Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

3/10. Achana na wale wa vyuoni wanaopata mimba hazikuwa kwenye mpango. Hao hawana budi kukaza sbb hawana choices.

Nazungumzia kurudi shule. Paelewe hapo
Mtu ushaingia kwa mfumo wa ajira, ndoa, ulezi. Ni ngumu kurudi kuongeza shule ilihali mtoto bado mdogo, ndoa uihudumie, ajira uihudumie nk
Inawezekana, ila support kubwa ya mume inahitajika.
 
Habari ya weekend great thinkers?

Maisha yananipa experience tofauti, Sikuwahi kufikiria kama ningefika third floor bila kuwa na familia wala watoto, kuna muda nahisi kupanic nahofia watoto wasije kuniita bibi badala ya mama, au kukosa kabisa sababu ya umri mkubwa🤔

Enzi hizo nilikua nashangaa mtu hasa mdada unafikaje hadi 30s huna familia, aisee kumbe ni kweli now ni mimi mwenyewe.

Mlioanza familia mkiwa 30s je ni kweli au mnaona dalili za watoto wenu kuwaita bibi au babu? Vipi changamoto za uzazi sababu ya umri mkubwa?😔

Nipo tayari kwa comments zote.

Happy valentine's day in advance 👏🥰
Kwa mwaume siyo mbaya ila ukitoboa 40 siyo poa,ukichelewa ukapata MTU sahihi sion shida,mbaya nipale uchelewe afu upate mtu wa ovyo
 
Habari ya weekend great thinkers?

Maisha yananipa experience tofauti, Sikuwahi kufikiria kama ningefika third floor bila kuwa na familia wala watoto, kuna muda nahisi kupanic nahofia watoto wasije kuniita bibi badala ya mama, au kukosa kabisa sababu ya umri mkubwa🤔

Enzi hizo nilikua nashangaa mtu hasa mdada unafikaje hadi 30s huna familia, aisee kumbe ni kweli now ni mimi mwenyewe.

Mlioanza familia mkiwa 30s je ni kweli au mnaona dalili za watoto wenu kuwaita bibi au babu? Vipi changamoto za uzazi sababu ya umri mkubwa?😔

Nipo tayari kwa comments zote.

Happy valentine's day in advance 👏🥰
Pole dada,mwanamke kisayansi kwa kubeba mimba zilizo salama ni miaka 20 hadi 35 before au after hapo kunakuwa na uzazi complicated ingawa sio compulsory as for magonjwa hayasomi vitabu kwamba lazima yatimize kilichoandikwa.
Ushauri wangu kwako,zaa mapema ili kibailojia usiwasumbue madaktari kupambana na matatizo yanayoweza kukupata wakati wa ujauzito au wakati unajifungua
 
Miaka 10 mlikuwa na mpango wa kupindua nchi mkuu?
Dah mkuu still najutiaga kumpotezea muda yule bint japo pia kwa upande mwingine sina kosa ilikua nje ya uwezo wangu maana shida ilikua kwenye dini yeye mkristu na mimi muslim na maisha yangu yalikua mjalala kuliko familia yake ililivyo.

Msumari mkubwa ulikuja kutokea yeye alitangulia kupata maisha kabla yangu change zikaanza mdogo mdogo ikafika stage kutokana na changamoto zangu za kimaisha nikawa siishi maisha yangu natumia nguvu kubwa sana kumlinda yeye asiondoke ila mwisho alikuja kuniacha kwa kashifa sana. Siku aliyoniacha ndo ilikua first day kuanza kazi ambayo ndo imeinua maisha yangu leo ila nilisikitika kwasababu nilitamani yale niliyomuahidi nikiwa majanga niyatimize ila imekua tofauti.

Yote kwa yote maisha lazima yaendelee man.
 
Mdogo wake kwamba inakuwa haipiti au ikipita inatokezea mdomoni.
Nipo kwenye maandalizi ya kumsaka mwanamke aliyenizidi miaka 10.
Mkuu unataka aliekuzidi miaka 10, au uliemzidi miaka 10?. Mkuu kama ni aliekuzidi basi ujiandae kimwili.
 
Dunia ina mambo mengi na changamoto nyingi sana.

Kuna watu kutokuwa na mtoto au kuchelewa kupata mtoto haitokani na maamuzi yake, kuna nguvu ya tofauti inayolizuia/kuchelewesha hilo kuwezekana ukiachana na wale ambao wana changamoto za afya ya uzazi.

