Je, Tundu Lissu ni mkweli kupita kiasi, au ni mropokaji?

Je, Tundu Lissu ni mkweli kupita kiasi, au ni mropokaji?

Ni kweli Lisu ni mkurupukaji. Lisu ni mropokaji. Anaongozwa sana na emotions. Anataka chama chote kiwaze kama yeye, na kwamba yeye ndiye anamiliki ukweli. Tujiulize, Malema yuko wapi? Muda ni mwalimu mzuri. Lisu haya anayoyasema sasa, wamwache aseme, yakiisha hatakuwa na jipya. Lisu ni mvurugaji tu. Mkirogwa mkampa kura zenu, CHADEMA kwishnei.

Mwisho jiulize, kwa nini wakati anatangaza nia, alisema, "akishindwa uchaguzi hakutakuwa na wa kumnyamazisha"?
Mulopokaji ni mtu anayesema mambo asiyiyajua,emu niambie ni jambo gani Lissu aliwahi kulitamka au kuwaambia watu ilihali alijui,pia utuambie mambo ambayo wewe unayajua vizuri kumshinda Lissu katika hizo anga za Politics.
 
..Huyu bwana ni mwanasiasa tofauti sana, na wa aina yake miongoni mwa wanasiasa waliokuwepo, na waliopo.

..Tundu Lissu ni mtu aliye moto muda wote. Hakuna kipindi yuko wa vuguvugu, au wa baridi.

..Ni mwanasiasa ambaye wasiomkubalana naye wanamchukia kupita viwango, na wanaokubaliana naye wana mahaba naye kwelikweli.

..Katika kujaribu kumchambua wapo wanaoamini Tundu Lissu ni msema hovyo, na mropokaji. Kwa upande mwingine kuna wanaoamini Tundu Lissu ni mpenda haki asiyepindisha, na msemakweli kupita kiasi.

..Tundu Lissu ni mtu, au mwanasiasa, wa aina gani?
Nilikua lissu hadi dakika ya mwisho niliposikia kuhusu yeye na yule mkewe!!

Hapo nilituliza akili sana kuanza kuchambua background yake.... he needs prayers!
 
Kuna anayoyajua kweli na kuweza kukupa somo.

Kutokana na imani hiyo ya kujua kama mwalimu anadhani, wote tupo tayari kumeza ujinga hata anapo ongopa.

Anachokera zaidi ni pale anapotumia trust yake mbele ya jamii kwamba ni mwelewa wa sheria kama mwalimu wao. Halafu yeye ku-abuse hiyo kuwapotosha kwa maslahi ya mabeberu and against national interest (hapo ndio wengine tunapomdharau).

Ni mtu wa hovyo (overall), hata kumvaa Mbowe motive zake sio za kuijenga CDM ni maslahi yake ya kugombea uraisi.

Hoja zake za kutokukubali maridhiano ni ujinga mtupu. Kwenye kichwa chake Mbowe hakuwa na makosa na watu kama nyie zama hizo (wakati jeshi la polisi) lilikusanya ushahidi wa mipango yake ya kulipua vituo vya mafuta (Mbowe ni gaidi).

Samia kasemehe yote hayo, same sakata la mzee Kibao (CDM ulihusika) labda kwa kushirikiana na usalama wa taifa (it’s obvious for those who can tie the dots).

Mbowe hafai, lakini hana uwezo na self serving (he is just shallow) on leadership matters.


Same as in CCM and TISS (details zake huko, kuna watu hawataniwi) kwa hivyo sio ya kuyaongelea.

Why in earth would someone put hope kwa taahira kama Lissu that’s, beyond me.

Lissu ni mtu wa hovyo kweli-kweli and very compromised ni taahira tu anaweza msikiliza mijinga yule (he is so shallow) and annoying to me.
Hivi hizi ni akili au matope hivi unawezaje kufanya maridhiano kwa kitu ambacho kinatambulika kikatiba?,ilipaswa watu waelezwe CCM na Serikali mpaka waondoe hilo katazo sio kwa njia ya kwenda kuomba-huo ni uendawazimu.
 
