Je, Tundu Lissu anazo sifa za kuwa Rais wa Tanzania?

Je, Tundu Lissu anazo sifa za kuwa Rais wa Tanzania?

Shida ni kiburi,Jeuri,dharau na ubishi pamoja na ubabe kisu anachotumia kuwachinjia mahasimu wake akiwamaliza ataturudia sisi wanyonge tutaburuzwa mpaka basi.

Sifa za Rais lazima awe muungwana asimamie mifumo yote ijiendeshe kwa Sheria tulizokubaliana waajiliwa na wateuliwa wote watimize wajibu wao.

Kila Mwananchi atende wajibu wake na ajione kwamba ni mwenye nchi hii na vizazi vijavyo vinayo haki ya kunufaika na matunda yatakayopatikana.

..raisi anadhibitiwa na KATIBA.

..ktk uchaguzi wa 2020 Lissu alieleza kwamba hataki kuwa Raisi Mfalme asiyedhibitiwa na Katiba, aliyejuu ya sheria.

..wagombea wote wa Ccm wamekuwa waking'ang'ania katiba hii ya sasa hivi inayomfanya raisi kuwa " mungu mtu" na jui ya sheria.
 
hana sifa stahiki kwa nafasi hiyo maoni yangu na mtazamo wangu.
si muaminifu,
si mzalendo, uzalendo wake wa mashaka.
si mstahimilivu
si muungwana
ana majivuno na dharau kupindukia,
amepungukiwa hekima na Busara,
si mtarabibu wala mstaarabu,
ni mbishi asie na utii,
hana mipango bali lawama,
haaminiki kitaifa bali ng'ambo kwa watwana,
ana uchu na tamaa mno,
ni mbinafsi hatari,
ni mpenda fujo sana,
ana chuki na wanaotofautiana nae kimtazamo,
ni mjeuri mwenye elimu
ana hasira iliyofichika.

nadhani Mbowe anafaa zaidi.
ni mstahimilivu,
Mzalendo asiye na shaka,
si mbishi,
ni mtulivu, mwenye hekima na Busara
hajivuni na wala haringi,
muongea kwa utaratibu na ustaarbu,
Hatukani wala kukejeli mtu,
Hana chuki wala habagui wenye tofauti na mtazamo wake.
si mbinafsi.
Anaaminika kitaifa na kimataifa
Jamaa ni muungwana sana,


nakuja kumalizia ngoja nipande daladala kwanza...........
Nakuunga Mkuu katika hili,
Mbowe ana busara sana.. ila huyo Tundu hapana Kwa kweli


Mara mia aendelee SSH ila siyo Lisu.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
..Maza mwenyewe alisema.

..Pia alisema alikuwa mwanaharakati.

..kwa msingi huo msiwazodoe wapinzani waliowahi kufeli masomoni.

..pia wapinzani ambao ni wanaharakati wasisumbuliwe.
Wapinzani waliofeli masomoni ni wepi?
 
..Maza mwenyewe alisema.

..Pia alisema alikuwa mwanaharakati.

..kwa msingi huo msiwazodoe wapinzani waliowahi kufeli masomoni.

..pia wapinzani ambao ni wanaharakati wasisumbuliwe.
Wapinzani wepi walifeli masomoni?


ni heri upate division 4 yako mwenyewe kuliko division I ya chabo. Watu wanaosoma hizi St. Monalisa huwa wananunua matokeo na kuongea kiingereza.
Kabisa
 
Wapinzani waliofeli masomoni ni wepi?

..Maza hata kufanya teuzi ameshindwa. Huhitaji kuletewa vyeti au matokeo yake.

..toka tupate uhuru hatujawahi kuwa na Raisi anayeteua Mtendaji na kutengua uteuzi baada ya siku moja / chache.

..maana yake ni moja tu kuwa kazi ya Uraisi imemshinda.
 
..Maza hata kufanya teuzi ameshindwa. Huhitaji kuletewa vyeti au matokeo yake.

..toka tupate uhuru hatujawahi kuwa na Raisi anayeteua Mtendaji na kutengua uteuzi baada ya siku moja / chache.

..maana yake ni moja tu kuwa kazi ya Uraisi imemshinda.
Muongo, mbona yupo mtu aliyeteuliwa ambae hata kuapa alishindwa na kutenguliwa hapohapo?
 
