao.Hatuoni malalamiko kabisa Kwenye Ajira,uwazi na kufuata kanuni ndio msingi wao.Unaona Majina ya Kuitwa Usaili wa Mchujo Kwa uwazi,unaona matokeo ya Mtihani wa Mchujo muhusika kupitia namba Yako,Lakini pia mwisho kwa Uwazi unaona Majina ya Kuitwa Kazini Kwa Uwazi kabisa.Aisee PSRS Raha Sana.

Ushauri wangu kwako kijana,Jiandae kikamilifu,pambana na Muombe Mungu ipo siku utafanikiwa.
PSRS Iko Juu🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Huyu mleta mada hata uongozi haumfai kwasababu ni mbinafsi hata akipata kama bado atafanya ubinafsi na ndio watu kama hawa huwa wakiwa vitengo kwasababu ya ubinafsi wanaingiza ndugu zao kazini. Mimi hapa nina rafiki yangu juzi tu hapo kapata kazi za LGA zile alikuwa getto hana mchongo wowote lkn PSRS imefanya haki kapata kazi hana connection yoyote na mimi mwenyewe nilifanikiwa kwenda kufanya oral ya TRA Bila connection yoyote. Mtoa mada pambana na interview za PSRS usitegee back up ya connection kupata kazi falaaa wewe
 
Kutokana na PSRS kushindwa kufanya kazi kwa ukweli, welidi, ubunifu, hivi vitendo vimepelekea kuwa na shutuma nyingi juu ya utendaji wa hii TAASISI.

Na hivyo wadau tukamkumbuka bingwa wa diplomasia jk kipindi Cha uongozi wake jinsi michakato ya ajira ulivyokuwa inafanyika, watu walikuwa wanapata ajira mapema, na wengine kubadilisha ajira kwenye taasisi tofauti ndani ya mwaka mmoja TU Yan,

So tunaomba maoni yenu Ili yawafikie wahusika

SWALI MTAMBUKA
Je Taasisi na mashirika wafanye saili kama kipindi Cha jk ?
Big no
 
Kuna wakati huwa tunarejea ya zamani sio kujifanya tunaenda mbele huku tunabomoa
 
Kuna wakati huwa tunarejea ya zamani sio kujifanya tunaenda mbele huku tunabomoa
Ni kweli Mzee, PSRS hawawezi mudu kusimamia saili zote za taasisi na mashirika ya Serikali,
Kwa sababu ya ubunifu wa rasilimali fedha,watu, na uzoefu NA VIFaa
 
Kitenge umemsikia shangazi, ameseme mulete report ya CAG , ijadiliewe bungeni, kazi kwako Mzee 🤣🤣
 
inasemekana wachaga wamejimilikisha ile
Kumbuka wachaga na wahaya ndio walikuwa ndio wasomi wengi kuliko sehemu nyingine,.

Hata Nyerere alikuwa sometimes anawaacha wahaya na wachaga, nakuchagua watu ambao hawakwenda shule, Ili kuweka usawa
 
Iendelee PSRS, Kwenye hizi ajira za Waalimu na Madaktari zilizotangazwa umemsikia kabisa waziri wa wizara husika akisema amepokea simu na vimemo kutoka kwa waheshimiwa wengi wakiomba ndugu zao waangaliwe unategemea bila kua na mfumo wa kusimamia zoezi hilo hali itakuwaje???
 
Iendelee PSRS, Kwenye hizi ajira za Waalimu na Madaktari zilizotangazwa umemsikia kabisa waziri wa wizara husika akisema amepokea simu na vimemo kutoka kwa waheshimiwa wengi wakiomba ndugu zao waangaliwe unategemea bila kua na mfumo wa kusimamia zoezi hilo hali itakuwaje???
Hata kitenge naye anapàta vimemo na sms au ww ni mgeni PSRS
 
Oya wazee Kuna taarifa nimepewa aisee daa,
Chawene amesha honga wabunge million 3, direct deposit kupitia equity, Ili waje kutetea bajeti yake, ikiwemo ishu ya Ukosefu wa ajira na PSRS.

Yan badala matatizo ya PSRS yabainishwe , ikiwemo upungufu wa wafanyakazi,uhaba wa vitendea kazi, bureaucracy, kuungezewe POSHO 🙄,

na kutatuliwa Kwa haraka kwa ubunifu ulio mzuri pasipo kuumiza jobless.

Wao wako bize Kufanya makosa zaidi, daa hii nnchi Ina viongozi wa baya sana.