Nilikua lissu hadi dakika ya mwisho niliposikia kuhusu yeye na yule mkewe!!

Hapo nilituliza akili sana kuanza kuchambua background yake.... he needs prayers!

..Chadema needs prayers ili kiweze kusoma alama za nyakati, na kuchagua kiongozi anayetarajiwa na wananchi.
 
..Chadema needs prayers ili kiweze kusoma alama za nyakati, na kuchagua kiongozi anayetarajiwa na wananchi.
Kama Lissu anatakiwa na wananchi naamini atachaguliwa kwa kishindo...the only hope niko nayo CHADEMA wataonesha kweli demokrasia siku ya uchaguzi.
 
Kama Lissu anatakiwa na wananchi naamini atachaguliwa kwa kishindo...the only hope niko nayo CHADEMA wataonesha kweli demokrasia siku ya uchaguzi.

..chama kimedorora.

..bila watu wa kawaida, wasiokuwa wajumbe wa mkutano mkuu, au wanachama, kukiunga mkono chadema inakwenda kupotea.

..mgombea uwenyekiti anayepigiwa kampeni, na kusaidiwa katika propaganda, na watu wa CCM, hawezi kuwa mtu sahihi wa kukivusha chama ktk mazingira ya sasa hivi.

..Chama kinahitaji kiongozi mjenga hoja mzuri kuzidi wajenga hoja walioko Ccm. Kinahitaji kiongozi anayeaminika kuliko viongozi walioko Ccm.

Kinahitaji a TOUGH negotiator, mtu aliye upande wa wananchi, ikiwa chama kitalazimika kwenda kwenye meza ya mazungumzo.
 
..chama kimedorora.

..bila watu wa kawaida, wasiokuwa wajumbe wa mkutano mkuu, au wanachama, kukiunga mkono chadema inakwenda kupotea.

..mgombea uwenyekiti anayepigiwa kampeni, na kusaidiwa katika propaganda, na watu wa CCM, hawezi kuwa mtu sahihi wa kukivusha chama ktk mazingira ya sasa hivi.

..Chama kinahitaji kiongozi mjenga hoja mzuri kuzidi wajenga hoja walioko Ccm. Kinahitaji kiongozi anayeaminika kuliko viongozi walioko Ccm.

Kinahitaji a TOUGH negotiator, mtu aliye upande wa wananchi, ikiwa chama kitalazimika kwenda kwenye meza ya mazungumzo.
What if watu wa CCM wanafanya kusudi ili kuchochea moto? Are you serious? Are you okay?? Really??
 
What if watu wa CCM wanafanya kusudi ili kuchochea moto? Are you serious? Are you okay?? Really??

..inawezekana wajumbe wanampenda na kumuamini Freeman Mbowe.

..lakini huku nje kwa wananchi anayekubalika na kuaminiwa ni Tundu Lissu.

..CCM wanapenda wenyeviti wote wa vyama vya upinzani wawe kama John Cheyo, au Ibrahim Lipumba, yaani wanasiasa ambao Watanzania wanawapuuza.

..CCM wanatamani sana Freeman Mbowe aendelee ili Chadema idorore, na hatimaye kupotea ktk fikra za Watanzania.
 
..inawezekana wajumbe wanampenda na kumuamini Freeman Mbowe.

..lakini huku nje kwa wananchi anayekubalika na kuaminiwa ni Tundu Lissu.

..CCM wanapenda wenyeviti wote wa vyama vya upinzani wawe kama John Cheyo, au Ibrahim Lipumba, yaani wanasiasa ambao Watanzania wanawapuuza.

..CCM wanatamani sana Freeman Mbowe aendelee ili Chadema idorore, na hatimaye kupotea ktk fikra za Watanzania.
Wananchi gani? Hawa wapenda Mpira na pombe?
 
Kuna anayoyajua kweli na kuweza kukupa somo.

Kutokana na imani hiyo ya kujua kama mwalimu anadhani, wote tupo tayari kumeza ujinga hata anapo ongopa.

