Je, Tundu Lissu ni mkweli kupita kiasi, au ni mropokaji?

Je, Tundu Lissu ni mkweli kupita kiasi, au ni mropokaji?

JokaKuu

Platinum Member
Joined
Jul 31, 2006
Posts
34,188
Reaction score
62,952
..Huyu bwana ni mwanasiasa tofauti sana, na wa aina yake miongoni mwa wanasiasa waliokuwepo, na waliopo.

..Tundu Lissu ni mtu aliye moto muda wote. Hakuna kipindi yuko wa vuguvugu, au wa baridi.

..Ni mwanasiasa ambaye wasiomkubalana naye wanamchukia kupita viwango, na wanaokubaliana naye wana mahaba naye kwelikweli.

..Katika kujaribu kumchambua wapo wanaoamini Tundu Lissu ni msema hovyo, na mropokaji. Kwa upande mwingine kuna wanaoamini Tundu Lissu ni mpenda haki asiyepindisha, na msemakweli kupita kiasi.

..Tundu Lissu ni mtu, au mwanasiasa, wa aina gani?
 
..Huyu bwana ni mwanasiasa tofauti sana, na wa aina yake miongoni mwa wanasiasa waliokuwepo, na waliopo.

..Tundu Lissu ni mtu aliye moto muda wote. Hakuna kipindi yuko wa vuguvugu, au wa baridi.

..Ni mwanasiasa ambaye wasiomkubalana naye wanamchukia kupita viwango, na wanaokubaliana naye wana mahaba naye kwelikweli.

..Katika kujaribu kumchambua wapo wanaoamini Tundu Lissu ni msema hovyo, na mropokaji. Kwa upande mwingine kuna wanaoamini Tundu Lissu ni mpenda haki asiyepindisha, na msemakweli kupita kiasi.

..Tundu Lissu ni mtu wa aina gani?
It isn’t an exact science; your perception is your reality!
 
Kuna tofauti kubwa kati ya mwanasiasa na mwanaharakati.
CDM bado inamuhitaji kiongozi mwanasiasa.

..Tofauti kati ya mwanasiasa na mwanaharakati ni nini?

..Naomba ututajie Watanzania ambao ni wanaharakati wazuri, na wale ambao ni wanasiasa wazuri.

..Wakati gani Chadema itafanikiwa zaidi ikiongozwa na mwanaharakati, na wakati gani itafanikiwa ikiongozwa na mwanasiasa?
 
..Huyu bwana ni mwanasiasa tofauti sana, na wa aina yake miongoni mwa wanasiasa waliokuwepo, na waliopo.

..Tundu Lissu ni mtu aliye moto muda wote. Hakuna kipindi yuko wa vuguvugu, au wa baridi.

..Ni mwanasiasa ambaye wasiomkubalana naye wanamchukia kupita viwango, na wanaokubaliana naye wana mahaba naye kwelikweli.

..Katika kujaribu kumchambua wapo wanaoamini Tundu Lissu ni msema hovyo, na mropokaji. Kwa upande mwingine kuna wanaoamini Tundu Lissu ni mpenda haki asiyepindisha, na msemakweli kupita kiasi.

..Tundu Lissu ni mtu, au mwanasiasa, wa aina gani?
Ni kweli Lisu ni mkurupukaji. Lisu ni mropokaji. Anaongozwa sana na emotions. Anataka chama chote kiwaze kama yeye, na kwamba yeye ndiye anamiliki ukweli. Tujiulize, Malema yuko wapi? Muda ni mwalimu mzuri. Lisu haya anayoyasema sasa, wamwache aseme, yakiisha hatakuwa na jipya. Lisu ni mvurugaji tu. Mkirogwa mkampa kura zenu, CHADEMA kwishnei.

Mwisho jiulize, kwa nini wakati anatangaza nia, alisema, "akishindwa uchaguzi hakutakuwa na wa kumnyamazisha"?
 
Ni kweli Lisu ni mkurupukaji. Lisu ni mropokaji. Anaongozwa sana na emotions. Anataka chama chote kiwaze kama yeye, na kwamba yeye ndiye anamiliki ukweli. Tujiulize, Malema yuko wapi? Muda ni mwalimu mzuri. Lisu haya anayoyasema sasa, wamwache aseme, yakiisha hatakuwa na jipya. Lisu ni mvurugaji tu. Mkirogwa mkampa kura zenu, CHADEMA kwishnei.

