Voice of Tanzania
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 2,036
- 3,107
Shauli Yako SEMA ukweli ualimu Kuna changamoto nyingi zinaitaji utatuzi uwezi ukawa na mood ya kazi Kwa vitimbi vua uko kiukweliUalimu ni fani pana Kama unafikiri tunafundisha watoto tu umepotea.
Ualimu unalipa Sana siwezi Ku-expose nini namiliki au nini ninacho Ila endeleeni kudharau kazi za watu.
Pesa sio issue kwako?Ndio naweza mruhusu asomee ualimu ila wa watoto wadogo ,awafundishe kusoma na kuandika, kama ata kuwa na huo wito.
Pokea changamoto hakuna anaempinga mwalimu, nawajua washikaji wengi waliokacha ualimu wakaenda kujiongeza kwenye mambo Yao mengine, wengine kabla ya kuajiriwa walijiongeza huko sasahivi uwaambii kitu kuhusu kufundisha hawataki kabisa kusikia.Nyie ambao sio walimu mmefanikiwa kiasi gani katika haya maisha
Kuna wakati ukiwakuta watu wanawaponda walimu Ila tazama hao wapondaji ndo utajua kuwa hii nchi na MTU mweusi ni MTU mjinga Sana.
Hahaa hapa nipo na wewe, wajanja wanabeba Hela wanaondoka.Ni kazi ya hovyo wala haihtaji kujiuliza mara mbili mbili , ni kazi ya waoga
Ualimu ni fani kubwa Sana na ndo fani ambayo inawafungua watu akili na kusonga mbele.Shauli Yako SEMA ukweli ualimu Kuna changamoto nyingi zinaitaji utatuzi uwezi ukawa na mood ya kazi Kwa vitimbi vua uko kiukweli
DaahLeo nimejisikia vibaya Sana baada ya kumsikia Mzazi mmoja akimgombeza Mtoto wake aliyekua na ndoto ya kusomea ualimu, maongezi yao yalikua hivi.
Mtoto: baba Mimi nataka kusomea ualimu.
Baba: hivi umechanganyikiwa? yaani uende ukawe Mwalimu? Walimu Wana maisha gani? Eeeh! Wana kipi Cha maana? Sitaki kusikia hizo habari zako Bora ukaombe chuo Cha diploma uombe hata clinical officer nitalipa ada.
Yale maneno yamenifanya nitafakari Sana, kundi la walimu linaonekanaje? Mbona wapo wengi wenye uwezo? Hivi Kuna mtu yoyote anatamani angelikua Mwalimu? Je kutopewa heshima kwa walimu inasababishwa na nini? Je ni ugumu wa kazi? Au salary ni ndogo? ..
Mwisho, unaweza kuruhusu mtoto wako asomee ualimu?
Asante point kubwa hii, yote kwa yote nilichoelewa zaidi hapa ni kuwaza nje ya box na sio kutegemea mshahara.Ualimu ni fani moja nzuri na yenye soko kubwa kama utajua namna ya kujiongeza. Kwasababu kila siku watu kuna jambo wanataka kulifahamu so watahitaji mwalimu wakuwafundisha.
Tatizo ni kuwa vijana wengi wanaohitimu ualimu wanabaki kuwa waalimu wa masomo waliyosomea chuo utasikia mimi mwalimu wa jiografia mara kiswahili au sayansi, wameshindwa kutumia ujuzi na maarifa yao ya kufundisha kufundisha wqtu mambo mbali mbali.
Mfano, kama mtu kasoma ualimu alafu akajielimisha juu ya matumizi ya AI labda ChatGTP au hata sanaa fulani kama muziki au jambo lolote akawa na ufahamu wa hilo jambo anauwezo wa kuhamisha ufahamu au ujuzi wake huo kwa watu wakamuelewa na kumlipa.
Kifupi ukisoma ualimu ukahitimu wafundishe watu vile unavyovifahamu au kuwa na kipaji navyo serious kwa kutumia maarifa ya ufundishaji uliyonayo.
Najua ni ngumu na pengine nikaonekana motiveshno spika ila bila kuwqza nje ya box mwqlimu hauwezi kutoboa japo ndio fani yenye wateja wengi kuliko fani zingine zote.