Sitaki niende kwenye hili sana kwa kuwa siwezi kulielezea vyema Donatila utanisaidia ufafanuzi mzuri.

Ni hivi kuna watu wamefungwa kupata wenza na watoto, wapo watu wana sifa zote nzuri lakini likija suala la kupata mwenza wa kudumu nae au kupata watoto ni mtihani mgumu. Na hii hali inawatesa wengi sana bila kujua.
Umeongea jambo la msingi ambalo wengi hawalijui
 
Ingawa sina hakika kama ni kweli au unafurahisha genge, Pole sana mkuu.
Ndoa ni ishara ya ushindi na mafanikio kwa Wanawake wengi Duniani hasa Barani Afrika, middle east na Asia. Hivyo, wakigusa 30 bila ndoa hujiona kuwa wameshindwa kufikia lengo muhimu na kuianguasha jamii yao hasa wazazi.
Uzoefu unaonyesha hakuna kanuni ya upi muda sahihi wa kuoa au kuolewa, wewe mwenywe ndio determinant ya lini ni muda sahihi kuolewa. Ila kuna muda sahihi wa kuzaa kwa mwanamke 24- 36. Ukizaa ukiwa mzee kuna hatari za kiafya kwa mtoto. Sayansi inaonyesh ukizaa ukiwa kwenye 20s kuna tija zaidi kwa mtoto.

Ila unapaswa kutambua facts zifuatazo ili uweze kujua namna ya kutoboa. Kwanza, mwanamke ana nafasi ndogo sana ya kuamua nani amuoe na lini. Fact nyingine ni kuwa kwa kadri umri unavyosonga ndivyo mvuto wa kimapenzi wa mwanamke unapungua na eventual rate ya watia nia sahihi nayo inapungua. Fact nyingine ni kuwa ukiwa mrembo na ukiwa na umri mdogo na ukiwa na uwezo mkubwa wa kumpa furaha mwanaume unakuwa na nafasi kubwa zaidi ya kuolewa mapena. Bahati mbaya warembo wengi Duniani huwa hawana uwezo wa kuwapa furaha wanaume kutokana na demnd yao kuwa kubwa. Fact nyingine unapaswa kuelewa kuwa wanaume regardless ya utajiri au level ya elimu huwa wanatafakari sana kabla ya kufanya maamuzi ya kuoa, wanawahofia sana wanawake. Wanaume wanataka mwanamke atakayempa heshima, furaha na amani. Ingawa siku hizi kuna wavulana ambao wao wanapenda zaidi physical materials kutoka kwa mwanamke. Mwisho wanaume wengi wenye akili na wanaojiamini huwa hawapendi mwanamke mwenye akili sana au mtafutaji sana kwa sababu wanaamini kuwa wao wanajimudu. Kujua Kudeka, kubembeleza, sauti na ufundi wa ngono ni silaha muhimu za ushindi.
Kwa umri ulio nao unaweza ukafanya yafuatayo:
Kuzaa bila kujari suala la kuolewa. Athari yake ni kuwa utapunguza zaidi fursa ya kuolewa na mwanaume wa maana na unaweza kumpa mtoto changamoto ya kimalezi na tabia. Wenzenu Ulaya, America na Asia uenda Baa na kujitegesha kwa walevi.
Oa, tafuta kijana anayetaka kulelewa muoe.
Boresha tabia, kuwa msafi (ng'aring'ari) ndani na nje muda wote, kuwa simple, usiwe much know kwa sana, safiri mara kwa mara, kata mawsiliano na EXs, take risk ukiombwa mzigo. Usiende kwenye game bila kuoga, kamwe.
Kamwe usimwambie mwanaume kuwa upo jamii forum na ukiwa na mwanaume punguza kuwa busy na simu.
Ukiwa kwenye dating ukakutana na mtu unayemfahamu msarimie then mpotezee focus kwa mwanaume wako.
Usiwe mtu wa kutoa options za hoteli au sehemu nzuri ya kutoka out. Ukipewa nafasi ya kuchagua mwambie sijui akikulazimisha, chagua kati ya maeneo ambayo amewahi kukupeleka.
Usiombe pesha, omba kitu

Ukiwa na mwanaume mweleze watu muhimu kwako na namna unavyo link nao. Likewise mbembeleze naye akwambie watu wake wa muhimu.
Mhaminishe mwanaume kuwa unatamani kumzalia wato, kamwe usimwombe akuoe.

