Je, Tundu Lissu ni mkweli kupita kiasi, au ni mropokaji?

Je, Tundu Lissu ni mkweli kupita kiasi, au ni mropokaji?

Kiongozi mwanasiasa amewapeleka wapi mpaka sasa? For how many years wameongozwa na mwana siasa? CDM inahitaji aggressive person kutoka hapo

Sisas za upole nchi hii hutoboi, angalia vyama vya upinzani vilivyo, siasa za upole ccm inazipenda wakati wao likija suala la madaraka si wapole, wakatili , aggressive
Sahihi kabisa
 
..Huyu bwana ni mwanasiasa tofauti sana, na wa aina yake miongoni mwa wanasiasa waliokuwepo, na waliopo.

..Tundu Lissu ni mtu aliye moto muda wote. Hakuna kipindi yuko wa vuguvugu, au wa baridi.

..Ni mwanasiasa ambaye wasiomkubalana naye wanamchukia kupita viwango, na wanaokubaliana naye wana mahaba naye kwelikweli.

..Katika kujaribu kumchambua wapo wanaoamini Tundu Lissu ni msema hovyo, na mropokaji. Kwa upande mwingine kuna wanaoamini Tundu Lissu ni mpenda haki asiyepindisha, na msemakweli kupita kiasi.

..Tundu Lissu ni mtu, au mwanasiasa, wa aina gani?
Huyu mtu ni mkweli kabisa na hapendi kabisa unafiki na uongo
 
Ni kweli Lisu ni mkurupukaji. Lisu ni mropokaji. Anaongozwa sana na emotions. Anataka chama chote kiwaze kama yeye, na kwamba yeye ndiye anamiliki ukweli. Tujiulize, Malema yuko wapi? Muda ni mwalimu mzuri. Lisu haya anayoyasema sasa, wamwache aseme, yakiisha hatakuwa na jipya. Lisu ni mvurugaji tu. Mkirogwa mkampa kura zenu, CHADEMA kwishnei.

Mwisho jiulize, kwa nini wakati anatangaza nia, alisema, "akishindwa uchaguzi hakutakuwa na wa kumnyamazisha"?
Lissu hajawahi kunyamazishwa ukizingua lazima akuchane ni mkweli na muwazi aina ya siasa ambazo hazijazoeleka Tanganyika, bado watu wanapenda siasa za kulindana na kanuni ya huyu ni mwenzetu hata akikosea basi avumiliwe tu ili tusiakipasue chama upuuzi ambao Lissu haukubali.
 
..Huyu bwana ni mwanasiasa tofauti sana, na wa aina yake miongoni mwa wanasiasa waliokuwepo, na waliopo.

..Tundu Lissu ni mtu aliye moto muda wote. Hakuna kipindi yuko wa vuguvugu, au wa baridi.

..Ni mwanasiasa ambaye wasiomkubalana naye wanamchukia kupita viwango, na wanaokubaliana naye wana mahaba naye kwelikweli.

..Katika kujaribu kumchambua wapo wanaoamini Tundu Lissu ni msema hovyo, na mropokaji. Kwa upande mwingine kuna wanaoamini Tundu Lissu ni mpenda haki asiyepindisha, na msemakweli kupita kiasi.

..Tundu Lissu ni mtu, au mwanasiasa, wa aina gani?
Mh Tundu Lissu ashinde uenyekiti wq CHADEMA Taifa tuone inakuwaje.
 
..kila siku Tundu Lissu ana jambo jipya la kusema.

..Je, kumpuuza kutasaidia? Je, inawezekana kumdhibiti kwa hoja?
Hana hoja ya maana zaidi ya kujaribu kuonyesha bila yeye kuchaguliwa CDM inaenda kuzikwa.

Alichaguliwa nafadi ya uRais TLS hakuwa na maajabu zaidi ya kuendekeza umimi.

Lissu akichaguliwa Mwenyekiti atawatanguliza vijana wajinga wajinga front line mambo yakichacha anakombilia Belgium.
 
