Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Life begins @ 40.
Hii kauli haiko valid kwenye maswala la kifamilia labda kiuchumi tu, unatengeneza familia ukiwa na miaka 40+ halafu unastaafu kazi mtoto wako wa kwanza akiwa darasa la 7 huku nyuma bado kuna wadogo zake, hii team unailea vipi? Hata kama tukiondoa swala la kustaafu, naamini kwamba hautakuwa na nguvu za kuwapambania hawa watoto.

Matokeo yake ni kupata kiarusi na presha kwa msongo wa mawazo na stress za kukabiliana na mahitaji makubwa ya kifamilia katika nyakati za uzee wako.

VIJANA WANATAKIWA KUACHA UOGA WA MAISHA, badala yake wakabiliane nayo uso kwa uso kama jinsi ambavyo wazee wetu walifanya zamani.
 
Kwa hili la ku~make a good wife and a mother nakubaliana na wewe 100%, hawa wanaoolewa early 20s mara nyingi wanaichukulia ndoa poa sana, ila mdada anaingia kwa ndoa akiwa 33 lazima aone thamani ya kile alichofanya, ataitunza ndoa, anajua kulea so chances za kuwa mama bora ni kubwa.
Sio kweli. Kuchukulia poa kwa namna gani? Misingi ya malezi ndio inaamua mwanamke anaichukuliaje ndoa.

Kwa mwanaume ndoa ni kuwajibika na matunzo ya mke na watoto wake. Kwa mwanamke ndoa ni kusimama na mwanaume na kutekeleza majukumu yake kama mke.

Sasa swala la kuchukulia poa it means kama mwanamke hana maandalizi mazuri kutoka kwenye ukoo wake ndoa lazima iwe kazi na mzigo ila akijengwa kimaadili na kujua majukumu yake aaah ndoa ni rahisi kama kumsukuma mlevi.
 
Ingawa sina hakika kama ni kweli au unafurahisha genge, Pole sana mkuu.
Ndoa ni ishara ya ushindi na mafanikio kwa Wanawake wengi Duniani hasa Barani Afrika, middle east na Asia. Hivyo, wakigusa 30 bila ndoa hujiona kuwa wameshindwa kufikia lengo muhimu na kuianguasha jamii yao hasa wazazi.
Uzoefu unaonyesha hakuna kanuni ya upi muda sahihi wa kuoa au kuolewa, wewe mwenywe ndio determinant ya lini ni muda sahihi kuolewa. Ila kuna muda sahihi wa kuzaa kwa mwanamke 24- 36. Ukizaa ukiwa mzee kuna hatari za kiafya kwa mtoto. Sayansi inaonyesh ukizaa ukiwa kwenye 20s kuna tija zaidi kwa mtoto.

Ila unapaswa kutambua facts zifuatazo ili uweze kujua namna ya kutoboa. Kwanza, mwanamke ana nafasi ndogo sana ya kuamua nani amuoe na lini. Fact nyingine ni kuwa kwa kadri umri unavyosonga ndivyo mvuto wa kimapenzi wa mwanamke unapungua na eventual rate ya watia nia sahihi nayo inapungua. Fact nyingine ni kuwa ukiwa mrembo na ukiwa na umri mdogo na ukiwa na uwezo mkubwa wa kumpa furaha mwanaume unakuwa na nafasi kubwa zaidi ya kuolewa mapena. Bahati mbaya warembo wengi Duniani huwa hawana uwezo wa kuwapa furaha wanaume kutokana na demnd yao kuwa kubwa. Fact nyingine unapaswa kuelewa kuwa wanaume regardless ya utajiri au level ya elimu huwa wanatafakari sana kabla ya kufanya maamuzi ya kuoa, wanawahofia sana wanawake. Wanaume wanataka mwanamke atakayempa heshima, furaha na amani. Ingawa siku hizi kuna wavulana ambao wao wanapenda zaidi physical materials kutoka kwa mwanamke. Mwisho wanaume wengi wenye akili na wanaojiamini huwa hawapendi mwanamke mwenye akili sana au mtafutaji sana kwa sababu wanaamini kuwa wao wanajimudu. Kujua Kudeka, kubembeleza, sauti na ufundi wa ngono ni silaha muhimu za ushindi.
Kwa umri ulio nao unaweza ukafanya yafuatayo:
Kuzaa bila kujari suala la kuolewa. Athari yake ni kuwa utapunguza zaidi fursa ya kuolewa na mwanaume wa maana na unaweza kumpa mtoto changamoto ya kimalezi na tabia. Wenzenu Ulaya, America na Asia uenda Baa na kujitegesha kwa walevi.
Oa, tafuta kijana anayetaka kulelewa muoe.
Boresha tabia, kuwa msafi (ng'aring'ari) ndani na nje muda wote, kuwa simple, usiwe much know kwa sana, safiri mara kwa mara, kata mawsiliano na EXs, take risk ukiombwa mzigo. Usiende kwenye game bila kuoga, kamwe.
Kamwe usimwambie mwanaume kuwa upo jamii forum na ukiwa na mwanaume punguza kuwa busy na simu.
Ukiwa kwenye dating ukakutana na mtu unayemfahamu msarimie then mpotezee focus kwa mwanaume wako.
Usiwe mtu wa kutoa options za hoteli au sehemu nzuri ya kutoka out. Ukipewa nafasi ya kuchagua mwambie sijui akikulazimisha, chagua kati ya maeneo ambayo amewahi kukupeleka.
Usiombe pesha, omba kitu

