Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Wakifika huo umri ndo wanajifanya wanajua kupenda, watakuganda kwelikweli.
 
Unatema nondo saana mkuu.
 
Hawa ni wadada kipindi cha usichana wanauliza umetoa wapi namba yangu, walipata wa kuwaoa wakawa hawajibu sms Extrovert
 
Umeongea point [emoji4][emoji106]
 

Kuwa kiongozi wa mtu ni kupewa heshima yako unayostahili pasipo mwanamke kujihisi yupo juu yako ndani ya ndoa ila kama unahisi mwanamke ni lazma ajidogoshe ili wewe ujione umemzidi kila kitu ili umuongoze unavyotaka. Bro hiyo ni insecurity binafsi na ni reflection ya kitu ambacho umekosa ndani yako kuliko yule unaetaka kumuongoza..

Ni kwa mentality hii hii inayowafanya watu wengi waepuke kuoa makabila ambayo wanawake wanakuzwa kuwa independent kama wachagga ama wahaya.

Mkuu si lazma mwanamke awe dependent kwako ili umuongoze kwa sababu mwanamke hata afikie height ipi ya mafanikio. Bado atabaki kuwa emotional being ambaye anategemea emotional support yako kama mwanaume lakini kupata ushauri na maamuzi logical.

hapa ni Ukitoa wale nimewazungumzia ambao hujawa kiburi baada ya mafanikio kidogo. Ila wapo wanawake wengi sana ambao wanajitegemea na wanaishi na waume zao fresh
 
Endelea kutema nondo mkuu, mimi nina ushuhuda wa hawa mabinti wanaojiona pisi kali wakipitia haya maisha unayosema hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…