πππ Huyu ana wajukuu Bibi mmoja hivi wa "tutayafanyia kazi"@FaizaFoxy huyu Ni mdada MTU mzima singo mum ana sura flani Kama anakaanga sumu. Anawachukia Sana wanawake warembo, anapenda Sana kusimanga wenzake.
πππ Jamaa ni fisi Maji,Hapo kwa Mwashambwa umenikoshaa, huyo mtu wa kuita kila mtu tajiri hata wadogo zake mradi mkono uende kinywani.
ππ€£Mimi walinambia naandika kama mwanaume,nikawajibu njoo niwaoe,manake mimi Nina k Tena yamotoooππ€£Habari wakuu,
Husika na kichwa tajwa,
Pamoja na kuwa hatuwezi kujuana kwa kwa majina wala sura zetu.
Ila katika kuandika kwetu mambo mbalimbali au hoja mbalimbali Kuna uwezekano wa mtu akajua we ninani.
Kila member huwa ana hoja zake anazoweka katika majukwaa..
Wengine huweka hoja zao siasa, wengine hoja na mchanganyiko..
Kuna wanoweka hoja zao kidini yaani ukiingia huko ni yeye..
Njoo kwa mahusiano na mapenzi huko nako kuna watu huko..
Sasa kuna wale wa chit chat huko nao utawakuta wanajifurahisha zao...
Kifupi katika kupita huko lazima utamjua member yupi na anatabia Gani..
Tuambie uandishi wa member unaweza mjua tabia yake...
Tuambie member nani na anatabia ipi...
Kivumbi kinatimka
K ya motoooo kweli kabisa? Au nimesikia vibaya?ππ€£Mimi walinambia naandika kama mwanaume,nikawajibu njoo niwaoe,manake mimi Nina k Tena yamotoooππ€£
Acha basi kutushtua maungo..ππ€£Mimi walinambia naandika kama mwanaume,nikawajibu njoo niwaoe,manake mimi Nina k Tena yamotoooππ€£
Pombe sio mtumiaji sana, natumia za asili Kwa kiasi kidogo ila zingn zote nliwahi jaribu mara Moja tuWewe mpenda pombe aina ya c/lite.
Unapenda sana kutoa offer ukiwa baa.
Kuna washkaji tukikutana tuna shangaana na kucheka sanaTrue that. Kuna mifano hai kabisa...
Uzi uishie hapa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]SOMETIMES YES
SOMETIMES NO
VICE VERSA IS TRUE
Mitandaoni huku waigizaji wengi sana, japo wengine wachache wana keep it real!
Unamzungumzia Gentamycine the king au ?? yuko dizmGENTAMYCINE ni mwalimu wa tuition kwenye tuition Center Bunda vijijini
Mtumishi wa Bwana, Bwana Mtumishi na wanaomtumikia Bwana Mtumishi, hapo signal itakua imekamata
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]Mimi walinambia naandika kama mwanaume,nikawajibu njoo niwaoe,manake mimi Nina k Tena yamotooo[emoji23][emoji1787]
Hadi utakapoelezewa ni mtu wa aina gani ndipo tutafunga uzi.πUzi uishie hapa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila huu m wandiko wa kiume wewe km Mwanamke utakua na bonge la besi yaan sauti nzito sauti ya zege,ππ€£Mimi walinambia naandika kama mwanaume,nikawajibu njoo niwaoe,manake mimi Nina k Tena yamotoooππ€£
Unapenda kucheka hivi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duh nimechekaSema hapa umenena pia...unaweza muona mtakatifu kumbe m$enge tu...wengi hujificha humo
[emoji23][emoji23][emoji23] mie mwenyewe sijijui ni mtu wa aina gan, sasa hao wengine wataweza wapiii??Hadi utakapoelezewa ni mtu wa aina gani ndipo tutafunga uzi.[emoji28]