Ukiwa na mwanaume mweleze watu muhimu kwako na namna unavyo link nao. Likewise mbembeleze naye akwambie watu wake wa muhimu.
Mhaminishe mwanaume kuwa unatamani kumzalia wato, kamwe usimwombe akuoe.

Mwisho, hakuna kanuni kwenye kumpata mwenza, hivyo yote haya yanayosemwa ni kubahatisha tu.
Mungu akubariki upate itaji la moyo wako.
financial services financial services
 
Hii kauli haiko valid kwenye maswala la kifamilia labda kiuchumi tu, unatengeneza familia ukiwa na miaka 40+ halafu unastaafu kazi mtoto wako wa kwanza akiwa darasa la 7 huku nyuma bado kuna wadogo zake, hii team unailea vipi? Hata kama tukiondoa swala la kustaafu, naamini kwamba hautakuwa na nguvu za kuwapambania hawa watoto.

Matokeo yake ni kupata kiarusi na presha kwa msongo wa mawazo na stress za kukabiliana na mahitaji makubwa ya kifamilia katika nyakati za uzee wako.

VIJANA WANATAKIWA KUACHA UOGA WA MAISHA, badala yake wakabiliane nayo uso kwa uso kama jinsi ambavyo wazee wetu walifanya zamani.
Unastaafu vipi na hata ajira hauna.
 
Mbona me nimeona na nimesoma na wanawake wakiwa katika hali ya uzazi kuanzia wakiwa na mimba hadi wananyonyesha na wameenda fresh tu na sasa wana watoto hadi 4 na life inaenda.
Binadamu tunatofautiana si kila mtu anaweza kubalance kulea na kusoma na asiyeweza usimlaumu wala usimlazimishe, sijui kwanini wanaume huwa mnataka kila kitu kinachohusu mahusiano kiwe in your favor, hata kama itamaanisha mwanamke kukosa furaha hilo ninyi haliwahusu
 
Mdogo wake kwamba inakuwa haipiti au ikipita inatokezea mdomoni.
Nipo kwenye maandalizi ya kumsaka mwanamke aliyenizidi miaka 10.
😂😂😂 Sasa chief ukisema swala la haipiti huo ni uzinzi. Sababu wazinzi kokote wenyewe inapita hata kwa watoto..!
Sasa mwanamke aliyekuzidi 10yrs unataka kuoa mama zako wadogo??
 
Mbona me nimeona na nimesoma na wanawake wakiwa katika hali ya uzazi kuanzia wakiwa na mimba hadi wananyonyesha na wameenda fresh tu na sasa wana watoto hadi 4 na life inaenda.
3/10. Achana na wale wa vyuoni wanaopata mimba hazikuwa kwenye mpango. Hao hawana budi kukaza sbb hawana choices.

Nazungumzia kurudi shule. Paelewe hapo
Mtu ushaingia kwa mfumo wa ajira, ndoa, ulezi. Ni ngumu kurudi kuongeza shule ilihali mtoto bado mdogo, ndoa uihudumie, ajira uihudumie nk
 
Ingawa sina hakika kama ni kweli au unafurahisha genge, Pole sana mkuu.
Ndoa ni ishara ya ushindi na mafanikio kwa Wanawake wengi Duniani hasa Barani Afrika, middle east na Asia. Hivyo, wakigusa 30 bila ndoa hujiona kuwa wameshindwa kufikia lengo muhimu na kuianguasha jamii yao hasa wazazi.
Uzoefu unaonyesha hakuna kanuni ya upi muda sahihi wa kuoa au kuolewa, wewe mwenywe ndio determinant ya lini ni muda sahihi kuolewa. Ila kuna muda sahihi wa kuzaa kwa mwanamke 24- 36. Ukizaa ukiwa mzee kuna hatari za kiafya kwa mtoto. Sayansi inaonyesh ukizaa ukiwa kwenye 20s kuna tija zaidi kwa mtoto.

