Je, Tundu Lissu anazo sifa za kuwa Rais wa Tanzania?

Je, Tundu Lissu anazo sifa za kuwa Rais wa Tanzania?

Rais Samia ni muumini wa total football, JPM alikuwa muunini wa kwenda na vipandevipande. JPM alikuwa anasimamisha mambo mengine ili kufanikisha mambo mengine haraaka, lakini Mama Samia anafanikisha mambo yote kwa wakati mmoja polepole. Wakati wa JPM tuliona kuwa kipaumbele chake kilikuwa ni ujenzi, ujenzi, ujenzi, ujenzi, ujenzi na kusimamisha mambo mengine kwanza. Tuliona nchi kama vile imetekwa na jeshi, kila barabara kila mtaa, kila site ya ujenzi, kila lindo kulikuwa na wanajeshi/polisi. Polisi walikuwa anapita njia yoyote na upande wowote wa barabara bila kuzingatia alama za barabarani.
Ungetoa mfano wa kitu kipya alichokibuni Samia mbali ya vile anavyoendeleza vya Magufuli, ungekuwa kidogo umetoa mwanga katika nadharia yako hiyo ya "total football".

Hata kama nadharia hiyo ingekuwa kweli, kwa hali ya uchumi tuliyo nayo, 'impact' ya matokeo yake ingekuwa hakuna kabisa, kwa sababu bila f'focus' maalum kwa mambo machache kuyafanya kwa ufanisi na kwa haraka, tunabaki tunazungukia mlemle tu na vimiradi/matukio bila kuona lolote lililofanyika.

Binafsi, ningeridhika sana kuona mradi wa Bwawa la umeme, na SGR vikienda kwa haraka, kwa ufanisi na kukamilika katika muda uliopangwa. Sioni sababu ya kusambaza juhudi kila mahala kwa wakati mmoja na kuchukua muda mrefu kukamilisha, na mara nyingi kwa gharama kubwa, na hata kushindwa kabisa baadhi ya miradi kama hiyo.
Angalia Reli ya Mchina (SGR) hapo jirani ilivyokwenda kasi na kuisha kwa wakati; au ile barabara ya Express waliyojenga baada ya reli.

Utendaji wa aina ile ndio huleta mabadiliko ya haraka na unajenga uchumi kwa haraka.

Kuhusu hiyo aya ya kwanza juu ya Samia na uwezo wake wa kuongoza, ngoja niliache hilo kiporo.
Samia siyo kiongozi wa kutolea mfano kwa lolote, labda ujanjaujanja tu, ambao nao watu sasa wameubaini.
Mbaya zaidi ni hilo la Bandari na tabia yake ya kudhani waTanzania hawana uwezo wa kujiletea maendeleo wao wenyewe. Haya yanamfanya aonekane kuwa kiongozi wa hovyo kabisa kuliko wote.
 
Ungetoa mfano wa kitu kipya alichokibuni Samia mbali ya vile anavyoendeleza vya Magufuli, ungekuwa kidogo umetoa mwanga katika nadharia yako hiyo ya "total football".

Hata kama nadharia hiyo ingekuwa kweli, kwa hali ya uchumi tuliyo nayo, 'impact' ya matokeo yake ingekuwa hakuna kabisa, kwa sababu bila f'focus' maalum kwa mambo machache kuyafanya kwa ufanisi na kwa haraka, tunabaki tunazungukia mlemle tu na vimiradi/matukio bila kuona lolote lililofanyika.

Binafsi, ningeridhika sana kuona mradi wa Bwawa la umeme, na SGR vikienda kwa haraka, kwa ufanisi na kukamilika katika muda uliopangwa. Sioni sababu ya kusambaza juhudi kila mahala kwa wakati mmoja na kuchukua muda mrefu kukamilisha, na mara nyingi kwa gharama kubwa, na hata kushindwa kabisa baadhi ya miradi kama hiyo.
Angalia Reli ya Mchina (SGR) hapo jirani ilivyokwenda kasi na kuisha kwa wakati; au ile barabara ya Express waliyojenga baada ya reli.

Utendaji wa aina ile ndio huleta mabadiliko ya haraka na unajenga uchumi kwa haraka.

