Hili ni kweli kabisa...watu mtaani wana amani balaa na furaha tele, na hela hawana but ile smooth,polite language ya SSH inawapa furaha ya nafsiHuku mitaani watu wanafuraha na amani hata kama hawana hela.Mama kama mama sio kufokewa fokewa kila siku
Amina aminaFrom now, huyu ndio raisi wangu bora kuliko wote waliopita. Ndani ya mwezi mmoja tumeona mabadiliko, Mungu amsimamie kwakweli. Huu mwaka tutaona mengi tusubiri, na Mungu awe pamoja naye
Sio kweli hapo bei ya hizo gari ni tofauti (CIF).Inafurahisha kwakweli hii ndio Tanzania tunayoitaka. Gari sio anasa,gari ni chombo muhimu kurahisisha shughuli za kiuchumi. Naomba na marekebisho mengine kwenye kodi yawe hivi hivi.
Hii ni Ford Ranger kabla ya mwezi March
View attachment 1752100
Mabadiliko kidogo yalifanyika lakini yana unafuu mkubwa. Hii hapa chini ni leoView attachment 1752101View attachment 1752102
Tofauti karibu Mil15 yote dah. Mama SSH asante sana. Sasa na mimi ntamiliki gari
Tuendelee na mjadala nimecalculate tena kwa gari ya 2017, CC zile zile ila CIF wanayokadiria TRA imekua chini(Na ndio Ulikua msingi wa Uzi mzima)
Ila nadhani wengi mliojibu hapo hamkujua hata hicho kikokotoo kinafanyaje kazi. Someni comment yangu #60
Wamepunguza Tshs. 50,000/= kwenye gharama ya usajili, lakini kodi kwa ujumla bado wamekazaMkuu hebu tuwekee na data za gari ya uchumi wa kati IST
SGRA inajengwa na wanaoingiza magari alafu wanyonge wanadananywaga eti ni kodi zao, pumba***Inafurahisha kwakweli hii ndio Tanzania tunayoitaka. Gari sio anasa,gari ni chombo muhimu kurahisisha shughuli za kiuchumi. Naomba na marekebisho mengine kwenye kodi yawe hivi hivi.
Hii ni Ford Ranger kabla ya mwezi March
View attachment 1752100
Mabadiliko kidogo yalifanyika lakini yana unafuu mkubwa. Hii hapa chini ni leoView attachment 1752101View attachment 1752102
Tofauti karibu Mil15 yote dah. Mama SSH asante sana. Sasa na mimi ntamiliki gari
UMEMALIZA MKUU. Yaani kinachoendelea hakina tofauti na kilichotoka, TAMKO tu linabadili jambo la kisheria ambalo lingepaswa kufanywa na bunge la bajeti. Lakini kama TAMKO lina unafuu kwetu wananchi acha tufurahie tu japo nchi haieleweki inaendaje endajeHivi kodi Tanzania inapangwa na rais au inapangwa na bunge? Tanzania ni nchi ya ajabu ajabu sana kama inandeshwa kwa matamko, siyo kwa sheria za bunge!
Inafurahisha kwakweli hii ndio Tanzania tunayoitaka. Gari sio anasa,gari ni chombo muhimu kurahisisha shughuli za kiuchumi. Naomba na marekebisho mengine kwenye kodi yawe hivi hivi.
Hii ni Ford Ranger kabla ya mwezi March
View attachment 1752100
Mabadiliko kidogo yalifanyika lakini yana unafuu mkubwa. Hii hapa chini ni leoView attachment 1752101View attachment 1752102
Tofauti karibu Mil15 yote dah. Mama SSH asante sana. Sasa na mimi ntamiliki gari
Kitu ambacho hujui wewe ni kwamba unadhani cif ni bei ya soko, cif unazoziona hapo zimepangwa na tra sio bei halisi ya soko. Sokoni unaweza kupata gari hilo kwa bei ya chini kabisa au bei juu zaidi ya cif waliyopanga tra. Gari hilo hilo utawala wa marehemu dikiteta magufuli cif walipanga dola 26 elf, kaingia maza kaishusha cif hadi dola 13 elf. So endapo utapewa zawadi la hilo gari huko ulaya, ukilifikisha bongo ktk utawala wa dikiteta Kodi wangekukadiria kwa thamani ya cif 26 elf, na ktk utawala wa maza ungekadiriwa kodi kwa thamani ya cif 13 elf, hope utakuwa umeelewa.Sio kweli hapo bei ya hizo gari ni tofauti (CIF).
Therefore lazima kodi itakuwa tofauti.
Usiangalie jina la gari angalia CIF
Inafurahisha kwakweli hii ndio Tanzania tunayoitaka. Gari sio anasa,gari ni chombo muhimu kurahisisha shughuli za kiuchumi. Naomba na marekebisho mengine kwenye kodi yawe hivi hivi.
Hii ni Ford Ranger kabla ya mwezi March
View attachment 1752100
Mabadiliko kidogo yalifanyika lakini yana unafuu mkubwa. Hii hapa chini ni leoView attachment 1752101View attachment 1752102
Tofauti karibu Mil15 yote dah. Mama SSH asante sana. Sasa na mimi ntamiliki gari
nadhani inategemea magari hayo mawili yalikuwa na hali gani na yalishatembea maili ngapi kwani CIF zake zinatofautiana kwa karibu 100%, moja lina CIF value ya US$26.6k na jininge lina CIF value ya US$13.3k! Kwa hiyo kodi zake bado ni zile zile, yule wa US$26.6k analipa Ths 23.32m na huyu wa US$13.3k! analipa Ths 15.97m ambayo ni ratio ile ile.
Naunga mkono, maana yule walitaka kumuongezea, sasa sisi tunampa huyu maza mi10 tenaMaza Atake asitake lazima aongezewe, akikataa alazimishwe yule. Suluhu mikumi tena.
Cif sio bei ya soko ni mabei yaliyopangwa na tra unapaswa kuelewa hilo, gari hilo moja utawala wa marehemu dikiteta magufuli, tra walipanga cif dola 26 elf kaingia maza rais wa wanyonge kashusha hadi cif dola 13 elf.hamna mabadiliko hapo wewe!!!
CIF cost ndio basis ya Tax
Hivi nini kimewapata?
magufuli hakuwa kiongozi bali alikuwa mtawala alikuwa anadhibiti kila kitu ndani ya nchi mungu amefanya kudra yake kumuondosha mapema bila shaka mungu alijuwa dhamira yake.Magu tu ndio alikua ana uwezo wa kuongoza wabongo mil 60.
#Atake asitake.
Mkuu nafanya hizi hesabu tangu enzi kikokotoo hakijawekwa mtandaoni.Tuendelee na mjadala nimecalculate tena kwa gari ya 2017, CC zile zile ila CIF wanayokadiria TRA imekua chini(Na ndio Ulikua msingi wa Uzi mzima)
Ila nadhani wengi mliojibu hapo hamkujua hata hicho kikokotoo kinafanyaje kazi. Someni comment yangu #60
Kweli maana nimeamgalia Volkswagen hawajaweka models zake!Models kuanzia herufi S kwa toyota hazionekani. Nadhani wanafanya marekebisho