Anachokera zaidi ni pale anapotumia trust yake mbele ya jamii kwamba ni mwelewa wa sheria kama mwalimu wao. Halafu yeye ku-abuse hiyo kuwapotosha kwa maslahi ya mabeberu and against national interest (hapo ndio wengine tunapomdharau).

Ni mtu wa hovyo (overall), hata kumvaa Mbowe motive zake sio za kuijenga CDM ni maslahi yake ya kugombea uraisi.

Hoja zake za kutokukubali maridhiano ni ujinga mtupu. Kwenye kichwa chake Mbowe hakuwa na makosa na watu kama nyie zama hizo (wakati jeshi la polisi) lilikusanya ushahidi wa mipango yake ya kulipua vituo vya mafuta (Mbowe ni gaidi).

Samia kasemehe yote hayo, same sakata la mzee Kibao (CDM ulihusika) labda kwa kushirikiana na usalama wa taifa (it’s obvious for those who can tie the dots).

Mbowe hafai, lakini hana uwezo na self serving (he is just shallow) on leadership matters.


Same as in CCM and TISS (details zake huko, kuna watu hawataniwi) kwa hivyo sio ya kuyaongelea.

Why in earth would someone put hope kwa taahira kama Lissu that’s, beyond me.

Lissu ni mtu wa hovyo kweli-kweli and very compromised ni taahira tu anaweza msikiliza mijinga yule (he is so shallow) and annoying to me.
Mkuu wahi Mirembe kabla hali haijawa mbaya zaidi! Pitia ulicho andika halafu uone kama hata wewe mwandishi utakielewa ulicho andika!
 
..Huyu bwana ni mwanasiasa tofauti sana, na wa aina yake miongoni mwa wanasiasa waliokuwepo, na waliopo.

..Tundu Lissu ni mtu aliye moto muda wote. Hakuna kipindi yuko wa vuguvugu, au wa baridi.

..Ni mwanasiasa ambaye wasiomkubalana naye wanamchukia kupita viwango, na wanaokubaliana naye wana mahaba naye kwelikweli.

..Katika kujaribu kumchambua wapo wanaoamini Tundu Lissu ni msema hovyo, na mropokaji. Kwa upande mwingine kuna wanaoamini Tundu Lissu ni mpenda haki asiyepindisha, na msemakweli kupita kiasi.

..Tundu Lissu ni mtu, au mwanasiasa, wa aina gani?
Ni mwamba kweli kweli haogopi maana alishapita katika bonde la uvuli wa mauti hana cha kumtisha!
Kama ni mimi ile alivyotoroka tu kifo nisingethubutu tena kuendelea na siasa
 
Ni kweli Lisu ni mkurupukaji. Lisu ni mropokaji. Anaongozwa sana na emotions. Anataka chama chote kiwaze kama yeye, na kwamba yeye ndiye anamiliki ukweli. Tujiulize, Malema yuko wapi? Muda ni mwalimu mzuri. Lisu haya anayoyasema sasa, wamwache aseme, yakiisha hatakuwa na jipya. Lisu ni mvurugaji tu. Mkirogwa mkampa kura zenu, CHADEMA kwishnei.

Mwisho jiulize, kwa nini wakati anatangaza nia, alisema, "akishindwa uchaguzi hakutakuwa na wa kumnyamazisha"?
Alikurupuka au kuropoka katika jambo gani?
 
Kuhusu la Uwanja wa Chato alisema akiwa Belgium.

Kwa hili la Abdul naona kuna ukakasi kiasi kwa approach iliyotumika. Sidhani kama Abdul angekwenda staright namna hiyo kumuhonga Lissu. Unless he is to NAIVE. Ndiyo maana naona story ya Wenje inamake much sense kuliko ya Lissu!! Kwa kuwa sasa ni wazi na kweli kuwa hawa watu walikutana, hii inaonyesha kuwa kulikuwa na nia ya kujaribu kumpoza Lissu kwa kiasi flani. Ninachopata wasiwasi na story ya Lissu ni namna ambavyo Abdul aliapproach. Yaani wanakuja kukuhonga unakataa halafu unakubaliana nao wakupe e-mail address yao uwatumie madai yako. Sound FISHY to me.
How story ya Wenje iwe na mashiko?
 