Kuhusu hiyo aya ya kwanza juu ya Samia na uwezo wake wa kuongoza, ngoja niliache hilo kiporo.
Samia siyo kiongozi wa kutolea mfano kwa lolote, labda ujanjaujanja tu, ambao nao watu sasa wameubaini.
Mbaya zaidi ni hilo la Bandari na tabia yake ya kudhani waTanzania hawana uwezo wa kujiletea maendeleo wao wenyewe. Haya yanamfanya aonekane kuwa kiongozi wa hovyo kabisa kuliko wote.
Hawajui kuwa hata kutoa msaada kwa watu waliokumbwa na mafuriko au tetemeko ni ujamaa pia.
 
Lisu hafai kuwa hata diwani, huyo unamfaa uanaharakati tena usio na tija.
 
Kwanini hizo sifa aulizwe kuwa nazo Tundu Lissu, na wengine wote kasoro Mwalimu Nyerere wasiwe wameulizwa kama wanazo?

Hebu chukulia mfano wa huyu tuliye naye sasa, halafu nipe sifa hata moja tu ya kipekee inayomtambulisha kuwa na sifa za urais?

Kwa maoni yangu, Tundu Lissu anazo sifa kumzidi Mwinyi, Kikwete na ningesema hata Magufuli, isingekuwa uigizaji wa uzalendo aliojaribu kuuonyesha.
Tunamuuliza Tundu Lissu kwakuwa aliutaka na anautaka Urais. Je, anaifahamu hii historia na ukweli anaousema Rais Museveni hapa? Take your time to listen him

View: https://www.youtube.com/watch?v=m9J_RC1VhxY
 
Ninapouona upumbavu sina sababu ya kutousema.
Huu unafanya upumbavu na huwa sina subira na upumbavu popote ninapouona..
kuna watu wanadhani kuwa wanaweza ku copy na ku paste demokrasia ya Ubelgiji na Marekani Tanzania. Huu ndio ujinga ambao umezimaliza nchi za Afrika. Kuna mtu anataka kuiongoza nchi kwa kutegemea urafiki wake mzuri na nchi za Magharibi na kusahau kuwa Magharibi hakuna free lunch. Sifa kama hii haikubaliki na haivumiliki, na ndio maana kuna askari mmoja aliwahi kumwambia mgombea mmoja kuwa kwa tabia na sifa yako hii "hushindi uchaguzi ng'oo". Sio kwamba yule askari alikuwa anaipenda sana CCM kuliko upinzani, lakini kama mwananchi nae anazijua sifa na tabia ya Rais wa Tanzania; hakuziona kwa mgombea yule ambae nimemsahau jina lake.
 
Ungetoa mfano wa kitu kipya alichokibuni Samia mbali ya vile anavyoendeleza vya Magufuli, ungekuwa kidogo umetoa mwanga katika nadharia yako hiyo ya "total football".

Hata kama nadharia hiyo ingekuwa kweli, kwa hali ya uchumi tuliyo nayo, 'impact' ya matokeo yake ingekuwa hakuna kabisa, kwa sababu bila f'focus' maalum kwa mambo machache kuyafanya kwa ufanisi na kwa haraka, tunabaki tunazungukia mlemle tu na vimiradi/matukio bila kuona lolote lililofanyika.

Binafsi, ningeridhika sana kuona mradi wa Bwawa la umeme, na SGR vikienda kwa haraka, kwa ufanisi na kukamilika katika muda uliopangwa. Sioni sababu ya kusambaza juhudi kila mahala kwa wakati mmoja na kuchukua muda mrefu kukamilisha, na mara nyingi kwa gharama kubwa, na hata kushindwa kabisa baadhi ya miradi kama hiyo.
Angalia Reli ya Mchina (SGR) hapo jirani ilivyokwenda kasi na kuisha kwa wakati; au ile barabara ya Express waliyojenga baada ya reli.

Utendaji wa aina ile ndio huleta mabadiliko ya haraka na unajenga uchumi kwa haraka.

Kuhusu hiyo aya ya kwanza juu ya Samia na uwezo wake wa kuongoza, ngoja niliache hilo kiporo.
Samia siyo kiongozi wa kutolea mfano kwa lolote, labda ujanjaujanja tu, ambao nao watu sasa wameubaini.
Mbaya zaidi ni hilo la Bandari na tabia yake ya kudhani waTanzania hawana uwezo wa kujiletea maendeleo wao wenyewe. Haya yanamfanya aonekane kuwa kiongozi wa hovyo kabisa kuliko wote.
Hakuna kitu kipya kinachohitajika, vitu ni hivyohovyo TU vya maji, ardhi, umeme, elimu, afya, wanyama, uchimbaji, barabara, masoko, kilimo, viwanda, nk vya tangu awamu ya kwanza kila Rais ajae anaviboresha na kuviendeleza. Unataka abuni kipya aachane na maji, afya, elimu, au? Hata JPM hakuwa na kipya hata kimoja, alikuwa anaendeleza vya wwnzake TU.
 