Natumai kunguru wa chamwino watampatia Intel prezdaa
 
Ila naona malengo mazuri kabisa ya mkuu wa nchi, vibali vinatolewa ila usimamizi wa mchakato wa ajira na namna ya kuingia kwenye system kuna watu wamefanya kama kilakitu chakwao, wanaweka watu wao, hawafuati kanuni zinazo waongoza, wanafanya kazi kimazoea hawajui kuwa kuna kesho wao umri umeenda ndg zao wataingiaje kwenye asali baada ya wao kutoka hawafikirii. Wenzetu mataifa mengine wapo serious na ajira ambae anasifa anapewa bila konakona. Sasa ajira ilitangazwa mwaka jana tena may na june hii ni April na itafika july watu hata kazini hawajaitwa huu ni uzembe na ni magumashi ambayo Psrs hawana majibu ya kutupa tuwaelewe.Mambo ni nyoronyoro kama jongoo, yaani mwaka mzima wa fedha unasubiria kazi daah inaunmiza sana.
Hawa jamaa ifike sehemu wawe reliable mambo sijui paper limevuja, cjui nani alikuwa na maswali kabla ya interview, mara mnasubiri placement mwanka mzima tatizo ni nini.Mnajua data zote ni taasisi gani, wilaya gani zinataka watumishi kibali kipo tayari sasa siasa yanini kwenye hayo mambo,mkielemewa mseme muongezewe wataalam, nina hofu PSRS hamana wataalam wakutosha, Miundo mbinu na procedure zenu bado sana.
Maana kama una wataalam, professionals na watu wenye uzoefu hamuwezi enda hivyo. Hapo nimezungumzia wataalam wakutosha
Watu wa ICT tena Cerified IT ambao wapo current, watu wa mitihani maana hata paper zenu hazieleweki kesho hivi kesho vile ni vile mnajisikia kufanya au mtu kaamka anasema hii paper iwe hivi hamna utaratibu, tuna taka ethics za kazi yenu zizingatiwe.
Punguzeni mlolongo, mambo ya vikako kila siku vikao mambo yapo wazi yanawapunguzia ufanisi wa kazi.
Data base Data base ifanye kazi ,vijana tumechoka kurudi kufanya mausaili kila muda bila sababu. Leo mmetangaza wataalam wa maendeleo ya jamii lakini mnao wengi kwenye data base si walifanya mwaka jana usaili mmewaita wale wote, wapeni kazi madogo mtu kama amefaulu chuo na anaweza kujieleza kamati ya usaili imempa atleast passmark ya 50 mpeni kazi huo ndo utaratibu na ndio sheria, na kanununi inataka, tena mapaka waishe wote kwenye kanzi data ndio mtangaze..kuita kwenye usaili watu wanatoka tunduma, rombao, tarakea mwingine mbjnga, mwingine sengerema, nduta, nyasa, ludewa mnawatesa watoto wa watu provided hawana kazi za msingi za kuwainguzia kipato cha hayo magharama.
Hayo lazima tuongee na tutaongea mpaka kieleweke maana hiyo ni haki ya kila mtanzania .
Linswena
 
Mashirika na taasisi za umma ziajiri zenyewe sababu sekretarieti ya ajira imeshindwa kufanya jambo hili kwa ufanisi.
 
