Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Wamepunguza kale ka levy ka mreli uchwara. Ila walipaswa wakaondoe kabisa maana huo mreli hata haueleweki!
Yaaani sijui watu mnachobisha ni nini wakuu.
View attachment 1752226
View attachment 1752218
Kikubwa kilichobadilika ni CIF(ambayo ni automatic wanaipanga TRA) bei uliyonunulia ikiwa chini wanakadiria hapo na ikiwa juu manaake wanachukua kwa bei yako halisi
Sasa haya makadirio ndio yaliyobadilika. Hadi nahisi wanaojibu hata hawajawahi kuagiza magari
Yaaani gari ya CC ndogo iwe bei kubwa kuliko ya CC kubwa??( kwa zile screenshots za mwanzoni)
Au mwingine anaongelea tofauti gari ya 2017 iwe na bei kubwa kuliko ya 2018 kweli😂😂
Haya hiyo hapo nimepigia hesabu gari ile ile CC zile zile nilizopigiwa hesabu mwezi February
Ze Dudu njoo unitake radhi
Kwa magufuli ilikuwa halali kwa Samia ni harama. Sukuma gang mna matatizo makubwa sanaKwa nini?
Ni kwamba kati ya Watanzania takriban milioni 60, ni yeye tu mwenye kuiweza hiyo kazi mpaka alazimishwe kuifanya hata kama hataki?
Fikra dhaifu sana hizo katika karne hii ya 21!
Kosa halitajirudia hadi mwisho wa dunia.Nyau ww, wasukuma msahau kushika madaraka makubwa ktk nchi hii,, tushapata somo
Mkuu hayo ni magari mawili tofauti unalinganisha. LA Kwanza ni CC chini ya 2500 na la pili ni CC 2500& above ndio maana umeona imepungua.
Rudia tena kupiga hesabu lile la below 2500CC uone Kama imepungua kitu
Models kuanzia herufi S kwa toyota hazionekani. Nadhani wanafanya marekebishoNatafuta vanguard kwenye list ya TRA haipo kulikoni
Mimi awe Rais tu hata akiwa mzee kama Queen Elizabeth ni sawa tu. Mpaka tunyooke tumpate Rais mzuri ambaye hatarurudusha tena kwenye UdiktetaMbona yule mungu wenu kiongozi wa malaika mlitaka atawale milele!!/
Samia hadi #2045__ utaki hama Nchi
KABISA. Wakishajipanga kumpa wa milele.Atake asitake mama tutamlazimisha ,Mbona JIWE msukuma mwenzenu hamkupinga hizo kauli? "SSH MIKUMI TENA".
MATHA = Make Tanzania Happy AgainWale wa Magu wanaitwa mataga hawa wa sasa tuwaiteje maana tofauti yenu ni majina tu akili ni walewale
Yaani sijui tulichelewa wapi kumpata huyu mama yetu . Ila wanasema Majira ya Mungu yakitimia hakuna wa kupiga.Mama samia, Rais wangu Mungu akubariki, akupe afya njema na umri mrefu. Tunakupenda sana mama yangu. I'm so happy kwakweli. Nami nitaweza kumiliki kagari aise.
Nani alisema kwa Magufuli ilikuwa halali?Kwa magufuli ilikuwa halali kwa Samia ni harama. Sukuma gang mna matatizo makubwa sana
Kwa nini?
Ni kwamba kati ya Watanzania takriban milioni 60, ni yeye tu mwenye kuiweza hiyo kazi mpaka alazimishwe kuifanya hata kama hataki?
Fikra dhaifu sana hizo katika karne hii ya 21!
And...?Acha wivu. Mama tunamuongezea muda atake asitake.
[emoji1548][emoji1548][emoji1548]Inafurahisha kwakweli hii ndio Tanzania tunayoitaka. Gari sio anasa,gari ni chombo muhimu kurahisisha shughuli za kiuchumi. Naomba na marekebisho mengine kwenye kodi yawe hivi hivi.
Hii ni Ford Ranger kabla ya mwezi March
View attachment 1752100
Mabadiliko kidogo yalifanyika lakini yana unafuu mkubwa. Hii hapa chini ni leoView attachment 1752101View attachment 1752102
Tofauti karibu Mil15 yote dah. Mama SSH asante sana. Sasa na mimi ntamiliki gari
[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]Yaaani sijui watu mnachobisha ni nini wakuu.
View attachment 1752226
View attachment 1752218
Kikubwa kilichobadilika ni CIF(ambayo ni automatic wanaipanga TRA) bei uliyonunulia ikiwa chini wanakadiria hapo na ikiwa juu manaake wanachukua kwa bei yako halisi
Sasa haya makadirio ndio yaliyobadilika. Hadi nahisi wanaojibu hata hawajawahi kuagiza magari
Yaaani gari ya CC ndogo iwe bei kubwa kuliko ya CC kubwa??( kwa zile screenshots za mwanzoni)
Au mwingine anaongelea tofauti gari ya 2017 iwe na bei kubwa kuliko ya 2018 kweli[emoji23][emoji23]
Haya hiyo hapo nimepigia hesabu gari ile ile CC zile zile nilizopigiwa hesabu mwezi February
Ze Dudu njoo unitake radhi
Huyo ndio Mama bana! Mkisikia hakuna kama Mama ndio maana vyenyewe !tofauti kubwa sana ya kodi katika kipindi cha mwezi mmoja tu,
inaleta matumaini kwa kweli
Uwiiii mbona rahaa[emoji134][emoji134][emoji1787][emoji1787]
Yani labda akapige kampeni hko hko kwa gangKosa halitajirudia hadi mwisho wa dunia.
Mheshimiwa Rais atake asitake tutamuongezea muda.Kwa nini?
Ni kwamba kati ya Watanzania takriban milioni 60, ni yeye tu mwenye kuiweza hiyo kazi mpaka alazimishwe kuifanya hata kama hataki?
Fikra dhaifu sana hizo katika karne hii ya 21!