..kila siku Tundu Lissu ana jambo jipya la kusema.

..Je, kumpuuza kutasaidia? Je, inawezekana kumdhibiti kwa hoja?
 
Kuna anayoyajua kweli na kuweza kukupa somo.

Kutokana na imani hiyo ya kujua kama mwalimu anadhani, wote tupo tayari kumeza ujinga hata anapo ongopa.

Anachokera zaidi ni pale anapotumia trust yake mbele ya jamii kwamba ni mwelewa wa sheria kama mwalimu wao. Halafu yeye ku-abuse hiyo kuwapotosha kwa maslahi ya mabeberu and against national interest (hapo ndio wengine tunapomdharau).

Ni mtu wa hovyo (overall), hata kumvaa Mbowe motive zake sio za kuijenga CDM ni maslahi yake ya kugombea uraisi.

Hoja zake za kutokukubali maridhiano ni ujinga mtupu. Kwenye kichwa chake Mbowe hakuwa na makosa na watu kama nyie zama hizo (wakati jeshi la polisi) lilikusanya ushahidi wa mipango yake ya kulipua vituo vya mafuta (Mbowe ni gaidi).

Samia kasemehe yote hayo, same sakata la mzee Kibao (CDM ulihusika) labda kwa kushirikiana na usalama wa taifa (it’s obvious for those who can tie the dots).

Mbowe hafai, lakini hana uwezo na self serving (he is just shallow) on leadership matters.


Same as in CCM and TISS (details zake huko, kuna watu hawataniwi) kwa hivyo sio ya kuyaongelea.

Why in earth would someone put hope kwa taahira kama Lissu that’s, beyond me.

Lissu ni mtu wa hovyo kweli-kweli and very compromised ni taahira tu anaweza msikiliza mijinga yule (he is so shallow) and annoying to me.
 
Ni kweli Lisu ni mkurupukaji. Lisu ni mropokaji. Anaongozwa sana na emotions. Anataka chama chote kiwaze kama yeye, na kwamba yeye ndiye anamiliki ukweli. Tujiulize, Malema yuko wapi? Muda ni mwalimu mzuri. Lisu haya anayoyasema sasa, wamwache aseme, yakiisha hatakuwa na jipya. Lisu ni mvurugaji tu. Mkirogwa mkampa kura zenu, CHADEMA kwishnei.

Mwisho jiulize, kwa nini wakati anatangaza nia, alisema, "akishindwa uchaguzi hakutakuwa na wa kumnyamazisha"?
chadema haiwezi kufa kwa hulka za lissu, mbona ccm haikufa kwa hulka za magufuli?
 
Kuna anayoyajua kweli na kuweza kukupa somo.

Kutokana na imani hiyo ya kujua kama mwalimu anadhani, wote tupo tayari kumeza ujinga hata anapo ongopa.

Anachokera zaidi ni pale anapotumia trust yake mbele ya jamii kwamba ni mwelewa wa sheria kama mwalimu wao. Halafu yeye ku-abuse hiyo kuwapotosha kwa maslahi ya mabeberu and against national interest (hapo ndio wengine tunapomdharau).

Ni mtu wa hovyo (overall), hata kumvaa Mbowe motive zake sio za kuijenga CDM ni maslahi yake ya kugombea uraisi.

Hoja zake za kutokukubali maridhiano ni ujinga mtupu. Kwenye kichwa chake Mbowe hakuwa na makosa na watu kama nyie zama hizo (wakati jeshi la polisi) lilikusanya ushahidi wa mipango yake ya kulipua vituo vya mafuta (Mbowe ni gaidi).

Samia kasemehe yote hayo, same sakata la mzee Kibao (CDM ulihusika) labda kwa kushirikiana na usalama wa taifa (it’s obvious for those who can tie the dots).

Mbowe hafai, lakini hana uwezo na self serving (he is just shallow) on leadership matters.


Same as in CCM and TISS (details zake huko, kuna watu hawataniwi) kwa hivyo sio ya kuyaongelea.

Why in earth would someone put hope kwa taahira kama Lissu that’s, beyond me.