Hana hoja ya maana zaidi ya kujaribu kuonyesha bila yeye kuchaguliwa CDM inaenda kuzikwa.

Alichaguliwa nafadi ya uRais TLS hakuwa na maajabu zaidi ya kuendekeza umimi.

Lissu akichaguliwa Mwenyekiti atawatanguliza vijana wajinga wajinga front line mambo yakichacha anakombilia Belgium.

..TLS aliongoza muda mfupi sana kabla hajashambuliwa.

..Kwanini vijana waende frontline? Kwanini mambo yachache? Kwanini akimbilie Belgium?
 
..TLS aliongoza muda mfupi sana kabla hajashambuliwa.

..Kwanini vijana waende frontline? Kwanini mambo yachache? Kwanini akimbilie Belgium?
Hana mipango shirikishi ni mkutipukaji mzuri.Anachoamini yeye ni sahihi ya wengine hayana maana.
 
Hana mipango shirikishi ni mkutipukaji mzuri.Anachoamini yeye ni sahihi ya wengine hayana maana.

..mara nyingi huwa anatetea HAKI.

..Na amekuwa akifanya hivyo kwa miaka mingi sana tangu miaka ya 90.

..hajabadilika tangu ameanza kujulikana katika duru za siasa.

..he is not perfect. kuna wakati anakosea. Lakini hata alipokosea huwa ni ktk kutetea jambo la wananchi, na sio jambo lake binafsi.
 
..Huyu bwana ni mwanasiasa tofauti sana, na wa aina yake miongoni mwa wanasiasa waliokuwepo, na waliopo.

..Tundu Lissu ni mtu aliye moto muda wote. Hakuna kipindi yuko wa vuguvugu, au wa baridi.

..Ni mwanasiasa ambaye wasiomkubalana naye wanamchukia kupita viwango, na wanaokubaliana naye wana mahaba naye kwelikweli.

..Katika kujaribu kumchambua wapo wanaoamini Tundu Lissu ni msema hovyo, na mropokaji. Kwa upande mwingine kuna wanaoamini Tundu Lissu ni mpenda haki asiyepindisha, na msemakweli kupita kiasi.

..Tundu Lissu ni mtu, au mwanasiasa, wa aina gani?

Badilisha kichwa cha habari:

1. Unaweza kuwa mkweli na mropokaji.
2. Unaweza kuwa mwongo na mropokaji.
 
Kuna tofauti kubwa kati ya mwanasiasa na mwanaharakati.
CDM bado inamuhitaji kiongozi mwanasiasa.
Huu ndio ubaya wa kukariri maneno na kwa Watanzania walio wengi, hili ni tatizo kubwa miongoni mwao. FUSO, unaweza kutaja tofauti kati ya mwanasiasa na mwanaharakati ni zipi hasa?

Je una maana mwanasiasa hatakiwi kuwa mwanaharakati au mwanaharakati hatakiwi kuwa mwanasiasa? Je uanaharakati huanzia wapi na uanasiasa huanzia wapi na kuishia wapi

Nashauri tujizuie kutumia hovyo maneno haya mawili. Uanaharakati ni dude kubwa sana linalohusisha makundi mengi uanasiasa ukiwa ni sehemu ndogo tu mojawapo katika hayo makundi.

Katika siasa tunamhitaji mwanaharakati mbobezi atakayeonesha na kusimamia kwa tabia, maneno na matendo anayoyapigania katika kuboresha maisha ya wananchi anaowaongoza.

Hi ndiyo sababu tunapomchagua kiongozi wa juu katika jamii tunataka kujua historia yake, weledi wake, hoja zake na ujasiri wake katika kutetea na kulinda utawala wa haki na sheria..

Kwa Watanzania tulipofikia kwa unafiki wetu kunatia huruma na tunamtaka mtu jasiri aliye tayari kuita dhulma, rushwa na uongo unaoendelea katika jamii kwa jina lake, UOVU!
 
Mwanasiasa unamaanisha mgaigai mkuu?
 
