ndammu
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 3,971
- 4,440
Alikuropokea lini? Badala ya kumjibu kwa hoja mnapanga kumuua kwa risasi.Ni Mropokaji sana asiye na breki ya mdomo wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuropokea lini? Badala ya kumjibu kwa hoja mnapanga kumuua kwa risasi.Ni Mropokaji sana asiye na breki ya mdomo wake.
Angekuwa msema hovyo na mropokaji asingepigwa risasi zote zile katika jaribio la kuupora uhai wake pale Area D Dodoma...Huyu bwana ni mwanasiasa tofauti sana, na wa aina yake miongoni mwa wanasiasa waliokuwepo, na waliopo.
..Tundu Lissu ni mtu aliye moto muda wote. Hakuna kipindi yuko wa vuguvugu, au wa baridi.
..Ni mwanasiasa ambaye wasiomkubalana naye wanamchukia kupita viwango, na wanaokubaliana naye wana mahaba naye kwelikweli.
..Katika kujaribu kumchambua wapo wanaoamini Tundu Lissu ni msema hovyo, na mropokaji. Kwa upande mwingine kuna wanaoamini Tundu Lissu ni mpenda haki asiyepindisha, na msemakweli kupita kiasi.
..Tundu Lissu ni mtu, au mwanasiasa, wa aina gani?
Kama kipi hicho unachosema anachoamini yeye ndio hicho hicho ya wengine hayana maana?Hana mipango shirikishi ni mkutipukaji mzuri.Anachoamini yeye ni sahihi ya wengine hayana maana.
Chawa utapatiwa kazi ya kuendesha yutong za chama kama.ulivyoomba kwa mauzi yako haya wakupe kazi ya kuziosha tuNi Mropokaji sana asiye na breki ya mdomo wake.
mkweli na HAJUI kuficha hisia zake..Huyu bwana ni mwanasiasa tofauti sana, na wa aina yake miongoni mwa wanasiasa waliokuwepo, na waliopo.
..Tundu Lissu ni mtu aliye moto muda wote. Hakuna kipindi yuko wa vuguvugu, au wa baridi.
..Ni mwanasiasa ambaye wasiomkubalana naye wanamchukia kupita viwango, na wanaokubaliana naye wana mahaba naye kwelikweli.
..Katika kujaribu kumchambua wapo wanaoamini Tundu Lissu ni msema hovyo, na mropokaji. Kwa upande mwingine kuna wanaoamini Tundu Lissu ni mpenda haki asiyepindisha, na msemakweli kupita kiasi.
..Tundu Lissu ni mtu, au mwanasiasa, wa aina gani?
Bado hajajua wapi atumie siasa na wapi atumie uanaharakati - si mtu sahihi kuongoza CDM kwa sasa.
Hawa siyo wafuasi wa mbowe, ni ccm. Wanahofia sana kupambana na mtu anayejua kujenga hoja, siyo mwoga, ni muwazi sana na mjuzi wa sheria. Ukiwa hujiamini kukutana na mtu kama lissu ni lazima upagawe!Wafuasi wa Mbowe hawataki kusikia kitu zaidi ya Mbowe kuwa mwenyekiti kumbe ndiyo maana waliitwa nyumbu.
Lissu anakulaza viatu Toka awamu 5Kuna anayoyajua kweli na kuweza kukupa somo.
Kutokana na imani hiyo ya kujua kama mwalimu anadhani, wote tupo tayari kumeza ujinga hata anapo ongopa.
Anachokera zaidi ni pale anapotumia trust yake mbele ya jamii kwamba ni mwelewa wa sheria kama mwalimu wao. Halafu yeye ku-abuse hiyo kuwapotosha kwa maslahi ya mabeberu and against national interest (hapo ndio wengine tunapomdharau).
Ni mtu wa hovyo (overall), hata kumvaa Mbowe motive zake sio za kuijenga CDM ni maslahi yake ya kugombea uraisi.
Hoja zake za kutokukubali maridhiano ni ujinga mtupu. Kwenye kichwa chake Mbowe hakuwa na makosa na watu kama nyie zama hizo (wakati jeshi la polisi) lilikusanya ushahidi wa mipango yake ya kulipua vituo vya mafuta (Mbowe ni gaidi).
Samia kasemehe yote hayo, same sakata la mzee Kibao (CDM ulihusika) labda kwa kushirikiana na usalama wa taifa (it’s obvious for those who can tie the dots).
Mbowe hafai, lakini hana uwezo na self serving (he is just shallow) on leadership matters.
Same as in CCM and TISS (details zake huko, kuna watu hawataniwi) kwa hivyo sio ya kuyaongelea.
Why in earth would someone put hope kwa taahira kama Lissu that’s, beyond me.
Lissu ni mtu wa hovyo kweli-kweli and very compromised ni taahira tu anaweza msikiliza mijinga yule (he is so shallow) and annoying to me.
