Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha...au basi.....Nimekuelewa mkuu, thank you kiukweli am not that selective, binadamu tumeumbwa kwa mfano wa Mungu.
Na nilikuomba nikuoe ukagoma [emoji16][emoji16][emoji16]Habari ya weekend great thinkers?
Maisha yananipa experience tofauti, Sikuwahi kufikiria kama ningefika third floor bila kuwa na familia wala watoto, kuna muda nahisi kupanic nahofia watoto wasije kuniita bibi badala ya mama, au kukosa kabisa sababu ya umri mkubwa[emoji848]
Enzi hizo nilikua nashangaa mtu hasa mdada unafikaje hadi 30s huna familia, aisee kumbe ni kweli now ni mimi mwenyewe.
Mlioanza familia mkiwa 30s je ni kweli au mnaona dalili za watoto wenu kuwaita bibi au babu? Vipi changamoto za uzazi sababu ya umri mkubwa?[emoji17]
Nipo tayari kwa comments zote.
Happy valentine's day in advance [emoji122][emoji3059]
Sometimes kuna mambo yanatutokea kwasababu ya mambo tuliyoyafanya.Nimesoma comments zote za kufariji na zenye ukweli mchungu, nawashukuruni sana na naendelea kufatilia comments zote zingine zitakazoongezeka.
Kuna comments zinaumiza na kukatisha tamaa ila ndiyo dawa👏
Kwani financial services unataka mwanaume wa aina gani maana naona vijana wengi wanasema uliwatosa?Na nilikuomba nikuoe ukagoma [emoji16][emoji16][emoji16]
Unamaanisha ni kama mambo gani hasa yanaweza kupelekea hivo?ili na wengine wajifunze isije kuwatokea hii situationSometimes kuna mambo yanatutokea kwasababu ya mambo tuliyoyafanya.
Mwanamke ukifika 30s una nafasi ya kuolewa na mwanaume wa late 30s na kuendelea. Hawa wako wachache sana kwahio kama unajidai kuchaguq sana ujue una very limited choices. Wako wachache sana. Weka ego pembeni ukimpata mshikilie.Hawa wanawake wanaoolewa kwenye 30's huwa wanaolewa Na wanaume wa umri gani
Huzuni ya mtu naona kwako ni tabasamu, but ndiyo maisha huwezi lazimisha kila mtu ahuzunike sababu wewe unahuzunika.Ha ha ha...au basi.....
Mbeijing katika ubora wako.Na kwanini ionekane kama jamii kuharibika ni makosa ya wanawake na si matatizo ya wanaume kushindwa kuendana na hali halisi ya ulimwengu wa sasa, sikia bro hizo enzi za bibi zetu zilishapita na hakuna mwanamke ambaye atakuwa tayari kurudi huko hata dunia ibadili mzunguko wake, na nadhani hali halisi ya tunakoelekea umeshaanza kuiona wanawake wengi siku hizi hawajali tena kuhusu mitazamo ya jamii wanajali furaha yao kwanza
Kadiri mnavyozidi kuwatandika viboko ndivyo nao wanavyozidi kutafuta namna ya kuwa masugu ili visiwaumize na siyo kutafuta namna ya kuvikwepa, and trust me ikifikia hiyo hatua wanawake wote wakawa masugu basi wanaume mtashuhudia the worst era tangu dunia iumbwe, wanawake wameshachoka wao kutakiwa kusacrifice furaha yao kila siku kwa ajili ya wanaume kama mnaona ni rahisi anzeni ninyi kusacrifice furaha yenu halafu mje hapa tuongee lugha moja
So kilichobaki hapa ni either ninyi wenyewe wanaume ndio muanze kubadilika mkubali kucompromise au muendelee kulalamika hadi mwisho wa dahari, lakini wanawake hawatakubali tena kuendelea kuburuzwa na kuwa watumwa in the name of maadili sijui ustawi wa jamii hilo ni jukumu la jinsia zote, kama ninyi ndio mnaumizwa sana na uharibifu wa jamii basi tunategemea ninyi ndio muanze kubadilika siyo tena mzigo wote muwasukumizie wanawake tu
Ishu sio uzuri dada yangu ishu ni thamani yako. Unaweza ukajiongezea thamani kwa kujifunza vitu vipya. Na kujipambania utoboe.Nimesoma comments zote za kufariji na zenye ukweli mchungu, nawashukuruni sana na naendelea kufatilia comments zote zingine zitakazoongezeka.
Kuna comments zinaumiza na kukatisha tamaa ila ndiyo dawa👏
Aisee kume 30s ni third floor 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 aisee sasa tufanyeje tusio kuwa na mke wala mtoto
Kwa hii situation kila mtu ataongea la kwake hata kama si kwa kumaanisha, so it's ok 👏Kwani financial services unataka mwanaume wa aina gani maana naona vijana wengi wanasema uliwatosa?
Ahsante sana mkuuIshu sio uzuri dada yangu ishu ni thamani yako. Unaweza ukajiongezea thamani kwa kujifunza vitu vipya. Na kujipambania utoboe.
Hujajibu swali langu.Kwa hii situation kila mtu ataongea la kwake hata kama si kwa kumaanisha, so it's ok 👏
Hapo sicheki nalia. Uzi wako umenigusa sana na kuna comments ndio zimenipa huzuni kabisa.Huzuni ya mtu naona kwako ni tabasamu, but ndiyo maisha huwezi lazimisha kila mtu ahuzunike sababu wewe unahuzunika.
Are you sure? Au umeamua tu kunikandia zaidi sababu ya huu uzi?Na nilikuomba nikuoe ukagoma [emoji16][emoji16][emoji16]
hii kauli hii😀🙄Factor ya uchumi haijawahi kuwa kikwazo kwangu as long as tunapendana, pesa zinatafutwa tu. Kuna watu walianza zero pamoja now wako somewhere.