SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Hii ingefichwa. Wanawe wasione.
Duh!
Tunapoteza wapi miiko!
Duh!
Tunapoteza wapi miiko!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umbea waachie wanawake wewe. Hiyo ni issue binafsi, inakuhusuje wewe? Mmeshaambiwa na viongozi wenu muache siasa za majitaka, bado hamjielewi tu!!!
Sio kwa povu hili team chatle.Unaona mnavyodharau wanawake nyie kuku nyumbuu. Chiba kaokota kahaba hukoo kamtelekeza mama wa watu mke halali. Kina Mdee wanawagaragaza mahakamani. MaCHADEMA hovyo tu kama sukuma gang wa Gambosh
Umeuona mkono wa huyo mnayemuita kuwa ni Tundu Lissu?Nguli wa siasa nchini, bwana Tundu Antipas Lissu leo ameondoka Ubelgiji kurejea nchini. Wakati anaondoka ameonekana anaagana 'Kimahaba' na mwanamke wa kizungu uwanja wa ndege.
Je, haitamletea shida kisiasa ikizingatiwa anayo ndoa rasmi na Alice Magabe na kuzaa nae watoto wawili?
Nini kinaendelea hapa?
View attachment 2495022
Picha: Tundu Lissu akiagana na Mwanamke Mzungu Ubelgiji
View attachment 2495026
Picha: Tundu Lissu baada ya kuaga akiwa na mizigo yake ya safari
Kama walimwibia paspot wanashindwaje kutengenezaUlumeuona mkono wa huyo mnayemuita kuwa ni Tundu Lissu?
Lissu siku hizi amekua na mikono ya kizungu?
Umeo kilipo kiwiliwili cha huyo mwanamke wa kizungu kilipo na miguu yake ilipo? Au kwenu hivyo siyo issue kubwa? Kwwnu ni ili mradi mmefanya editing na kuja ku post JF?
Historia yake lissu sio mtu mwenye maadili mema kwenye mahusiano.Nguli wa siasa nchini, bwana Tundu Antipas Lissu leo ameondoka Ubelgiji kurejea nchini. Wakati anaondoka ameonekana anaagana 'Kimahaba' na mwanamke wa kizungu uwanja wa ndege.
Je, haitamletea shida kisiasa ikizingatiwa anayo ndoa rasmi na Alice Magabe na kuzaa nae watoto wawili?
Nini kinaendelea hapa?
View attachment 2495022
Picha: Tundu Lissu akiagana na Mwanamke Mzungu Ubelgiji
View attachment 2495026
Picha: Tundu Lissu baada ya kuaga akiwa na mizigo yake ya safari
Kweli jamii forum imetetereka !! Hii mwanaume rijali unaweza kuanzisha "Uzi" kama huu!!!Nguli wa siasa nchini, bwana Tundu Antipas Lissu leo ameondoka Ubelgiji kurejea nchini. Wakati anaondoka ameonekana anaagana 'Kimahaba' na mwanamke wa kizungu uwanja wa ndege.
Je, haitamletea shida kisiasa ikizingatiwa anayo ndoa rasmi na Alice Magabe na kuzaa nae watoto wawili?
Nini kinaendelea hapa?
View attachment 2495022
Picha: Tundu Lissu akiagana na Mwanamke Mzungu Ubelgiji
View attachment 2495026
Picha: Tundu Lissu baada ya kuaga akiwa na mizigo yake ya safari