Ila naona malengo mazuri kabisa ya mkuu wa nchi, vibali vinatolewa ila usimamizi wa mchakato wa ajira na namna ya kuingia kwenye system kuna watu wamefanya kama kilakitu chakwao, wanaweka watu wao, hawafuati kanuni zinazo waongoza, wanafanya kazi kimazoea hawajui kuwa kuna kesho wao umri umeenda ndg zao wataingiaje kwenye asali baada ya wao kutoka hawafikirii. Wenzetu mataifa mengine wapo serious na ajira ambae anasifa anapewa bila konakona. Sasa ajira ilitangazwa mwaka jana tena may na june hii ni April na itafika july watu hata kazini hawajaitwa huu ni uzembe na ni magumashi ambayo Psrs hawana majibu ya kutupa tuwaelewe.Mambo ni nyoronyoro kama jongoo, yaani mwaka mzima wa fedha unasubiria kazi daah inaunmiza sana.
Hawa jamaa ifike sehemu wawe reliable mambo sijui paper limevuja, cjui nani alikuwa na maswali kabla ya interview, mara mnasubiri placement mwanka mzima tatizo ni nini.Mnajua data zote ni taasisi gani, wilaya gani zinataka watumishi kibali kipo tayari sasa siasa yanini kwenye hayo mambo,mkielemewa mseme muongezewe wataalam, nina hofu PSRS hamana wataalam wakutosha, Miundo mbinu na procedure zenu bado sana.
Maana kama una wataalam, professionals na watu wenye uzoefu hamuwezi enda hivyo. Hapo nimezungumzia wataalam wakutosha
Watu wa ICT tena Cerified IT ambao wapo current, watu wa mitihani maana hata paper zenu hazieleweki kesho hivi kesho vile ni vile mnajisikia kufanya au mtu kaamka anasema hii paper iwe hivi hamna utaratibu, tuna taka ethics za kazi yenu zizingatiwe.
Punguzeni mlolongo, mambo ya vikako kila siku vikao mambo yapo wazi yanawapunguzia ufanisi wa kazi.
Data base Data base ifanye kazi ,vijana tumechoka kurudi kufanya mausaili kila muda bila sababu. Leo mmetangaza wataalam wa maendeleo ya jamii lakini mnao wengi kwenye data base si walifanya mwaka jana usaili mmewaita wale wote, wapeni kazi madogo mtu kama amefaulu chuo na anaweza kujieleza kamati ya usaili imempa atleast passmark ya 50 mpeni kazi huo ndo utaratibu na ndio sheria, na kanununi inataka, tena mapaka waishe wote kwenye kanzi data ndio mtangaze..kuita kwenye usaili watu wanatoka tunduma, rombao, tarakea mwingine mbjnga, mwingine sengerema, nduta, nyasa, ludewa mnawatesa watoto wa watu provided hawana kazi za msingi za kuwainguzia kipato cha hayo magharama.
Hayo lazima tuongee na tutaongea mpaka kieleweke maana hiyo ni haki ya kila mtanzania .
Linswena
Bunge la Wananchi
 
Ila naona malengo mazuri kabisa ya mkuu wa nchi, vibali vinatolewa ila usimamizi wa mchakato wa ajira na namna ya kuingia kwenye system kuna watu wamefanya kama kilakitu chakwao, wanaweka watu wao, hawafuati kanuni zinazo waongoza, wanafanya kazi kimazoea hawajui kuwa kuna kesho wao umri umeenda ndg zao wataingiaje kwenye asali baada ya wao kutoka hawafikirii. Wenzetu mataifa mengine wapo serious na ajira ambae anasifa anapewa bila konakona. Sasa ajira ilitangazwa mwaka jana tena may na june hii ni April na itafika july watu hata kazini hawajaitwa huu ni uzembe na ni magumashi ambayo Psrs hawana majibu ya kutupa tuwaelewe.Mambo ni nyoronyoro kama jongoo, yaani mwaka mzima wa fedha unasubiria kazi daah inaunmiza sana.
Hawa jamaa ifike sehemu wawe reliable mambo sijui paper limevuja, cjui nani alikuwa na maswali kabla ya interview, mara mnasubiri placement mwanka mzima tatizo ni nini.Mnajua data zote ni taasisi gani, wilaya gani zinataka watumishi kibali kipo tayari sasa siasa yanini kwenye hayo mambo,mkielemewa mseme muongezewe wataalam, nina hofu PSRS hamana wataalam wakutosha, Miundo mbinu na procedure zenu bado sana.
Maana kama una wataalam, professionals na watu wenye uzoefu hamuwezi enda hivyo. Hapo nimezungumzia wataalam wakutosha
Watu wa ICT tena Cerified IT ambao wapo current, watu wa mitihani maana hata paper zenu hazieleweki kesho hivi kesho vile ni vile mnajisikia kufanya au mtu kaamka anasema hii paper iwe hivi hamna utaratibu, tuna taka ethics za kazi yenu zizingatiwe.
Punguzeni mlolongo, mambo ya vikako kila siku vikao mambo yapo wazi yanawapunguzia ufanisi wa kazi.
Data base Data base ifanye kazi ,vijana tumechoka kurudi kufanya mausaili kila muda bila sababu. Leo mmetangaza wataalam wa maendeleo ya jamii lakini mnao wengi kwenye data base si walifanya mwaka jana usaili mmewaita wale wote, wapeni kazi madogo mtu kama amefaulu chuo na anaweza kujieleza kamati ya usaili imempa atleast passmark ya 50 mpeni kazi huo ndo utaratibu na ndio sheria, na kanununi inataka, tena mapaka waishe wote kwenye kanzi data ndio mtangaze..kuita kwenye usaili watu wanatoka tunduma, rombao, tarakea mwingine mbjnga, mwingine sengerema, nduta, nyasa, ludewa mnawatesa watoto wa watu provided hawana kazi za msingi za kuwainguzia kipato cha hayo magharama.
Hayo lazima tuongee na tutaongea mpaka kieleweke maana hiyo ni haki ya kila mtanzania .
Linswena
Kijana mwaminifu
 