Kuna anayoyajua kweli na kuweza kukupa somo.

Kutokana na imani hiyo ya kujua kama mwalimu anadhani, wote tupo tayari kumeza ujinga hata anapo ongopa.

Anachokera zaidi ni pale anapotumia trust yake mbele ya jamii kwamba ni mwelewa wa sheria kama mwalimu wao. Halafu yeye ku-abuse hiyo kuwapotosha kwa maslahi ya mabeberu and against national interest (hapo ndio wengine tunapomdharau).

Ni mtu wa hovyo (overall), hata kumvaa Mbowe motive zake sio za kuijenga CDM ni maslahi yake ya kugombea uraisi.

Hoja zake za kutokukubali maridhiano ni ujinga mtupu. Kwenye kichwa chake Mbowe hakuwa na makosa na watu kama nyie zama hizo (wakati jeshi la polisi) lilikusanya ushahidi wa mipango yake ya kulipua vituo vya mafuta (Mbowe ni gaidi).

Samia kasemehe yote hayo, same sakata la mzee Kibao (CDM ulihusika) labda kwa kushirikiana na usalama wa taifa (it’s obvious for those who can tie the dots).

Mbowe hafai, lakini hana uwezo na self serving (he is just shallow) on leadership matters.


Same as in CCM and TISS (details zake huko, kuna watu hawataniwi) kwa hivyo sio ya kuyaongelea.

Why in earth would someone put hope kwa taahira kama Lissu that’s, beyond me.

Lissu ni mtu wa hovyo kweli-kweli and very compromised ni taahira tu anaweza msikiliza mijinga yule (he is so shallow) and annoying to me.
Anaongea Mpumbavu Mmoja ambaye hana hata Nusu ya IQ ya Lissu, Lissu amprove kwa miaka zaidi ya 20, Beyond Reasonable doubt kwamba angalau kwa sasa yeye ndiye Mwanasiasa wa Kumuamini, Mwenye Hoja, Mwenye kutifua Mambo.
Lissu angekuwa na madhaifu hayo au info zake zisingekuwa na Tija Serikali ya JPM isingehangaika naye, ya Samia isingehangaika naye.
Yeyote yule anayemwita Lissu Msema hovyo, Mropokaji, ana matatizo kadhaa kati ya haya
  • Uwezo Mdogo wa Akili
  • Mfuasi wa Mbowe
  • Kada wa CCM
  • Mnufaika wa Mfumo
Mwisho, Ogopa mtu ambaye Serikali inafuatilia "Lissu leo kasema nini"
 
..Huyu bwana ni mwanasiasa tofauti sana, na wa aina yake miongoni mwa wanasiasa waliokuwepo, na waliopo.

..Tundu Lissu ni mtu aliye moto muda wote. Hakuna kipindi yuko wa vuguvugu, au wa baridi.

..Ni mwanasiasa ambaye wasiomkubalana naye wanamchukia kupita viwango, na wanaokubaliana naye wana mahaba naye kwelikweli.

..Katika kujaribu kumchambua wapo wanaoamini Tundu Lissu ni msema hovyo, na mropokaji. Kwa upande mwingine kuna wanaoamini Tundu Lissu ni mpenda haki asiyepindisha, na msemakweli kupita kiasi.

..Tundu Lissu ni mtu, au mwanasiasa, wa aina gani?
Mithali 18
18 Kura hukomesha mashindano; Hukata maneno ya wakuu.
Majibu utayapata baada ya Uchaguzi.
 
Mtu ambaye CCM wanamchukia sana, basi huyo ndiye anayefaa zaidi!
20241218_051429.jpg
 
Kuna anayoyajua kweli na kuweza kukupa somo.

Kutokana na imani hiyo ya kujua kama mwalimu anadhani, wote tupo tayari kumeza ujinga hata anapo ongopa.