..Maza hata kufanya teuzi ameshindwa. Huhitaji kuletewa vyeti au matokeo yake.

..toka tupate uhuru hatujawahi kuwa na Raisi anayeteua Mtendaji na kutengua uteuzi baada ya siku moja / chache.

..maana yake ni moja tu kuwa kazi ya Uraisi imemshinda.
Katiba inamruhusu
Iweje wewe unasema ameshindwa?
 
Anazo zote na za ziada!, na ndio maana uchaguzi wa mwaka tulimshauri Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

Ila kwa uchaguzi wa 2025, niliwaomba Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye! hivyo iwapo CCM itamsimamisha mgombea Mwanamke, TL asigombee maana itakuwa ni aibu kushindwa na Mwanamke!.

Unless kama sauti hii ni yake YEYE, Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke then TL agombee, wapambane!.

P
Hii ndio sera? atoe njia mbadala ya kumaliza hamahama ya wafugaji badala ya kuhadithia tu. Huku ndiko kudandiadandia

View: https://www.youtube.com/watch?v=z5KKEY5FUyc
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Anazo zote na za ziada!, na ndio maana uchaguzi wa mwaka tulimshauri Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

Ila kwa uchaguzi wa 2025, niliwaomba Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye! hivyo iwapo CCM itamsimamisha mgombea Mwanamke, TL asigombee maana itakuwa ni aibu kushindwa na Mwanamke!.

Unless kama sauti hii ni yake YEYE, Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke then TL agombee, wapambane!.

P
Siyo suala la kukabithi au kuamua kikundi kidogo cha watu! Upatikane mfumo utakaotuhakikishia Fair competition na watanzania wachague wamtakaye! Mambo ya zamu ya nani ipelekwe huko Rwanda na kwa M7. Hapa tunataka demokrasia itamalaki!
 
hana sifa stahiki kwa nafasi hiyo maoni yangu na mtazamo wangu.
si muaminifu,
si mzalendo, uzalendo wake wa mashaka.
si mstahimilivu
si muungwana
ana majivuno na dharau kupindukia,
amepungukiwa hekima na Busara,
si mtarabibu wala mstaarabu,
ni mbishi asie na utii,
hana mipango bali lawama,
haaminiki kitaifa bali ng'ambo kwa watwana,
ana uchu na tamaa mno,
ni mbinafsi hatari,
ni mpenda fujo sana,
ana chuki na wanaotofautiana nae kimtazamo,
ni mjeuri mwenye elimu
ana hasira iliyofichika.

nadhani Mbowe anafaa zaidi.
ni mstahimilivu,
Mzalendo asiye na shaka,
si mbishi,
ni mtulivu, mwenye hekima na Busara
hajivuni na wala haringi,
muongea kwa utaratibu na ustaarbu,
Hatukani wala kukejeli mtu,
Hana chuki wala habagui wenye tofauti na mtazamo wake.
si mbinafsi.
Anaaminika kitaifa na kimataifa
Jamaa ni muungwana sana,


nakuja kumalizia ngoja nipande daladala kwanza...........
hana sifa stahiki kwa nafasi hiyo maoni yangu na mtazamo wangu.--- "Mtizamo wako"
si muaminifu,--Kwa kigezo kipi? Kwa mwita "mama" mwizi?
si mzalendo, uzalendo wake wa mashaka.-- Kwa kigezo cha kupambana na wauza nchi wakiongozwa na Saa100
si mstahimilivu- Kwa sababu anapiga kelele majizi ya raslimali akina saa100 wanapofumba macho
si muungwana-- kwa sababu havumilii majizi na wauza nchi wakiongozwa na saa100
ana majivuno na dharau kupindukia,- Anawadharau sana majizi na anajivunia uwajibikaji na usafi
amepungukiwa hekima na Busara,-- Kwa sababu alikosa hekima alipoanza kuwashughulikia majizi
si mtarabibu wala mstaarabu,- Amewaumbua majizi na wauza Nchi yakiongozwa na saa100
ni mbishi asie na utii,-- Tunahitaji Rais asiyetii miongozo/ushauri ya mafisadi kama saa100 anayeongozwa na JK
hana mipango bali lawama,- Mpe Nchi uone mipango yake. Alipendekeza bima ya afya sasa fisadi mkuu amedandia sijui atatekelezaje
haaminiki kitaifa bali ng'ambo kwa watwana,- Kubalini fair competition muone kama haaminiki.
ana uchu na tamaa mno,- Thibitisha
ni mbinafsi hatari,-Thibitisha
ni mpenda fujo sana,-- Aendeleze fujo kwa majizi tu
ana chuki na wanaotofautiana nae kimtazamo,- Thibitisha
ni mjeuri mwenye elimu-- Saa100 ni kilaza asiye na elimu utachagua yupi? Waarabu wameona mteremko wanakomba kila kitu.
ana hasira iliyofichika.--Afadhali aliye na hasira kwa sababu hatavumilia majizi

