atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Sasa solutions ni nin?Dunia ina mambo mengi na changamoto nyingi sana.
Kuna watu kutokuwa na mtoto au kuchelewa kupata mtoto haitokani na maamuzi yake, kuna nguvu ya tofauti inayolizuia/kuchelewesha hilo kuwezekana ukiachana na wale ambao wana changamoto za afya ya uzazi.
Sitaki niende kwenye hili sana kwa kuwa siwezi kulielezea vyema Donatila utanisaidia ufafanuzi mzuri.
Ni hivi kuna watu wamefungwa kupata wenza na watoto, wapo watu wana sifa zote nzuri lakini likija suala la kupata mwenza wa kudumu nae au kupata watoto ni mtihani mgumu. Na hii hali inawatesa wengi sana bila kujua.
Hupagawi na trend au sio😀🤣Mbona mie nina 43 na sina mke wala mtoto na wala sipagawi naona maisha murwa
Kumaanisha mzabzab ni kyande au😀🤣NB: Nimesema Mwanaume aliye timamu
Ni kweli mkuu wanaohitaji kujifunza kitu na kurekebisha makosa, basi wapite humuHumu kuna madini sana
Pia umejoin humu 2024 lini nilikupuuza?[emoji25]
Kaongo uko 20s ndiyo maana huhangaiki😀Mbona mie nina 43 na sina mke wala mtoto na wala sipagawi naona maisha murwa
Niache bana nipo nakula za uso kwenye comments nawewe unaanza kunivunja mbavu😀😀Dah Ume nizidi 😀😀,
View attachment 2901260
Plan ni kuwa na watoto 4 mkuu😪30's mdada huna mtoto binafsi nawaona mko katika risk sana.
Huna Mpenzi hilo its okay,Umeshindwa jipambania ukapata mtoto? Taa nyekundu iwake kichwani mwako.
Ugumba/Utasa vipo wala sio hadithi za kusimulika. Ila make sure unapata myu sahihi wa kukupa Mtoto.
Acheni kuwaza kuhusu Mapenzi sana,kuna muda ufike muwaze kuhusu familia na familia sio Mume tu Familia ni Wewe na Mwanao/wanao.
Mume anaweza kukuacha anytime ila mtoto ndio familia yako,shida mnawazaga sana kuhus Mume, na bado mnachagua sana na mnaishia kupata macheck bob wanawaumiza na no mimba. Badilikeni.
30's usi relax upo hatarini labda kama Plan zako ni kuwa na mtoto Mmoja its Okay.
ila kama ni zaidi ya mmoja 30's alarm ishaanza kulia ...
Uta nichosha 😀🤣🤣, wote hao 🙄Plan ni kuwa na watoto 4 mkuu😪
Vigezo ni upumuaji tu, gazeti la jioni halina vigezo mkuu.Haya Mkuu financial services tumalizie na vigezo vya huyo baba mtarajiwa.
Nimeupenda huu msako ulivyouleta, hongera.
Basi Waambie the job is all ready done, sumbawanga hiyo Ina niita😀🤣 financial servicesNiache bana nipo nakula za uso kwenye comments nawewe unaanza kunivunja mbavu😀😀
Mmh CPA bac wanaume wanakuogopa..Wew si ni Cipiiaii?
Inamaana utongozwi?Vigezo ni upumuaji tu, gazeti la jioni halina vigezo mkuu.
Umefurahi sasa, mimi sijasema ni msako bana just kushare experience and ofcourse kufarijiana tu.
Usikute wewe ni wa 6 kwenye familia ya mzee wako[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Uta nichosha [emoji3][emoji1787][emoji1787], wote hao [emoji849]
View attachment 2901267
Sina CPA bana, elimu ni form 4Mmh CPA bac wanaume wanakuogopa..