Chalamila huwa anaropoka au anaongea?Ni Mropokaji sana asiye na breki ya mdomo wake.
Mtu akifanya nini hasa ndio anakuwa amezingua? Mapambano anayoyaendesha Lissu sasa hivi dhidi ya Mbowe ni mapambano yale yale aliyoyaendesha Zitto na wenzake miaka kumi iliyopita, lakini Lissu huyu huyu ndiye aliyekuwa prosecutor wa kina Zitto wakati wa disciplinary hearings za CHADEMA kipindi kile. Au miaka kumi baada ya kina Zitto kuvuliwa uanachama Lissu ndio amekuwa mkweli na muwazi?Lissu hajawahi kunyamazishwa ukizingua lazima akuchane ni mkweli na muwazi aina ya siasa ambazo hazijazoeleka Tanganyika, bado watu wanapenda siasa za kulindana na kanuni ya huyu ni mwenzetu hata akikosea basi avumiliwe tu ili tusiakipasue chama upuuzi ambao Lissu haukubali.
Wakiwa wote wawili na swahiba wake hakuna mkweli hata mmoja labda kwa kipindi hiki cha huruma ndio wanaomuhurumia wanamuona mkweli..Huyu bwana ni mwanasiasa tofauti sana, na wa aina yake miongoni mwa wanasiasa waliokuwepo, na waliopo.
..Tundu Lissu ni mtu aliye moto muda wote. Hakuna kipindi yuko wa vuguvugu, au wa baridi.
..Ni mwanasiasa ambaye wasiomkubalana naye wanamchukia kupita viwango, na wanaokubaliana naye wana mahaba naye kwelikweli.
..Katika kujaribu kumchambua wapo wanaoamini Tundu Lissu ni msema hovyo, na mropokaji. Kwa upande mwingine kuna wanaoamini Tundu Lissu ni mpenda haki asiyepindisha, na msemakweli kupita kiasi.
..Tundu Lissu ni mtu, au mwanasiasa, wa aina gani?
Na bado mtabwabwaja sana. Mtu akitumika na CCM anakuwa amezingua big time.Mtu akifanya nini hasa ndio anakuwa amezingua? Mapambano anayoyaendesha Lissu sasa hivi dhidi ya Mbowe ni mapambano yale yale aliyoyaendesha Zitto na wenzake miaka kumi iliyopita, lakini Lissu huyu huyu ndiye aliyekuwa prosecutor wa kina Zitto wakati wa disciplinary hearings za CHADEMA kipindi kile. Au miaka kumi baada ya kina Zitto kuvuliwa uanachama Lissu ndio amekuwa mkweli na muwazi?
Wakiwa wote wawili na swahiba wake hakuna mkweli hata mmoja labda kwa kipindi hiki cha huruma ndio wanaomuhurumia wanamuona mkweli
Leasser beam that's what i can call him..Huyu bwana ni mwanasiasa tofauti sana, na wa aina yake miongoni mwa wanasiasa waliokuwepo, na waliopo.
..Tundu Lissu ni mtu aliye moto muda wote. Hakuna kipindi yuko wa vuguvugu, au wa baridi.
..Ni mwanasiasa ambaye wasiomkubalana naye wanamchukia kupita viwango, na wanaokubaliana naye wana mahaba naye kwelikweli.
..Katika kujaribu kumchambua wapo wanaoamini Tundu Lissu ni msema hovyo, na mropokaji. Kwa upande mwingine kuna wanaoamini Tundu Lissu ni mpenda haki asiyepindisha, na msemakweli kupita kiasi.
..Tundu Lissu ni mtu, au mwanasiasa, wa aina gani?
Mkweli , wasiotaka ukweli wanajijua..Huyu bwana ni mwanasiasa tofauti sana, na wa aina yake miongoni mwa wanasiasa waliokuwepo, na waliopo.
..Tundu Lissu ni mtu aliye moto muda wote. Hakuna kipindi yuko wa vuguvugu, au wa baridi.
..Ni mwanasiasa ambaye wasiomkubalana naye wanamchukia kupita viwango, na wanaokubaliana naye wana mahaba naye kwelikweli.
..Katika kujaribu kumchambua wapo wanaoamini Tundu Lissu ni msema hovyo, na mropokaji. Kwa upande mwingine kuna wanaoamini Tundu Lissu ni mpenda haki asiyepindisha, na msemakweli kupita kiasi.
..Tundu Lissu ni mtu, au mwanasiasa, wa aina gani?
Wana harakati wote ndio walioleta mabadiliko hapa Duniani,hata Nyerere aliongoza harakati za Tanganyika kupata Uhuru.Je Nyerere hakuwa kiongozi.l??Kuna tofauti kubwa kati ya mwanasiasa na mwanaharakati.
CDM bado inamuhitaji kiongozi mwanasiasa.