Ila unapaswa kutambua facts zifuatazo ili uweze kujua namna ya kutoboa. Kwanza, mwanamke ana nafasi ndogo sana ya kuamua nani amuoe na lini. Fact nyingine ni kuwa kwa kadri umri unavyosonga ndivyo mvuto wa kimapenzi wa mwanamke unapungua na eventual rate ya watia nia sahihi nayo inapungua. Fact nyingine ni kuwa ukiwa mrembo na ukiwa na umri mdogo na ukiwa na uwezo mkubwa wa kumpa furaha mwanaume unakuwa na nafasi kubwa zaidi ya kuolewa mapena. Bahati mbaya warembo wengi Duniani huwa hawana uwezo wa kuwapa furaha wanaume kutokana na demnd yao kuwa kubwa. Fact nyingine unapaswa kuelewa kuwa wanaume regardless ya utajiri au level ya elimu huwa wanatafakari sana kabla ya kufanya maamuzi ya kuoa, wanawahofia sana wanawake. Wanaume wanataka mwanamke atakayempa heshima, furaha na amani. Ingawa siku hizi kuna wavulana ambao wao wanapenda zaidi physical materials kutoka kwa mwanamke. Mwisho wanaume wengi wenye akili na wanaojiamini huwa hawapendi mwanamke mwenye akili sana au mtafutaji sana kwa sababu wanaamini kuwa wao wanajimudu. Kujua Kudeka, kubembeleza, sauti na ufundi wa ngono ni silaha muhimu za ushindi.
Kwa umri ulio nao unaweza ukafanya yafuatayo:
Kuzaa bila kujari suala la kuolewa. Athari yake ni kuwa utapunguza zaidi fursa ya kuolewa na mwanaume wa maana na unaweza kumpa mtoto changamoto ya kimalezi na tabia. Wenzenu Ulaya, America na Asia uenda Baa na kujitegesha kwa walevi.
Oa, tafuta kijana anayetaka kulelewa muoe.
Boresha tabia, kuwa msafi (ng'aring'ari) ndani na nje muda wote, kuwa simple, usiwe much know kwa sana, safiri mara kwa mara, kata mawsiliano na EXs, take risk ukiombwa mzigo. Usiende kwenye game bila kuoga, kamwe.
Kamwe usimwambie mwanaume kuwa upo jamii forum na ukiwa na mwanaume punguza kuwa busy na simu.
Ukiwa kwenye dating ukakutana na mtu unayemfahamu msarimie then mpotezee focus kwa mwanaume wako.
Usiwe mtu wa kutoa options za hoteli au sehemu nzuri ya kutoka out. Ukipewa nafasi ya kuchagua mwambie sijui akikulazimisha, chagua kati ya maeneo ambayo amewahi kukupeleka.
Usiombe pesha, omba kitu

Ukiwa na mwanaume mweleze watu muhimu kwako na namna unavyo link nao. Likewise mbembeleze naye akwambie watu wake wa muhimu.
Mhaminishe mwanaume kuwa unatamani kumzalia wato, kamwe usimwombe akuoe.

Mwisho, hakuna kanuni kwenye kumpata mwenza, hivyo yote haya yanayosemwa ni kubahatisha tu.
Mungu akubariki upate itaji la moyo wako.

Safi umenena kwa upendo na kwa hekima kubwa!
 
Umechagua sahihi, usizae hovyo. Ingia kwenye ndoa utafutie watoto humo, hata malezi yanakuwa na uelekeo mzuri. Sio huyu anaishi na mama A, yule yupo na mama B. Hata kipato chako kinaishia usipoelewa.
Yeah siwezi thubutu kufanya hivyo yaani hata mechi zangu hua makini kwenye hilo.

Nimeona kwa kaka zangu wamezaa watoto hovyo wa nje wanateseka kishenzi.

NB# Zawadi pekee nitakayojaribu kuwapa watoto wangu ni mama bora.
 
Back
Top Bottom