Hakuna kitu kipya kinachohitajika, vitu ni hivyohovyo TU vya maji, ardhi, umeme, elimu, afya, wanyama, uchimbaji, barabara, masoko, kilimo, viwanda, nk vya tangu awamu ya kwanza kila Rais ajae anaviboresha na kuviendeleza. Unataka abuni kipya aachane na maji, afya, elimu, au? Hata JPM hakuwa na kipya hata kimoja, alikuwa anaendeleza vya wwnzake TU.
Huo ndio uelewa wako, ambao sasa naona ni mfinyu sana.
Kwa hiyo endelea kuelewa hivyo hivyo, sioni sababu ya kupoteza muda kwa mada hii.
 
Kwa mtazamo wangu Lissu sio presidential material yule ni mwana harakati pia ana hulka ya kujiona much-know hata kwenye mambo ambayo angeweza kupuuzia tu. Chukulia mfano suala la Pro.Assad kuondolewa ofisini, angekua Lissu ndie CAG kungekua na mvutano sana hata alivyoitwa Dodoma asingeenda ila mzee wa watu kaitwa Dodoma kuhojiwa kaenda kaletewa zengwe akawaachia ofisi yao, kwani shida nini? Ila Lissu yupo vizuri kichwani halafu anapenda sana haki ni mtu wa kupewa nafasi kubwa mfano waziri mkuu, mwanasheria mkuu n.k atalisaidia taifa.
 
Huo ndio uelewa wako, ambao sasa naona ni mfinyu sana.
Kwa hiyo endelea kuelewa hivyo hivyo, sioni sababu ya kupoteza muda kwa mada hii.
Hata huna unachoelewa. Tangu Uhuru watu bado hawana maji ya kunywa na kufulia, akitokea Rais akahakikisha kuwa kila kijiji na kila mtu anapata maji, anapata umeme, anapata matibabu anapata chakula hilo sio jambo jipya? Hufai kuwa hata diwani sembuse Urais? Sabuni kama inatoa povu au haitoi povu usiijaribie kwenye nywele zako za kichwani, tumia nywele za chini kwanza kabla ya kichwani. Kuna mtu anataka Urais lakini kwenye Jimbo lake hajachimba hata choo kimoja Cha sokoni.
 
Kwa mtazamo wangu Lissu sio presidential material yule ni mwana harakati pia ana hulka ya kujiona much-know hata kwenye mambo ambayo angeweza kupuuzia tu. Chukulia mfano suala la Pro.Assad kuondolewa ofisini, angekua Lissu ndie CAG kungekua na mvutano sana hata alivyoitwa Dodoma asingeenda ila mzee wa watu kaitwa Dodoma kuhojiwa kaenda kaletewa zengwe akawaachia ofisi yao, kwani shida nini? Ila Lissu yupo vizuri kichwani halafu anapenda sana haki ni mtu wa kupewa nafasi kubwa mfano waziri mkuu, mwanasheria mkuu n.k atalisaidia taifa.
Shida ya Lissu anasahau kuwa hii Katiba ya Nyerere ya 1977 imempa nguvu nyingi Rais, anarakiwa kulifahamu na kulitii hilo kwanza kabla ya mambo mengine. Mfano, Lissu alichangia sana kuvunjila kwa mchAkato wa uandishi wa Katiba mpya 2015 kwa kung'ang'ania Lazima, lazima, lazima serikali 3. Mambo yote mule yalikuwa safi ikiwemo tume huru ya uchaguzi na uchaguzi kuhojiwa mahakamani lakini watanzania waliikosa katiba mpya kipindi kile kwasababu ya akina Lissu kutoka nje na kuunda UKAWA. Angekuwa mtu mwenye staha angekubali kwa kuvumilia Katiba mpya nzuri lakini yenye muungano wa serikali 2 na akishaupata Urais angekuwa na nguvu za kuandika tena Katiba yenye serikali 3 au muungano wa mkataba kama wanavyotaka. Lakini walikuwa na jazba kubwa sana ya kutaka vitu vyote leoleo.
 