Mwisho, hakuna kanuni kwenye kumpata mwenza, hivyo yote haya yanayosemwa ni kubahatisha tu.
Mungu akubariki upate itaji la moyo wako.
ukiangalia maana ya kufunga ndoa au kuolewa msingi wake ni kuanzisha familia, yaani mke baba na mtoto. Na kuanzisha familia ni jambo rahisi sana, kwani ni makubaliano kati ya nyie wawili me na ke.

Cha kushangaza ni kwamba hawa mabinti siyo kwamba hawana mahusiano, wanayo tena mengi. Na katika mahusiano yao siyo kwamba hawapati mimba, wanazipata na wanazitoa.

Mwisho wa siku wanaanza kuhangaika na kulalamika eti hawana watoto wala familia.

Sasa unajiuliza hawa wanawake wanataka nini kama siyo ujinga na upumbavu wao?
 
Yaani watu wanapenda kujipa presha na kujinyima raha kwenye maisha yao.......

Ukitaka uishi maisha ya tabu ,sonona na msongo wa mawazo hata kufa mapema basi wakabidhi walimwengu hizo funguo.......

Kitu ambacho watu wengi hawajui ni kuwa asilimia 90 ya mambo yanayotokea maishani mwetu si kwa mipango yetu....ndio maana unapanga ufanye jambo fulani wakati fulani alafu ukajikuta hata hujafanya.......

Jikabidhi kwa Mungu ili upate furaha na amani ya moyo....yeye ndio anajua kusudio la maisha yako na yeye ndio anajua amekupangia nini.....

Wapo waliowahi kuzaa na watoto wote wakafariki......

Wapo waliowahi kuoa au kuolewa wakaambulia mateso mpaka wakazikimbia ndoa........

Kwa Mungu hakuna kuchelewa au kuwahi kwani kila kiumbe humrudhuku kwa wakati anaoona unafaa.......

Wapo watu ni wagumba kabisa na hawakuchagua kuwa hivyo lakini wanaishi maisha yao kwa raha na furaha......

Na wapo watu sio wagumba lakini Mungu anaamua kuwapa watoto uzeeni.....

Ulimwengu una mambo mengi sana

Acha kujipa stress....Acha kukusanya maoni na mitazamo ya watu juu ya maisha yako.....enenda katika njia ya Mungu kwani kila mtu kampa njia yake
Sio ukweli ni nguvu ya asili ndo inayotupa pressure ambayo huwezi iepuka kwa binadamu yeyote
 
Mmmmmmhmn. Unajua mtu mzima kumdanganya mtu mzima mwenzake kama mtoto mdogo sio uungwana. Hivi mtu yupo 30,watoto wengi wanatokea wapi labda kama ata adopt wengine.

Hebu tazama, mtoto anabebwa tumboni miezi 9. Kumlea hadi kuwa tayari kumuachisha kunyonya ili usim'bemende yaani uzazi na malezi ya mtoto mchanga ni miaka si chini ya mitatu, so ukijumlisha na ile miezi tisa ya kubeba tifanye ni mwaka kabisa so ni miaka minne hiyo imekwenda. Miaka 30 + 4 ni miaka 34. Akiongeza mtoto wa pili bila kupumzika ni 38 hiyo wa tatu mfululizo itakuwaje sasa?

Kimsingi ni mtego mbaya sana wa kujiingiza mwenyewe. Hapo pia uombe MUNGU sasa awe na experience nzuri ya malezi ya watoto ama kama sivyo anaweza pata kichaa maana kudeal na watoto wadogo umri ukiwa mkubwa nayo inataka utulivu na ujuzi kuwalisha,kuwatrain,kuwafunza tabia,etc sio kazi ya dakika tano plus mtoto wako ni jukumu lako 100% bila kusaidiwa, bado maisha yanakusubiri, huku mume ambaye hamjuani maana m'mekutana mkiwa wakubwa umri umeenda so una struggle kubalance ndoa, familia, uchumi,malezi na afya yako ya akili na mwili. Hii ni kujipa kazi ambayo ungeanza mapema at 20s ungekuwa salama zaidi.

Kitu sipendi ni kumshauri mtu kinadharia bila kuzingatia uhalisia wa maisha yanakwendaje. Mwanamke suala na mahusiano na uzazi na ujenzi wa familia anatakiwa kulichulia serious kuliko kitu chochote hapa duniani maana lina limit ya muda na haliwezi kusubiria.

Shule unaweza soma hata ukiwa na 30 utaenda kusoma, ila ukifika 30 unakuwa na mitihani mingi sana kuanzisha familia kama mwanamke wa kawaida na kujenga mahusiano mazuri na mwanaume maana wanaume wengi utakaokutana nao huko ni reject au complicated.
Wingi unaanzia ngapi ewe debe tupu, kwa hiyo akiwa 30 hawezi kuzaa watoto wawili, watatu au hata wanne?
 
Ingawa sina hakika kama ni kweli au unafurahisha genge, Pole sana mkuu.
Ndoa ni ishara ya ushindi na mafanikio kwa Wanawake wengi Duniani hasa Barani Afrika, middle east na Asia. Hivyo, wakigusa 30 bila ndoa hujiona kuwa wameshindwa kufikia lengo muhimu na kuianguasha jamii yao hasa wazazi.
Uzoefu unaonyesha hakuna kanuni ya upi muda sahihi wa kuoa au kuolewa, wewe mwenywe ndio determinant ya lini ni muda sahihi kuolewa. Ila kuna muda sahihi wa kuzaa kwa mwanamke 24- 36. Ukizaa ukiwa mzee kuna hatari za kiafya kwa mtoto. Sayansi inaonyesh ukizaa ukiwa kwenye 20s kuna tija zaidi kwa mtoto.

Ila unapaswa kutambua facts zifuatazo ili uweze kujua namna ya kutoboa. Kwanza, mwanamke ana nafasi ndogo sana ya kuamua nani amuoe na lini. Fact nyingine ni kuwa kwa kadri umri unavyosonga ndivyo mvuto wa kimapenzi wa mwanamke unapungua na eventual rate ya watia nia sahihi nayo inapungua. Fact nyingine ni kuwa ukiwa mrembo na ukiwa na umri mdogo na ukiwa na uwezo mkubwa wa kumpa furaha mwanaume unakuwa na nafasi kubwa zaidi ya kuolewa mapena. Bahati mbaya warembo wengi Duniani huwa hawana uwezo wa kuwapa furaha wanaume kutokana na demnd yao kuwa kubwa. Fact nyingine unapaswa kuelewa kuwa wanaume regardless ya utajiri au level ya elimu huwa wanatafakari sana kabla ya kufanya maamuzi ya kuoa, wanawahofia sana wanawake. Wanaume wanataka mwanamke atakayempa heshima, furaha na amani. Ingawa siku hizi kuna wavulana ambao wao wanapenda zaidi physical materials kutoka kwa mwanamke. Mwisho wanaume wengi wenye akili na wanaojiamini huwa hawapendi mwanamke mwenye akili sana au mtafutaji sana kwa sababu wanaamini kuwa wao wanajimudu. Kujua Kudeka, kubembeleza, sauti na ufundi wa ngono ni silaha muhimu za ushindi.
Kwa umri ulio nao unaweza ukafanya yafuatayo:
Kuzaa bila kujari suala la kuolewa. Athari yake ni kuwa utapunguza zaidi fursa ya kuolewa na mwanaume wa maana na unaweza kumpa mtoto changamoto ya kimalezi na tabia. Wenzenu Ulaya, America na Asia uenda Baa na kujitegesha kwa walevi.
Oa, tafuta kijana anayetaka kulelewa muoe.
Boresha tabia, kuwa msafi (ng'aring'ari) ndani na nje muda wote, kuwa simple, usiwe much know kwa sana, safiri mara kwa mara, kata mawsiliano na EXs, take risk ukiombwa mzigo. Usiende kwenye game bila kuoga, kamwe.
Kamwe usimwambie mwanaume kuwa upo jamii forum na ukiwa na mwanaume punguza kuwa busy na simu.
Ukiwa kwenye dating ukakutana na mtu unayemfahamu msarimie then mpotezee focus kwa mwanaume wako.
Usiwe mtu wa kutoa options za hoteli au sehemu nzuri ya kutoka out. Ukipewa nafasi ya kuchagua mwambie sijui akikulazimisha, chagua kati ya maeneo ambayo amewahi kukupeleka.
Usiombe pesha, omba kitu

Ukiwa na mwanaume mweleze watu muhimu kwako na namna unavyo link nao. Likewise mbembeleze naye akwambie watu wake wa muhimu.
Mhaminishe mwanaume kuwa unatamani kumzalia wato, kamwe usimwombe akuoe.

Mwisho, hakuna kanuni kwenye kumpata mwenza, hivyo yote haya yanayosemwa ni kubahatisha tu.
Mungu akubariki upate itaji la moyo wako.
Maisha hayaa
 
Back
Top Bottom