Je, Tundu Lissu ana mahusiano na mwanamke wa kizungu?

Je, Tundu Lissu ana mahusiano na mwanamke wa kizungu?

Katika mambo yote ya kupangiwa wala kufuatilia sidhani kama hili lipo au litahusu kwa lolote
 
  • Thanks
Reactions: Cyn
Mleta mada mimi nipo tayari kunyonya hata "ndogo" yako..just niruhusu tu.
Mambo ya kizwazwa mnakuja kufungulia uzi.
Kumbusu mwanamke au kumnyonya denda ni kitu cha kawaida ulaya ni uamuzi wako na makubaliano yenu.
 
Tundu Lissu akiwa uwanja wa ndege huko Ulaya akijiandaa kurudi nchini Tanzania, alionekana akiagana na mwanamke mzungu kwa kukumbatiana na kulana denda hadharani bila hofu, kitendo ambacho kimezua sintofahamu kubwa sana kwa Watanzania.

Wengi wameenda mbali na kuhoji kama ameachana na mkewe ambaye wamezaa watoto wawili mapacha, na ambaye alisimama naye bega kwa bega tangu aliposhambuliwa kwa risasi nchini Tanzania.

Una maoni gani kuhusu picha hii ya Lissu na Mwanamke wa Kizungu?

View attachment 2495023View attachment 2495024
Wacha kudanganya watu shezi, unajua denda au unalisikia. Unachokiona hapo ni denda au busu?
 
Usip
Nguli wa siasa nchini, bwana Tundu Antipas Lissu leo ameondoka Ubelgiji kurejea nchini. Wakati anaondoka ameonekana anaagana 'Kimahaba' na mwanamke wa kizungu uwanja wa ndege.

Je, haitamletea shida kisiasa ikizingatiwa anayo ndoa rasmi na Alice Magabe na kuzaa nae watoto wawili?

Nini kinaendelea hapa?

View attachment 2495022
Picha: Tundu Lissu akiagana na Mwanamke Mzungu Ubelgiji

View attachment 2495026
Picha: Tundu Lissu baada ya kuaga akiwa na mizigo yake ya safari
Usipelekwe na upepo jombaaa,hiyo picha ya kutengeneza,
Photo shop,tatizo aliyeitengeneza alisahau kubadilisha na mikono ya mzungu iwe rangi nyeusi.
Angalia mkono wa "lisu"Lisu ni mtu mweusi,sasa kwanini mkono wake wa kulia uwe mweupe kama wa mzungu
 
Usip

Usipelekwe na upepo jombaaa,hiyo picha ya kutengeneza,
Photo shop,tatizo aliyeitengeneza alisahau kubadilisha na mikono ya mzungu iwe rangi nyeusi.
Angalia mkono wa "lisu"Lisu ni mtu mweusi,sasa kwanini mkono wake wa kulia uwe mweupe kama wa mzungu
Hapa sasa umesema jambo la maana. Sio picha ya kweli.
 
Nguli wa siasa nchini, bwana Tundu Antipas Lissu leo ameondoka Ubelgiji kurejea nchini. Wakati anaondoka ameonekana anaagana 'Kimahaba' na mwanamke wa kizungu uwanja wa ndege.

Je, haitamletea shida kisiasa ikizingatiwa anayo ndoa rasmi na Alice Magabe na kuzaa nae watoto wawili?

Nini kinaendelea hapa?

View attachment 2495022
Picha: Tundu Lissu akiagana na Mwanamke Mzungu Ubelgiji

View attachment 2495026
Picha: Tundu Lissu baada ya kuaga akiwa na mizigo yake ya safari

Naona unamuonea wivu mzungu kwamba kwanini amepigwa denda na lissu
Nenda basi na wewe lissu akakupige denda kama hauna nauli sema tukuchangie ukatimize haya ya moyo wako
 
Tundu Lissu akiwa uwanja wa ndege huko Ulaya akijiandaa kurudi nchini Tanzania, alionekana akiagana na mwanamke mzungu kwa kukumbatiana na kulana denda hadharani bila hofu, kitendo ambacho kimezua sintofahamu kubwa sana kwa Watanzania.

Wengi wameenda mbali na kuhoji kama ameachana na mkewe ambaye wamezaa watoto wawili mapacha, na ambaye alisimama naye bega kwa bega tangu aliposhambuliwa kwa risasi nchini Tanzania.

Una maoni gani kuhusu picha hii ya Lissu na Mwanamke wa Kizungu?

View attachment 2495023View attachment 2495024
Umbea waachie wanawake wewe. Hiyo ni issue binafsi, inakuhusuje wewe? Mmeshaambiwa na viongozi wenu muache siasa za majitaka, bado hamjielewi tu!!!
 
Ulaya ni kosa kubwa sana
Pia yeye ana dini isiyoruhusu wake 2 au kabadili
Mkuu so jamaa anamke wa ulaya na wa bongo yaan kama namba za simu ya nje na ya ndani vile pia kiukweli kama ndo vile nampongeza ata amerudi me nisingerud kabisa na ningeshukuru kupigwa risasi nikale vyangu huko mbele...sio kwa ubaya jaman msiniue
 
Mkuu so jamaa anamke wa ulaya na wa bongo yaan kama namba za simu ya nje na ya ndani vile pia kiukweli kama ndo vile nampongeza ata amerudi me nisingerud kabisa na ningeshukuru kupigwa risasi nikale vyangu huko mbele...sio kwa ubaya jaman msiniue
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom