Je, Tundu Lissu anazo sifa za kuwa Rais wa Tanzania?

Je, Tundu Lissu anazo sifa za kuwa Rais wa Tanzania?

Lisu hafai kuwa hata diwani, huyo unamfaa uanaharakati tena usio na tija.


Wenye uelewa finyu wa mambo na watu dhaifu ndio wenye kumhofia na kuamua kumpakaza kama wewe lakini ambao wako honest wanahitaji mtu mwenye kunyoosha mambo kama Trump na sio wanafiki.
 
Watu wanataka maji, hospital, barabara, umeme, chakula, mkongo, ajira na amani hawataki maneno na uelewa wa Ulaya sijui sheria. Sheria zote muhimu sana kwetu ziko kwenye Katiba ya nchi.


Mpaka sasa zaidi ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika imeshindikana kiwa na huduma ya umeme na Maji ya uhakika throughout the year ??! 🤔🤔🤔
 
Kuondoa watu kwa hoja ya kwamba wanaharibu hifadhi wakati huo huo unaleta wawekezaji ni unafiki. Alafu mbona kuna mahoteli mengi tu mbugani sasa hao wamaasai wamezuia nini?
Kuwa na hoteli ya kulala watalii na kuwa na wamasai wanaooana na kuzaana ndani ya mbuga ni vitu 2 tofauti. Population ya wamasai ikiongezeka itahitaji space ya kujenga, kufuga, kulima, kuchezà, shule, hospital, nk. Kuwa na akili kidogo wakati unajadili hoja. Mbuga ni kitega uchumi cha taifa kama ilivyo milima, migodi na viwanda. Kama tunawaondoa watanzania wenzetu ili kupisha wawekezaji kwenye gesi, mafuta na madini kwanini iwe dhambi kuwasogeza wamasai kupisha utalii na uwekezaji ?
 
Kwani mnataka watu dhaifu ili muwe mnapiga nyuma yao z??!
Yeye ni makamu mwenyekiti na mwanasheria mkuu wa chama kwa miaka 20. Kama alishindwa kuwashawishi wenzake waandike katiba nzuri ya chama yenye ukomo wa madaraka atawezaje kuishawishi nchi iandike katiba nzuri?
 
Mpaka sasa zaidi ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika imeshindikana kiwa na huduma ya umeme na Maji ya uhakika throughout the year ??! 🤔🤔🤔
Hilo ni tatizo la Africa nzima. Hata South Africa hawana umeme wa kutosha. Kuna nchi zimebadilisha utawala lakini mambo yao sio safi kuliko Tanzania. Lazima tujue tunataka nini kabla ya kufanya mabadiliko ili tusiruke mkojo na kukanyaga mavi.
 
Hilo ni tatizo la Africa nzima. Hata South Africa hawana umeme wa kutosha. Kuna nchi zimebadilisha utawala lakini mambo yao sio safi kuliko Tanzania. Lazima tujue tunataka nini kabla ya kufanya mabadiliko ili tusiruke mkojo na kukanyaga mavi.


SA wapi ambako hakuna umeme ?
 
Yeye ni makamu mwenyekiti na mwanasheria mkuu wa chama kwa miaka 20. Kama alishindwa kuwashawishi wenzake waandike katiba nzuri ya chama yenye ukomo wa madaraka atawezaje kuishawishi nchi iandike katiba nzuri?


Kule chama kiko monopolized na sio kama hicho kingine.
Halafu ushawishi Kwani ni lazima utokane na chama tu ?
Wananchi wenyewe je ?!
 
Kuwa na hoteli ya kulala watalii na kuwa na wamasai wanaooana na kuzaana ndani ya mbuga ni vitu 2 tofauti. Population ya wamasai ikiongezeka itahitaji space ya kujenga, kufuga, kulima, kuchezà, shule, hospital, nk. Kuwa na akili kidogo wakati unajadili hoja. Mbuga ni kitega uchumi cha taifa kama ilivyo milima, migodi na viwanda. Kama tunawaondoa watanzania wenzetu ili kupisha wawekezaji kwenye gesi, mafuta na madini kwanini iwe dhambi kuwasogeza wamasai kupisha utalii na uwekezaji ?
Hujitambui wewe, ni wapi walisema wanawatoa kisa kupisha uwekezaji? Wao walisema wanalinda ecosystem sasa je wawekezaji kuweka mahoteli hayaharibu hiyo ecosystem? Hao wamaasai wame coexist na wanyama uliwahi ona wameharibu chochote cha asili?

Ngorongoro is too big to host a single hotel at a cost of more than half-a-million inhabitants.
 
Hujitambui wewe, ni wapi walisema wanawatoa kisa kupisha uwekezaji? Wao walisema wanalinda ecosystem sasa je wawekezaji kuweka mahoteli hayaharibu hiyo ecosystem? Hao wamaasai wame coexist na wanyama uliwahi ona wameharibu chochote cha asili?

Ngorongoro is too big to host a single hotel at a cost of more than half-a-million inhabitants.
Walioko ngorongoro Leo sio wamasai wote. Wamasai waliohamishiwa ngorongoro kutoka Serengeti sio hawa waliko sasa hivi kule. Hawa wa sasa wanakula ubwabwa, wanajenga nyumba za matofali, wanafanya biashashara, Wana maduka na wengine hawana ng'ombe kabisaa, , Wana magari na ni wengi sana. Wamasai wa sasa wengine sio watanzania
 
Najua uraisi ni cheo kikubwa ila kwa bongo sijaona hiyo sababu ya kujidanganya inahitaji mambo mengi au uwe na uwezo mkubwa.

Sitaki niwe mnafiki kila mTanzania ukimuweka ikulu anaweza kuongoza waTanzania.

Bongo bado sana, tusidanganyane kwamba ni ngumu sana kuongoza waTanzania.
 
Najua uraisi ni cheo kikubwa ila kwa bongo sijaona hiyo sababu ya kujidanganya inahitaji mambo mengi au uwe na uwezo mkubwa.

Sitaki niwe mnafiki kila mTanzania ukimuweka ikulu anaweza kuongoza waTanzania.

Bongo bado sana, tusidanganyane kwamba ni ngumu sana kuongoza waTanzania.
Kuwangoza kuelekea wapi? Asikudanganye mtu kuwa watanzania ni wajinga kiasi hicho cha Kila mtu kuweza kuwaongoza. Hakuna binadamu asiyekuwa na threshold yake kwenye Kila jambo na Kila tukio. Hakuna jamii isiyokuwa na redline yake kwenye kila jambo na Kila tukio. Thresholds za watanzania Bado ni himilivu, hakuna redline yao iliyovukwa.

Nadhani ulikuwepo wakati maduka ya nyama ya nguruwe yalivyotikisa jamii.
 
Kabisa .
Inaonekana ako na husuda kali sana ambayo ni hatari kwa afya yake.
Sawa wapi wee. Jamaa ni mwanaharaki kuliko mwanasiasa. Anapinga bwawa la umeme kujengwa kule rufiji, anapinga ndege kununuliwa lakini sasa p*mbu zake zinasafiri na ndege hizohizo, alipinga barabara ya kimara kupanuliwa lakini sasa nae anapita humohumo, anapinga bamdari kukodishwa, anapinga Kila kitu bila kutoa njia mbadala.
 
Mpaka sasa zaidi ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika imeshindikana kiwa na huduma ya umeme na Maji ya uhakika throughout the year ??! 🤔🤔🤔
Kwani Tanzania haiko Africa? Walibya walikuwa na Kila kitu hadi mahari ya kuolea lakini waliiharibu kwa ulevi wa watu kama Lissu na Dr. Slaa, Walibya walitumiwa na mabeneru kuivuruga nchi yao, eti wanatafuta demokrasia ya kuongea chochote hata matusi kama anavyotaka Lissu.

Ni heri ya mwasiasa wa upinzani kuwa agent wa CCM kuliko mwanasiasa wa upinzani kuwa agent wa wazungu/mabeneru. Ukiwaangalia usoni kwa makini Lissu na Slaa wanapigania maslahi ya wazungu Tanzania. Wanaimba nyimbo za watesi wetu.

Tanzania ni kimbilio la majirani wetu wanaozikimbia nchi zao sio kwa bahati mbaya.

Katiba mpya ni lazima, hasa katiba ambayo inaondoa kinga kwa viongozi wezi, yenye tume huru ya uchaguzi, inayokataza mtu mmoja kiteua Kila mtu moja kwa moja na inayoruhusu matokeo ya uchaguzi kuhojiwa.
 
Siasa za Lissu zinamfanya mtawala kuwa imara zaidi kama alikuwa legelege, zinamfanya mtawala atamani kuwa dikiteta hata kama alikuwa hawazi kuwa dikiteta.
 
Back
Top Bottom