Huu ndio ubaya wa kukariri maneno na kwa Watanzania walio wengi, hili ni tatizo kubwa miongoni mwao. FUSO, unaweza kutaja tofauti kati ya mwanasiasa na mwanaharakati ni zipi hasa?

Je una maana mwanasiasa hatakiwi kuwa mwanaharakati au mwanaharakati hatakiwi kuwa mwanasiasa? Je uanaharakati huanzia wapi na uanasiasa huanzia wapi na kuishia wapi

Nashauri tujizuie kutumia hovyo maneno haya mawili. Uanaharakati ni dude kubwa sana linalohusisha makundi mengi uanasiasa ukiwa ni sehemu ndogo tu mojawapo katika hayo makundi.

Katika siasa tunamhitaji mwanaharakati mbobezi atakayeonesha na kusimamia kwa tabia, maneno na matendo anayoyapigania katika kuboresha maisha ya wananchi anaowaongoza.

Hi ndiyo sababu tunapomchagua kiongozi wa juu katika jamii tunataka kujua historia yake, weledi wake, hoja zake na ujasiri wake katika kutetea na kulinda utawala wa haki na sheria..

Kwa Watanzania tulipofikia kwa unafiki wetu kunatia huruma na tunamtaka mtu jasiri aliye tayari kuita dhulma, rushwa na uongo unaoendelea katika jamii kwa jina lake, UOVU!
Nyumbu wa Sultan Mbowe wamekariri tu kusema kuwa Lissu ni mwanaharakati wakati hata siasa zenyewe ni harakati, ndiyo ule msemo wa Kisukuma kuwa 'give a dog a bad name and hang him'.
 
..kila siku Tundu Lissu ana jambo jipya la kusema.

..Je, kumpuuza kutasaidia? Je, inawezekana kumdhibiti kwa hoja?

Kwa kweli kusema kuwa Lissu ni Mkweli napata wasiwasi sana. Nafikiri a lot of time Lissu huwa anakurupuka bila facts kuibua mambo makubwa. Sometimes bila facts huwa anaibua mambo na baadaye ikithibitika kuwa siyo kweli haombi msamaha. Binafsi sijawahi kumsikia au kuona Lissu akiomba msamaha kwa kupotosha. Mengi anayoyaongea huwa hakuna Mtu wa pili kusubstantiate.

Mfano wakati Magufuli amefariki, alituambia kuwa moja wa Wapambe wake (yule Mweusi) kuwa naye amefariki pia.... baadaye ikaonekana kuwa haikuwa kweli. Hili sikuwahi kumsikia akiomba msamaha au kukili kuwa alipotoshwa au kulitolea maelezo.

La pili ninalolikumbuka alituambia kuwa Uwanja wa Ndege Chato ameharibika na una nyufa. Hili nalo halikuwa kweli bali upotoshaji. Hakuwa kutoa maelezo wala kukili kuwa alipotoshwa. Maana ndege ziliendelea kutoa Chato.

Ukiiangalia mifano hiyo miwili utaona kuwa si rahisi Kumuuamini Lissu kwa asilimia mia moja (100%). nampa 80 %.

Hata hili swala la Pesa za Abdul na Mama yake..... nampa the Benefit of Doubt. Kwa jinsi alivyoliongelea mara nyingi amefikia kwenye point ambayo amejicontradict mwenyewe kwa kiasi fulani. Pia ukimsikiliza Wenje alivyolisimulia utaaona kuwa Wenje yuko more straight na story yake inaonekana kuaminika zaidi kuliko ya Lissu.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Kwa kweli kusema kuwa Lissu ni Mkweli napata wasiwasi sana. Nafikiri a lot of time Lissu huwa anakurupuka bila facts kuibua mambo makubwa. Sometimes bila facts huwa anaibua mambo na baadaye ikithibitika kuwa siyo kweli haombi msamaha. Binafsi sijawahi kumsikia au kuona Lissu akiomba msamaha kwa kupotosha. Mengi anayoyaongea huwa hakuna Mtu wa pili kusubstantiate.

