Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

wekeza kwenye oniline dating uko mbona wezenu wakenya wamechangamka sana Tatizo wanawake wa Ki Tanzania mnajiona mna akili sana na wazuri sana afu wengi wenu ni wajinga tu kuna yule dada anajita oniline dating assitance anawafundisha sana wanawake wa kibongo namna yakupata majunga ya kizungu jaribu kumtafta kwa umri wako huo kwa mzungu wew bado ni Binti mdogo sana hili liDunia ni likubwa sana bwana Maisha sio Tanzania tu.
 
Ni changamoto bila kupepesa macho, raha ya mtoto umlee bado una nguvu zako
 
Na nilikuomba nikuoe ukagoma [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hawa wanawake wanaoolewa kwenye 30's huwa wanaolewa Na wanaume wa umri gani
Mwanamke ukifika 30s una nafasi ya kuolewa na mwanaume wa late 30s na kuendelea. Hawa wako wachache sana kwahio kama unajidai kuchaguq sana ujue una very limited choices. Wako wachache sana. Weka ego pembeni ukimpata mshikilie.
 
Mbeijing katika ubora wako.
 
Nimesoma comments zote za kufariji na zenye ukweli mchungu, nawashukuruni sana na naendelea kufatilia comments zote zingine zitakazoongezeka.
Kuna comments zinaumiza na kukatisha tamaa ila ndiyo dawaπŸ‘
Ishu sio uzuri dada yangu ishu ni thamani yako. Unaweza ukajiongezea thamani kwa kujifunza vitu vipya. Na kujipambania utoboe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…