Hapa chini tunaelewa lengo lako ni kuwagawa CDM umeshindwa puuuuuuuuuuu

nadhani Mbowe anafaa zaidi.
ni mstahimilivu,
Mzalendo asiye na shaka,
si mbishi,
ni mtulivu, mwenye hekima na Busara
hajivuni na wala haringi,
muongea kwa utaratibu na ustaarbu,
Hatukani wala kukejeli mtu,
Hana chuki wala habagui wenye tofauti na mtazamo wake.
si mbinafsi.
Anaaminika kitaifa na kimataifa
Jamaa ni muungwana sana,


nakuja kumalizia ngoja nipande daladala kwanza..........
 
hana sifa stahiki kwa nafasi hiyo maoni yangu na mtazamo wangu.--- "Mtizamo wako"
si muaminifu,--Kwa kigezo kipi? Kwa mwita "mama" mwizi?
si mzalendo, uzalendo wake wa mashaka.-- Kwa kigezo cha kupambana na wauza nchi wakiongozwa na Saa100
si mstahimilivu- Kwa sababu anapiga kelele majizi ya raslimali akina saa100 wanapofumba macho
si muungwana-- kwa sababu havumilii majizi na wauza nchi wakiongozwa na saa100
ana majivuno na dharau kupindukia,- Anawadharau sana majizi na anajivunia uwajibikaji na usafi
amepungukiwa hekima na Busara,-- Kwa sababu alikosa hekima alipoanza kuwashughulikia majizi
si mtarabibu wala mstaarabu,- Amewaumbua majizi na wauza Nchi yakiongozwa na saa100
ni mbishi asie na utii,-- Tunahitaji Rais asiyetii miongozo/ushauri ya mafisadi kama saa100 anayeongozwa na JK
hana mipango bali lawama,- Mpe Nchi uone mipango yake. Alipendekeza bima ya afya sasa fisadi mkuu amedandia sijui atatekelezaje
haaminiki kitaifa bali ng'ambo kwa watwana,- Kubalini fair competition muone kama haaminiki.
ana uchu na tamaa mno,- Thibitisha
ni mbinafsi hatari,-Thibitisha
ni mpenda fujo sana,-- Aendeleze fujo kwa majizi tu
ana chuki na wanaotofautiana nae kimtazamo,- Thibitisha
ni mjeuri mwenye elimu-- Saa100 ni kilaza asiye na elimu utachagua yupi? Waarabu wameona mteremko wanakomba kila kitu.
ana hasira iliyofichika.--Afadhali aliye na hasira kwa sababu hatavumilia majizi

Hapa chini tunaelewa lengo lako ni kuwagawa CDM umeshindwa puuuuuuuuuuu

nadhani Mbowe anafaa zaidi.
ni mstahimilivu,
Mzalendo asiye na shaka,
si mbishi,
ni mtulivu, mwenye hekima na Busara
hajivuni na wala haringi,
muongea kwa utaratibu na ustaarbu,
Hatukani wala kukejeli mtu,
Hana chuki wala habagui wenye tofauti na mtazamo wake.
si mbinafsi.
Anaaminika kitaifa na kimataifa
Jamaa ni muungwana sana,


nakuja kumalizia ngoja nipande daladala kwanza........
nimeshatoa maoni na mtazamo wangu juu nionavyo mie kwa waungwana mafahali hao wawili....

hata wewe unaweza ukawa na maoni yako binafsi tofauti na yangu, na hiyo ni haki na uhuru wako....

kuthibitisha mtazamo na maoni yangu na yako, sio kwa blalaa na maneno mengi ni kwenye sanduku la kura za maoni ktk vyama. Na katika hilo subra haitajika na kwa wakati muafaka itabainika...

kuhisi nakusudia kuigawa CDM, huo ni mtazamo na maoni yako binafsi, ninayaheshimu sana, japo ni upotoshaji...