Anachokera zaidi ni pale anapotumia trust yake mbele ya jamii kwamba ni mwelewa wa sheria kama mwalimu wao. Halafu yeye ku-abuse hiyo kuwapotosha kwa maslahi ya mabeberu and against national interest (hapo ndio wengine tunapomdharau).

Ni mtu wa hovyo (overall), hata kumvaa Mbowe motive zake sio za kuijenga CDM ni maslahi yake ya kugombea uraisi.

Hoja zake za kutokukubali maridhiano ni ujinga mtupu. Kwenye kichwa chake Mbowe hakuwa na makosa na watu kama nyie zama hizo (wakati jeshi la polisi) lilikusanya ushahidi wa mipango yake ya kulipua vituo vya mafuta (Mbowe ni gaidi).

Samia kasemehe yote hayo, same sakata la mzee Kibao (CDM ulihusika) labda kwa kushirikiana na usalama wa taifa (it’s obvious for those who can tie the dots).

Mbowe hafai, lakini hana uwezo na self serving (he is just shallow) on leadership matters.


Same as in CCM and TISS (details zake huko, kuna watu hawataniwi) kwa hivyo sio ya kuyaongelea.

Why in earth would someone put hope kwa taahira kama Lissu that’s, beyond me.

Lissu ni mtu wa hovyo kweli-kweli and very compromised ni taahira tu anaweza msikiliza mijinga yule (he is so shallow) and annoying to me.
What is your point exactly...?

Maana umeandika fulscape ya insha lakini haielweki umelenga wasomaji wajue nini...

Kwani unamchukia Tundu Lissu?

Usaidiweje sasa kama una hali hiyo kwake?

Kilichobarikiwa na Mungu kimebarikiwa tu, hakuna wa kukilaani...

Tundu Lissu kabarikiwa. Mungu Yehova amembebesha kusudi maalumu kwa ajili ya nchi na taifa hili...

Kwa akili yako ya kawaida tu, hujiulizi ikawaje risasi 16 zilishindwa kuutoa uhai wake..?

Kama sio nguvu na ulinzi wa Mungu Yehova kwa mtu huyu unadhani ni kitu gani..?

Fikiria vizuri ndugu..
 
How story ya Wenje iwe na mashiko?

Story yake Iko more straight kuliko ya Lissu. That's my observation.

Kwa nini Lissu alitaka mkutano nyumbani kwake halafu hakutafuta shahidi wakati anajua kuwa yuko under the ladder halafu anakutana na mtu aliyemtuhumu?
 
Story yake Iko more straight kuliko ya Lissu. That's my observation.

Kwa nini Lissu alitaka mkutano nyumbani kwake halafu hakutafuta shahidi wakati anajua kuwa yuko under the ladder halafu anakutana na mtu aliyemtuhumu?

..Na kwanini Abdul na Wenje walitaka Lissu awafuate hotelini?

..kwa taarifa yako alikuwepo mtu wa nne, ambaye ameeleza ujinga ambao Abdul na Wenje walimpelekea Lissu.

..aliyeanza kumtafuta mwenzake ni Abduli, sio Tundu Lissu. Sasa nia ya Abduli kutaka kujuana na Lissu ilikuwa ni nini?
 
..Na kwanini Abdul na Wenje walitaka Lissu awafuate hotelini?

..kwa taarifa yako alikuwepo mtu wa nne, ambaye ameeleza ujinga ambao Abdul na Wenje walimpelekea Lissu.

..aliyeanza kumtafuta mwenzake ni Abduli, sio Tundu Lissu. Sasa nia ya Abduli kutaka kujuana na Lissu ilikuwa ni nini?

Mkuu, ninonavyo, kuna walakini kubwa kwenye story ya Lisu. Yeye kama lawyer na mzoefu kwenye siasa za Bongo he should have done better than that. So far hana ushahidi amvso ni convincing. Huyo mtu wa nne ni na nani?

Halafu huyo aliyempa ushahidi halafu akafa ni nani? Na huo ushahidi aliopewa kuhusu pesa za Mama Abdul ni upi kama siyo story yake? Kama yuko open kama anavyodai atoe huo ushahidi kwa vile aliyempa amekufa.
 
Back
Top Bottom