Kwa mtazamo wangu Lissu sio presidential material yule ni mwana harakati pia ana hulka ya kujiona much-know hata kwenye mambo ambayo angeweza kupuuzia tu. Chukulia mfano suala la Pro.Assad kuondolewa ofisini, angekua Lissu ndie CAG kungekua na mvutano sana hata alivyoitwa Dodoma asingeenda ila mzee wa watu kaitwa Dodoma kuhojiwa kaenda kaletewa zengwe akawaachia ofisi yao, kwani shida nini? Ila Lissu yupo vizuri kichwani halafu anapenda sana haki ni mtu wa kupewa nafasi kubwa mfano waziri mkuu, mwanasheria mkuu n.k atalisaidia taifa.
Kwa vile ni "mtazamo wako", basi juwa kuwa ni mtazamo potofu.
.
Na hili linathibitishwa na maelezo yaliyofuatia, kuhusu mfano wa Prof. Assad ulioutoa wewe; mfano ambao ni wa hovyo kabisa usio ongeza thamani katika "mtizamo" wako.
Mfano huo wewe ndio unaouona kuwa ni sifa ya kuwa kiongozi?

Hii mada imekuzidi kimo, acha kunifuatafuata kunipotezea wakati.
 
Kwa vile ni "mtazamo wako", basi juwa kuwa ni mtazamo potofu.
.
Na hili linathibitishwa na maelezo yaliyofuatia, kuhusu mfano wa Prof. Assad ulioutoa wewe; mfano ambao ni wa hovyo kabisa usio ongeza thamani katika "mtizamo" wako.
Mfano huo wewe ndio unaouona kuwa ni sifa ya kuwa kiongozi?

Hii mada imekuzidi kimo, acha kunifuatafuata kunipotezea wakati.
Hafai na hana sifa hata moja
 
Kama form four failure anaweza kuwa rais basi Lissu ni above next level

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii nzito sana
Nchi inatawaliwa na mbulu….ziii
Tunayataka wenyewe
Guinea Leader anewaambia wa western ‘stop lecturing us… military intervention is….. UN General Assembly last week
Western model of democracy is not for Africa… Yes indeed sio kabisaaa.

ujinga wetu umetufikisha hapa…
 
Unaweza ukatupa mfano wa ukabila CHADEMA? Kila chama kina base yake na strongholds na CHADEMA base yake kubwa ilikua kaskazini.

But chama kimekuwa Sasa kilifika stage kikaongoza majiji yote makubwa Arusha, Dar es Salaam, Mwanza, Mbeya imebakia Dodoma tu alafu bado unakazana kusema ni cha wachagga?

Toka huko kwenye ukabila, in fact siku hizi CHADEMA inakubalika zaidi nyanda za juu kusini kuliko hata huko Uchaggani.
Mzushi na mtu wa kukariri hata buibui anavyotembea.🤔
 
HIZI ZOTE NI POROJO MFU. Kinachotakiwa ni kuwa na uchaguzi huru na wa haki utakaowezesha Watanzania kuchagua Rais wanayemtaka, period. Wao ndio wanajua sifa za Rais wanayemtaka. Watanzania wana haki HATA ya kukosea katika uchaguzi ilimuradi anayechaguliwa akiharibu, wawe na uwezo pia wa kumbadili kwa kura katika uchaguzi unaofuatia. Ikibidi hata kumchukulia hatua za kisheria.

Hii mijadala ya “sifa za Rais” inayoegemea kwenye ushabiki na uchawa ni ujinga mkubwa unaokwamisha taifa kupiga hatua ya maendeleo makini na “modernization”. Kama hatutaki demokrasia au tunaona demokrasia haina maana katika taifa hili BASI tuachie magenge ya CCM yaendelee kujiteua na kuhujumu nchi. Hatuhitaji kuhalalisha uozo wa tawala mbovu kwa kisingizio cha “sifa za uRais” zinazopimwa ki-chawa.

Mara, hakuna chama mbadala, mara hakuna mwenye maono huko upinzani, n.k. All such stupidity! Let the People (Tanzanians) have their say. It’s their call to make; not the bootlicking demagogues! Or, we just shut up and continue kowtowing to the mafia in our midst.
 
Raia pacha atakuwaje na sifa za kututawala? Amekana uraia wa Ubelgiji? Uhamiaji kazi kwenu
Una uhakika kuwa ni raia wa ubelgiji, au kwakuwa walimtibu? Swali labda lingekuwa alitibiwa na nani kwa gharama kiasi gani, kwasababu gani na atarudishaje hizo gharama?
 
Back
Top Bottom