Mimi binafsi naona PSRS kuna urasimu wa hali ya juu..huwez ukaset kwamba kazi ya uhasibu lazima mtuu awe na CPA wakati watu wapo wenye uwezo wa utendaji wa kazi Hali ya juu..CPA haifanyi kazi..kazi za uhasibu na procurement ziwe neutral..sio kila mtuu akimalza chuo ana uwezo au mdaa wa kufanya Hizo mambo..mm naona hizi kazi za kuajir ziludshwe kwa wahusika
 
Ila naona malengo mazuri kabisa ya mkuu wa nchi, vibali vinatolewa ila usimamizi wa mchakato wa ajira na namna ya kuingia kwenye system kuna watu wamefanya kama kilakitu chakwao, wanaweka watu wao, hawafuati kanuni zinazo waongoza, wanafanya kazi kimazoea hawajui kuwa kuna kesho wao umri umeenda ndg zao wataingiaje kwenye asali baada ya wao kutoka hawafikirii. Wenzetu mataifa mengine wapo serious na ajira ambae anasifa anapewa bila konakona. Sasa ajira ilitangazwa mwaka jana tena may na june hii ni April na itafika july watu hata kazini hawajaitwa huu ni uzembe na ni magumashi ambayo Psrs hawana majibu ya kutupa tuwaelewe.Mambo ni nyoronyoro kama jongoo, yaani mwaka mzima wa fedha unasubiria kazi daah inaunmiza sana.
Hawa jamaa ifike sehemu wawe reliable mambo sijui paper limevuja, cjui nani alikuwa na maswali kabla ya interview, mara mnasubiri placement mwanka mzima tatizo ni nini.Mnajua data zote ni taasisi gani, wilaya gani zinataka watumishi kibali kipo tayari sasa siasa yanini kwenye hayo mambo,mkielemewa mseme muongezewe wataalam, nina hofu PSRS hamana wataalam wakutosha, Miundo mbinu na procedure zenu bado sana.
Maana kama una wataalam, professionals na watu wenye uzoefu hamuwezi enda hivyo. Hapo nimezungumzia wataalam wakutosha
Watu wa ICT tena Cerified IT ambao wapo current, watu wa mitihani maana hata paper zenu hazieleweki kesho hivi kesho vile ni vile mnajisikia kufanya au mtu kaamka anasema hii paper iwe hivi hamna utaratibu, tuna taka ethics za kazi yenu zizingatiwe.
Punguzeni mlolongo, mambo ya vikako kila siku vikao mambo yapo wazi yanawapunguzia ufanisi wa kazi.
Data base Data base ifanye kazi ,vijana tumechoka kurudi kufanya mausaili kila muda bila sababu. Leo mmetangaza wataalam wa maendeleo ya jamii lakini mnao wengi kwenye data base si walifanya mwaka jana usaili mmewaita wale wote, wapeni kazi madogo mtu kama amefaulu chuo na anaweza kujieleza kamati ya usaili imempa atleast passmark ya 50 mpeni kazi huo ndo utaratibu na ndio sheria, na kanununi inataka, tena mapaka waishe wote kwenye kanzi data ndio mtangaze..kuita kwenye usaili watu wanatoka tunduma, rombao, tarakea mwingine mbjnga, mwingine sengerema, nduta, nyasa, ludewa mnawatesa watoto wa watu provided hawana kazi za msingi za kuwainguzia kipato cha hayo magharama.
Hayo lazima tuongee na tutaongea mpaka kieleweke maana hiyo ni haki ya kila mtanzania .
Linswena
Apa upo sahihi sikupingi. Ni mambo ya ajabu kabisa ajira za MDAs & LGAs nafasi 1,769 tangu zitangazwe zimetimiza mwaka sasa. huu ni uzembe wa hali ya juu.
 
Huenda wakawa wanafanya kazi nzuri,ila hakuna uwazi haswa upande wa Oral interview,hawatoi result za oral interview ili msailiwa aone kabisa kama ameshindwa au amefanikiwa hata kuwepo kwenye database.
Pia kuwepo uhusiano wa result za written na oral interview.
Pia wanatumia muda mrefu sana kurelease majina ya waliofanikiwa kupata ajira,mpaka msahiliwa unajiuliza hivi hakuna uhitaji wa nguvu kazi wa haraka kwenye taasisi zilizo toa tangazo la ajira?
-Pia ukifanikiwa kuongea nao,jibu lao kubwa ni kua wapo wachache sana.
 
Back
Top Bottom