Je, Tundu Lissu ni mkweli kupita kiasi, au ni mropokaji?

Je, Tundu Lissu ni mkweli kupita kiasi, au ni mropokaji?

Mkuu, ninonavyo, kuna walakini kubwa kwenye story ya Lisu. Yeye kama lawyer na mzoefu kwenye siasa za Bongo he should have done better than that. So far hana ushahidi amvso ni convincing. Huyo mtu wa nne ni na nani?

Halafu huyo aliyempa ushahidi halafu akafa ni nani? Na huo ushahidi aliopewa kuhusu pesa za Mama Abdul ni upi kama siyo story yake? Kama yuko open kama anavyodai atoe huo ushahidi kwa vile aliyempa amekufa.


..kuna ushahidi wa kuona.

..kuna ushahidi wa kusikia.

..sasa ni katika eneo gani unadhani Lissu amekosea?

..Abduli alifuata nini nyumbani kwa Lissu?

..hivi unaamini alikuwa na nia njema?

..urafiki wa Abduli na viongozi wa Chadema unaamini una afya kwa siasa na demokrasia yetu?

..hivi mmejiuliza Abduli anatoa wapi fedha? Ana biashara gani? Au biashara yake ni kuwa mtoto wa Malkia?

..Abduli na wanaompa fedha wana madhara makubwa sana kuliko wana Chadema waliohongwa. Tushughulike na Abduli kama tuna nia ya kweli kulisaidia taifa.
 
Story yake Iko more straight kuliko ya Lissu. That's my observation.

Kwa nini Lissu alitaka mkutano nyumbani kwake halafu hakutafuta shahidi wakati anajua kuwa yuko under the ladder halafu anakutana na mtu aliyemtuhumu?
Kwaiyo nawewe unaona sawa kabisa kiongozi mtarajiwa kuwa na urafiki na Abdul ambaye kiongozi wako mtarajiwa anabebwa na kusaidiwa na mtoto wa Rais kukamilisha mambo yake alafu unatarajia asimame jukwaani aseme mabaya ya serikali ya Mama yake?
 
Kama kuropoka ni dhambi kuliko dhambi yenyewe, basi safari hii tupo tunae mtaka mropokaji.

Wanao sema Lissu ni mropokaji waorodheshe hapa angalao mambo matano Lissu ameropoka.

Katıka kikundi mmekula njama kufanya uhalifu, mtu mmoja amebaini njama, anatangaza njama hapa ameropoka kwa mtazamo wa baadhi ya watu.

Kwa maoni ya baadhi ya watu wafanya njama ovu sio tatatizo, tatizo ni mtu mwenye uthubutu wa kuweka uovu hadharani.

Kuijenga Tanzania bora ni mchakato mgumu wenye mambo mengi, moja wapo ni kuwepo kwa 'waropokaji' watano kila penye watu kumi.
Lisu hafai ni emotions. By the way husimamia anachoita ukweli than baadae uchunguz ukifaanyika anaonekana mropokaji
 
..mara nyingi huwa anatetea HAKI.

..Na amekuwa akifanya hivyo kwa miaka mingi sana tangu miaka ya 90.

..hajabadilika tangu ameanza kujulikana katika duru za siasa.

..he is not perfect. kuna wakati anakosea. Lakini hata alipokosea huwa ni ktk kutetea jambo la wananchi, na sio jambo lake binafsi.
Umejibu swali laJoka kwa usahihi!
 
Kinacho nifurahisha , in hali ya Wana CCM Chawa; kutamani Mbowe amshinde Lissu ! Sijui haya mahaba yametoka wapi!?/Ghafla tuliyeambiwa ameover stay,anaongoza SACCOS,Chama cha Mkwewe......!Leo wanamtaka tena !Ama kweli CCM haina ajenda!
Go,Go,Go Simba Antipus Lissu!
 
Hadi wakaamua kutumia Bunduki baada ya kumshindwa kwenye vyombo vya sheria bado mnaamini ni mropokaji?

Huyu mtu anajua anachokifanya. Ropokeni na nyie kuhusu Mama Samia muone kitachowapata.
 
Back
Top Bottom