Mfano wakati Magufuli amefariki, alituambia kuwa moja wa Wapambe wake (yule Mweusi) kuwa naye amefariki pia.... baadaye ikaonekana kuwa haikuwa kweli. Hili sikuwahi kumsikia akiomba msamaha au kukili kuwa alipotoshwa au kulitolea maelezo.

La pili ninalolikumbuka alituambia kuwa Uwanja wa Ndege Chato ameharibika na una nyufa. Hili nalo halikuwa kweli bali upotoshaji. Hakuwa kutoa maelezo wala kukili kuwa alipotoshwa. Maana ndege ziliendelea kutoa Chato.

Ukiiangalia mifano hiyo miwili utaona kuwa si rahisi Kumuuamini Lissu kwa asilimia mia moja (100%). nampa 80 %.

Hata hili swala la Pesa za Abdul na Mama yake..... nampa the Benefit of Doubt. Kwa jinsi alivyoliongelea mara nyingi amefikia kwenye point ambayo amejicontradict mwenyewe kwa kiasi fulani. Pia ukimsikiliza Wenje alivyolisimulia utaaona kuwa Wenje yuko more straight na story yake inaonekana kuaminika zaidi kuliko ya Lissu.

..kwenye suala la kifo cha mpambe wa Magufuli ni kweli alikosea. Nadhani aliyekuwa akimpa taarifa kuhusu ugonjwa na Magufuli na kifo chake ndiye aliyempa taarifa za uongo.

..kuhusu uwanja wa ndege wa Chato sikuwahi kumsikia Lissu akisema umeharibika. Ninachokumbuka kumsikia akisema ni kwamba uwanja huo ulijengwa kwa utashi wa Magufuli bila kufuata taratibu na michakato ya kiserikali. Jambo lingine alilolisema ni kwamba uwanja huo unatumika kwa kiwango kidogo sana.

..kwenye suala la fedha za Abduli inaelekea kulikuwa na mkakati wa kujaribu kumnunua Tundu Lissu. Haileti mantiki yoyote ile kwa Abduli kujaribu kuwa karibu na mwanasiasa mkosoaji mkubwa wa serikali na Mama yake.
 
..kwenye suala la kifo cha mpambe wa Magufuli ni kweli alikosea. Nadhani aliyekuwa akimpa taarifa kuhusu ugonjwa na Magufuli na kifo chake ndiye aliyempa taarifa za uongo.

..kuhusu uwanja wa ndege wa Chato sikuwahi kumsikia Lissu akisema umeharibika. Ninachokumbuka kumsikia akisema ni kwamba uwanja huo ulijengwa kwa utashi wa Magufuli bila kufuata taratibu na michakato ya kiserikali. Jambo lingine alilolisema ni kwamba uwanja huo unatumika kwa kiwango kidogo sana.

..kwenye suala la fedha za Abduli inaelekea kulikuwa na mkakati wa kujaribu kumnunua Tundu Lissu. Haileti mantiki yoyote ile kwa Abduli kujaribu kuwa karibu na mwanasiasa mkosoaji mkubwa wa serikali na Mama yake.

Kuhusu la Uwanja wa Chato alisema akiwa Belgium.

Kwa hili la Abdul naona kuna ukakasi kiasi kwa approach iliyotumika. Sidhani kama Abdul angekwenda staright namna hiyo kumuhonga Lissu. Unless he is to NAIVE. Ndiyo maana naona story ya Wenje inamake much sense kuliko ya Lissu!! Kwa kuwa sasa ni wazi na kweli kuwa hawa watu walikutana, hii inaonyesha kuwa kulikuwa na nia ya kujaribu kumpoza Lissu kwa kiasi flani. Ninachopata wasiwasi na story ya Lissu ni namna ambavyo Abdul aliapproach. Yaani wanakuja kukuhonga unakataa halafu unakubaliana nao wakupe e-mail address yao uwatumie madai yako. Sound FISHY to me.
 
Back
Top Bottom