Lissu ni mtu wa hovyo kweli-kweli and very compromised ni taahira tu anaweza msikiliza mijinga yule (he is so shallow) and annoying to me.
Sijui umeandika kitu gani mkuu..umejichanganua changanya sana mpaka wasomaji tumechanganyikiwa
 
Ni kweli Lisu ni mkurupukaji. Lisu ni mropokaji. Anaongozwa sana na emotions. Anataka chama chote kiwaze kama yeye, na kwamba yeye ndiye anamiliki ukweli. Tujiulize, Malema yuko wapi? Muda ni mwalimu mzuri. Lisu haya anayoyasema sasa, wamwache aseme, yakiisha hatakuwa na jipya. Lisu ni mvurugaji tu. Mkirogwa mkampa kura zenu, CHADEMA kwishnei.

Mwisho jiulize, kwa nini wakati anatangaza nia, alisema, "akishindwa uchaguzi hakutakuwa na wa kumnyamazisha"?
Kwa hiyo bado unataka apewe mwenyebkikoba chake?
Mbona watu wamechoka kufanywa mradi?
 
..Huyu bwana ni mwanasiasa tofauti sana, na wa aina yake miongoni mwa wanasiasa waliokuwepo, na waliopo.

..Tundu Lissu ni mtu aliye moto muda wote. Hakuna kipindi yuko wa vuguvugu, au wa baridi.

..Ni mwanasiasa ambaye wasiomkubalana naye wanamchukia kupita viwango, na wanaokubaliana naye wana mahaba naye kwelikweli.

..Katika kujaribu kumchambua wapo wanaoamini Tundu Lissu ni msema hovyo, na mropokaji. Kwa upande mwingine kuna wanaoamini Tundu Lissu ni mpenda haki asiyepindisha, na msemakweli kupita kiasi.

..Tundu Lissu ni mtu, au mwanasiasa, wa aina gani?
Ni Mropokaji!
 
Sijui umeandika kitu gani mkuu..umejichanganua changanya sana mpaka wasomaji tumechanganyikiwa
‘With me’ by now you should learn not to follow the ‘herd influence’ uoni wenzako wenye akili timamu wanao nilalamikia viongozi wa vyama zote kurudia maneno yangu.

Inategemea unanisoma vipi, vinginevyo ni trend toka 2009.

Mengine ni intertainment tu (you think it’s a joke tunapoandika kuna watu wenye nchi wanataka turudi).

Au tunapo waambia hawa vijana wa CCM wahusika wanawasoma wajikite kukipigania chama; hata ukiwa na 100 ID humu wanakujua
 
Ni kweli Lisu ni mkurupukaji. Lisu ni mropokaji. Anaongozwa sana na emotions. Anataka chama chote kiwaze kama yeye, na kwamba yeye ndiye anamiliki ukweli. Tujiulize, Malema yuko wapi? Muda ni mwalimu mzuri. Lisu haya anayoyasema sasa, wamwache aseme, yakiisha hatakuwa na jipya. Lisu ni mvurugaji tu. Mkirogwa mkampa kura zenu, CHADEMA kwishnei.

Mwisho jiulize, kwa nini wakati anatangaza nia, alisema, "akishindwa uchaguzi hakutakuwa na wa kumnyamazisha"?
Lissu is not malema, hawa ni two different peoples wiht different political approach
 
Kuna tofauti kubwa kati ya mwanasiasa na mwanaharakati.
CDM bado inamuhitaji kiongozi mwanasiasa.
Kiongozi mwanasiasa amewapeleka wapi mpaka sasa? For how many years wameongozwa na mwana siasa? CDM inahitaji aggressive person kutoka hapo

Sisas za upole nchi hii hutoboi, angalia vyama vya upinzani vilivyo, siasa za upole ccm inazipenda wakati wao likija suala la madaraka si wapole, wakatili , aggressive
 
Kama kuropoka ni dhambi kuliko dhambi yenyewe, basi safari hii tupo tunae mtaka mropokaji.

Wanao sema Lissu ni mropokaji waorodheshe hapa angalao mambo matano Lissu ameropoka.

Katıka kikundi mmekula njama kufanya uhalifu, mtu mmoja amebaini njama, anatangaza njama hapa ameropoka kwa mtazamo wa baadhi ya watu.

Kwa maoni ya baadhi ya watu wafanya njama ovu sio tatatizo, tatizo ni mtu mwenye uthubutu wa kuweka uovu hadharani.

Kuijenga Tanzania bora ni mchakato mgumu wenye mambo mengi, moja wapo ni kuwepo kwa 'waropokaji' watano kila penye watu kumi.
 
Back
Top Bottom