Umeshindwa yote anzisha basi twisheni au homework aider kwa njia ya digitali uwe unafanya mambo kama mtaaluma sio mbabaishaji, watu wana smartphone wanaweza kutumia na watoto wao. Ujue sio kila mzazi anajua kutafuta kipenyo a kipeuo, why asijiunge na program yako kama inamuondolea aibu ndogo ndogo na mwanae anapata elimu.
Watakulipaje, jisajili Lipa kwa simu kuwa na website na App ya android na Ios fanya kazi kama msomi. Vaa vizuri, eneo la ofisi smart, tumia kamera quality, set up nzuri usikike vizuri, engage na mteja wako. Nusu saa Tsh. 200 hapo una wateja 10+
Ila uandae mtaji wa kama milioni tatu, maana hakuna biashara ya maana isiyo na mtaji wa pesa.
Kwa atakayeokota jambo haya, kila la heri ndugu mwalimu
Pesa kwangu na binafsi yangu ni issue kubwa ila kwa wanangu inaweza isiwe issue kubwa inategemea nitajipanga vip.Pesa sio issue kwako?
Sijui walimfanya nini wakati anakuwa huko kijiji cha mpwayunguAkifika kazi mnayo Aloooh ahahaha jamaa hapend maticha yule aloo acha kabisa
Hamna changamoto yoyote unaishi katika illusion Sana.Pokea changamoto hakuna anaempinga mwalimu, nawajua washikaji wengi waliokacha ualimu wakaenda kujiongeza kwenye mambo Yao mengine, wengine kabla ya kuajiriwa walijiongeza huko sasahivi uwaambii kitu kuhusu kufundisha hawataki kabisa kusikia.
Tunajifarijigi tu ila ukweli ni kuwa hii na uaskari ni kazi za masikini tu.Yeah, hii ndio point naona zingine ni motivation tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji14][emoji14]Marahaba kijana mwadilifu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119] ni umaskini wa kufikiri.• Mkuu, yani kuna watu waajabu sana, Mtu unamchukia/au unauchukia ualimu, ¿¿¿
• Basi sasa achukue huyo mtoto wa miaka saba kisha ampeleke akasomee urubani, [emoji3]
Ww unajua utoafuati wa ualimu ni kitu Gani ? Yaani huyo anayefundisha nursery, primary , secondary, chuo.Ndio naweza mruhusu asomee ualimu ila wa watoto wadogo ,awafundishe kusoma na kuandika, kama ata kuwa na huo wito.
Huo ndio uhalisia ndugu? Na Imani Mzazi aliepo TRA au aliepo kwenye position nzuri hawezi kuruhusu mtoto wake awe Mwalimu, hiki ni kichaka kwa sisi waomba Mungu tu tusio na connection na watu, Mimi hobby yangu na ndoto zangu huwa ni biashara lakini unajikuta upo sehemu ambayo moyo haupo kabisa, eg umepangwa kigoma huko yaani ndoto zako zoote zinakufa huko utafanyaje?Hiki ni kibarua chetu sie masikini tu tusio na 'konekisheni'🤣🤣🤣
For sure kada ya kipumbafu Sanaa hii although ndo inanipa kula Ila NI ya kipuuzi HAKUNA mwalimu anaejivunia kua mwalimuUalimu ni shida uko akuna posho, akuna pesa ya kinywaji, akuna pesa ya pango, pesa ya likizo mbaka uende ukadeki pagala la mkurugenzi na akuchapie mkeo ndo upate, promotion mbaka ukaroge, seminar mbaka umuonge mkuu wa shule na afisa elimu, kusimamia mitihani 10% Kwa mkuu, kuenda mark mbaka yesu aludi, mikwara kibao shule aina computer lakini mkurugenzi anataka mtoe A za SoMo la computer, ata mjumbe wa nyumba kumi bosi wako anaweza akaja shule akakufokea Kwa Nini ofisi chafu aujadeki na ikiwezekana kama una kimwili kidogo anakulamba na viboko vitatu vya nguvu, pesa ya mwenge utaki unataka utatoa, makato ya Cwt unayataka uyataki itakatwa TU lete fyoko ushughulikiwe