johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Tupe mfano mmoja tu πKwa hili Lissu ni mshamba sana,
Zipo Bislashara kibao wamiliki ni ghosts for a reason.
Mazingira yeyote ya kuweka biashara zako wazi ukiwa kwenye siasa ni kitafuta kujimaliza.
Wapo wengi sana duniani hawaonekani kwenye list yeyote ya legal business lakini ni matycoon.
Yeye hajawahi fanya biashara and he knows nothing about it.....
Atulie aombe michango achangiwe aache bla bla za kishamba.
Hashangai ni yeye tu anazungusha bakuli kuomba mia mia wenzake daily Dubai, Nairobi, Dar, US etc..
Wewe unaish kwa free meal ya special political asylum card bwana wacha kujilinganisha na kila mtu.
Hizi ni hisia na maoni yako binafsi au ni Facts?Sio kweli. Hata biashara chini ya trustees hujulikana ndio ziwe biashara za mtu binafsi?
Nimemjibi mwenzako hapo Juu...Tupe mfano mmoja tu π
LISU ni mkweli mnoLissu ni muwazi sana sana.
Umeona eeh!!?Sio kweli. Hata biashara chini ya trustees hujulikana ndio ziwe biashara za mtu binafsi?
Nimetoa mifano hapo juu nitajie wamiliki.Sio kweli. Hata biashara chini ya trustees hujulikana ndio ziwe biashara za mtu binafsi?
Lissu anapiga kwenye mshonoWakuu, Tundu Lissu alipofika Uwanja wa ndege, amehoji chanzo cha fedha kwa baadhi ya watu.
Tundu Lissu amesema, "Ni muhimu tukajua, katika Mazingira ya Tanzania halisi hii, haya Mamilioni haya yanatokea wapi na ni salama kiasi gani? Kama mtu ana biashara Nchini au Nje ya Nchi, kuna biashara ambayo huwa haijulikani? Kuna Biashara isiyokuwa na TIN number, isiyokuwa na Leseni, isiyokuwa na jina isiyokuwa na Ofisi Mahali, isiyokuwa na Bank account? Ipo? Niambieni." Mwisho wa kumnukuu.
Je, haya maneno yanalenga Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe?
Sababu ndo huwa anasema ana biashara zake.
Kuna Kipindi Paul Makonda alishindwa kujua Mbowe anafanyabiasha gani hadi akahisi anafanya biashara za madawa ya kulevya.
Pia, soma:
Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...
Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa
Hebu mtaje hata mmoja ili nasisi tujiridhishe.Wapo wengi sana duniani hawaonekani kwenye list yeyote ya legal business lakini ni matycoon.
Nilidhani utanipa mfano wa Tanzania Kwa mfumo wetu wa UchumiNimemjibi mwenzako hapo Juu...
Kama ni mmoja tu bas ni blackrock
Na kwa Tanzania Unatumia Wahindi,
πππNilidhani utanipa mfano wa Tanzania Kwa mfumo wetu wa Uchumi
Kwinguneko duniani inajulikana hata Wauza KITI Moto wa Dubai Majina hayawekwagi hadharani πππ
Happy New Year πΉ
Larry Fink1.Blackrock
Serikali haiwezi kushindwa kujua biashara zako mtu uliye kwenye siasa kwa nafasi kubwa kama ya mbowe. Hata mbowe aweke jina la kitukuu bado serikali itajua. Point yako hii inakosa nguvuKwa hili Lissu ni mshamba sana,
Zipo Bislashara kibao wamiliki ni ghosts for a reason.
Mazingira yeyote ya kuweka biashara zako wazi ukiwa kwenye siasa ni kitafuta kujimaliza.
Wapo wengi sana duniani hawaonekani kwenye list yeyote ya legal business lakini ni matycoon.
Yeye hajawahi fanya biashara and he knows nothing about it.....
Atulie aombe michango achangiwe aache bla bla za kishamba.
Hashangai ni yeye tu anazungusha bakuli kuomba mia mia wenzake daily Dubai, Nairobi, Dar, US etc..
Wewe unaish kwa free meal ya special political asylum card bwana wacha kujilinganisha na kila mtu.
Unatuuzia uongo. Serikali inajua wanasiasa wote na biashara zao hata ufiche vipi majina. Labda uwe kidagaaπππ
We mtu mzima bwana, hujui nani analeta wahindi na wachina bongo?
Unaanzisha consortium unaweka Wachina na wahindi wanapewa uraia fasta we unakula tu maisha...
Mbona hii ipo open sana?
Huyo mshamba ndio analeta blabla zake za Tin number kama ametoka Ikungi juzi
Hapana mkuu. Mbowe ni drug dealerNimetoa mifano hapo juu nitajie wamiliki.
Labda kama mgeni jijini... Biashara nyingi bongo za wanasiasa wajanja wanatumia wahindi na waarabuil kama owners .
Tanzania nzima wahindi ndio wanaendesha biashara anonymous za wanasiasa wa kibongo na wao ndio wamiliki.
Nimekusanua mkuu...
Huyo ni CEO kaka .Larry Fink
Pharmaceuticals au vipπHapana mkuu. Mbowe ni drug dealer
Haiwezi kujua kila kitu mzee...Unatuuzia uongo. Serikali inajua wanasiasa wote na biashara zao hata ufiche vipi majina. Labda uwe kidagaa
Vanguard shareholders..State street
Ni Moja ya wanasiasa wachache wa kitz mwenye kaliba hiyo. Mungu amuweke sana TALLissu ni muwazi sana sana.
Haya Rudi tena nani ana Own Vanguard...Vanguard shareholders.