This is politics...
 
Tundu Lissu anaweza akafanya kwa ufanisi kazi za kutumwa lakini siyo kuwa mwamuzi wa mwisho.

Ana element za Ki-Magufuli kujisikia kuwa yeye ndiyo ana akili kuliko wengine na ni bora kuliko wengine. Hizo ndiyo typical characteristics za ma DIKTETA. Nadhani hata risasi alizopigwa na Magufuli zilitokana na kwamba fuse zinazofanana zili react zilipokutana.

Urais inahitaji mtu humble, mwenye akili iliyotulia, anayefikiria jambo mara 2, anayetafuta ushauri kwa wengine, asiye mropokaji, anaye muogopa Mungu kwa vitendo na asiyependa dhuluma.

Samia hadi 2030
Au kwa kifupi unatuambia unataka mtu anayeweza/anaependa kuuza rasilimali za nchi hii.
 
hana sifa stahiki kwa nafasi hiyo maoni yangu na mtazamo wangu.--- "Mtizamo wako"
si muaminifu,--Kwa kigezo kipi? Kwa mwita "mama" mwizi?
si mzalendo, uzalendo wake wa mashaka.-- Kwa kigezo cha kupambana na wauza nchi wakiongozwa na Saa100
si mstahimilivu- Kwa sababu anapiga kelele majizi ya raslimali akina saa100 wanapofumba macho
si muungwana-- kwa sababu havumilii majizi na wauza nchi wakiongozwa na saa100
ana majivuno na dharau kupindukia,- Anawadharau sana majizi na anajivunia uwajibikaji na usafi
amepungukiwa hekima na Busara,-- Kwa sababu alikosa hekima alipoanza kuwashughulikia majizi
si mtarabibu wala mstaarabu,- Amewaumbua majizi na wauza Nchi yakiongozwa na saa100
ni mbishi asie na utii,-- Tunahitaji Rais asiyetii miongozo/ushauri ya mafisadi kama saa100 anayeongozwa na JK
hana mipango bali lawama,- Mpe Nchi uone mipango yake. Alipendekeza bima ya afya sasa fisadi mkuu amedandia sijui atatekelezaje
haaminiki kitaifa bali ng'ambo kwa watwana,- Kubalini fair competition muone kama haaminiki.
ana uchu na tamaa mno,- Thibitisha
ni mbinafsi hatari,-Thibitisha
ni mpenda fujo sana,-- Aendeleze fujo kwa majizi tu
ana chuki na wanaotofautiana nae kimtazamo,- Thibitisha
ni mjeuri mwenye elimu-- Saa100 ni kilaza asiye na elimu utachagua yupi? Waarabu wameona mteremko wanakomba kila kitu.
ana hasira iliyofichika.--Afadhali aliye na hasira kwa sababu hatavumilia majizi

Hapa chini tunaelewa lengo lako ni kuwagawa CDM umeshindwa puuuuuuuuuuu

nadhani Mbowe anafaa zaidi.
ni mstahimilivu,
Mzalendo asiye na shaka,
si mbishi,
ni mtulivu, mwenye hekima na Busara
hajivuni na wala haringi,
muongea kwa utaratibu na ustaarbu,
Hatukani wala kukejeli mtu,
Hana chuki wala habagui wenye tofauti na mtazamo wake.
si mbinafsi.
Anaaminika kitaifa na kimataifa
Jamaa ni muungwana sana,


nakuja kumalizia ngoja nipande daladala kwanza..........
Hatakiwi kulalamika na kutoa taarifa kwa watanzania, bali anatakiwa aonyeshe njia sahihi mbadala ya kutenda na kuliendea jambo husika kama ataaminwa na kupewa nafasi ya kuwa Rais. Anapaswa kusema kama mimi mkinipa nafasi ya kuwa Rais nitaziondoa mbuga/hifadhi za wanyama zote na kuwapa wafugaji wachungie, au nitawaondoa wakulima wote au nitawaambia wafugaji wapunguze mifugo yao, nk, nk. Lakini kulalamika tyuuuuu bila kuonyesha njia ingine sio sawa.
 
Back
Top Bottom