Je, Uchawi una mchango wowote katika kukuza Biashara?

Duh! Akili zako Bana. Kwa hiyo Kuna matajiri wanaamua kuishi kimasikini? Acheni Utapeli, uganga ni upuuzi
 
Duh! Akili zako Bana. Kwa hiyo Kuna matajiri wanaamua kuishi kimasikini? Acheni Utapeli, uganga ni upuuzi
 
Kwanza mie sipo kwa hizo Imani za kigeni unazozitaja, pia si muumini wa ulimwengu wako wa giza. Halafu cjasema waganga wanatembelea passo. Wapo wanaotembelea hata V8 but mostly pesa zao ni za kuwatapeli kwa uongo wagonjwa just kama wanavyofanya kina Gwajima, Mwingira na makorokoro kama hayo!

So kama upo kwenye ulimwengu wa giza prove here Uchawi unasaidiaje biashara kukua...
 
Hakuna Agent anayekubali kuneemesha wenzie huku hali yake ikiwa pangu pa kavu.
We bisha wakati wenzako wanachukua ndago kwa hao hao maagent na kutajirika kwa nguvu za giza. Sikuhamasishi nawe ujaribu bali najaribu kukuaminisha kuwa kuna utajiri wa upande wa nguvu za Mungu na utajiri wa upande wa shetani. Ishi miaka mingi, jichanganye ujue kijana
 
Wengi wanaopinga ndio wako upande huo, kwa utajiri au kwa vyeo. Na wanapinga ili wasijulikane
 
Kwa mdomo huu mchafu hata mimi mtu kama wewe ukikaa vibaya nakutoa kafara tu! Watu wa mdomo kama wako hamfai kuishi duniani.
Kaanze kumtoa kafara mama yako anayekushauri upumbafu. Jitu zima ukipata matatizo unakimbilia kwa mama, mama mwenyewe mchawi. Pipa limepata funiko.wajinga kama wewe mnatakiwa mfe vifo vya ajabu pathetic.
 
Wengi wanaopinga ndio wako upande huo, kwa utajiri au kwa vyeo. Na wanapinga ili wasijulikane
Wengi wao hujulikana kwa masharti wanayopewa yakiwa dhahiri mbele ya jamii. Kwa mfano unakuta jamaa ni tajiri vibaya mno akimiliki vitega uchumi kibao na magari yakutosha, lakini anatembea kwa mguu na ndala miguuni.! Au unakuta mzee flani ni don haswa ila ana kidonda kikubwa eneo fulani mwilini mwake alafu hakiponi. Won't you use your common sense to relate his richnness na hali yake?
 
Ukiona tajiri anatumia pua kupumua jiulize
 
Nachojua kuna mahusiano makubwa sana kati ya mafanikio ya kibiashara na ushirikina.
Lakini najua pia kuwa kuna mahusiano makubwa mno mno kati ya mafanikio ya kibiashara na ucha Mungu wako.

It is just a matter of trading of vile unavyofikiria wewe inafaa kwa wakati husika. Wengi huweza kuanza vizuri Biashara kwa kuunga unga kidogo kidogo ila once wanapofikiria kukuza na kufika viwango vya juu washauri hugonga hodi na kuwapa option nyingi zikiwepo za kishirikina.

Wakati mwingine changamoto za kibiashara zinaweza kukupelekea kuamua kuingia madude ya ajabu, mf. unaweza kufungua duka na usiuze kitu hata kimoja wiki zima, na kwa hali hiyo ukiambiwa Jiongeze utajikuta umeingia mtego wa kutafuta msaada wa kiganga.

Vema watu wajue kuwa hayo mambo yapo na ni wengi tu wanatumia, sema kuthibitisha inaweza ikawa tabu ila yapo, na bahati mbaya zaidi watumiaji wazuri wa huduma za kiganga, huwa wako vizuri sana na jamii, makanisani ni watoaji wazuri, kwenye jamii wanatoa misaada mikubwa, just to fool people.
 
Kwahiyo Bakheresa, Dewji ni makafara.

Sasa aliyegundua FB, Amazon anarogea wapi?

Dangote nae kile kiwanda cha Mtwara kinarogea wapi?

#YNWA
 
Tajiri wa Amazon, FB, yaani Ile top ten ya dunia IMEZINDIKA NINI?

Dangote nae uchawi wake ni upi?

#YNWA
 
Kama mnautaka uchawi wa kweli nendeni namanyere karibu na sumbawanga...huombwi hata mia mpaka ishu yako itiki
Acha uongo,wajinga kama nyie mnaharibu sifa ya mkoa wa Rukwa.
Ingekuwa hivyo Rukwa isingekuwa miongoni mwa mikoa maskini kwa kipato.
 
Pia mkuu huwezi kununua gari usilizindike, dunia nzito sana hii linaweza likadumu muda mfupi sana barabarani. Kuna watu wanabisha mambo haya makusudi ili Wengine wafunguke tu kuhusu haya mambo
 
Tajiri wa Amazon, FB, yaani Ile top ten ya dunia IMEZINDIKA NINI?

Dangote nae uchawi wake ni upi?

#YNWA
Kaka mali ya duniani yote ni ya shetani, huu ni ukweli mchungu.
Hao mabilionea lazima uingie makubaliano na shetani au Mungu ili uwe bilionea.
 
Nahtaji niongee na wewe hats dk moja tu kaka nifanyeje

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…