Mama paradigm
JF-Expert Member
- Apr 17, 2010
- 372
- 755
Mwanaume timamu akifika 30 tu bila mtoto akili inamcheza labda useme kupagawa kunatofautiana mwanamke anapagawa sana ila hakuna binadamu ambae akili haimcheziHivi kwanini Mwanamke akifika miaka 25+ kama hana Mtoto wala Mume anachanganyikiwa alafu Mwanaume anaweza kua na 32+ hana Mtoto wala Mke alafu fresh tu hata hapagawi???
Jicheki kwa kioo, unajionajeHabari ya weekend great thinkers?
Maisha yananipa experience tofauti, Sikuwahi kufikiria kama ningefika third floor bila kuwa na familia wala watoto, kuna muda nahisi kupanic nahofia watoto wasije kuniita bibi badala ya mama, au kukosa kabisa sababu ya umri mkubwa🤔
Enzi hizo nilikua nashangaa mtu hasa mdada unafikaje hadi 30s huna familia, aisee kumbe ni kweli now ni mimi mwenyewe.
Mlioanza familia mkiwa 30s je ni kweli au mnaona dalili za watoto wenu kuwaita bibi au babu? Vipi changamoto za uzazi sababu ya umri mkubwa?😔
Nipo tayari kwa comments zote.
Happy valentine's day in advance 👏🥰
Unapagawa nn mwanaume?!Hivi kwanini Mwanamke akifika miaka 25+ kama hana Mtoto wala Mume anachanganyikiwa alafu Mwanaume anaweza kua na 32+ hana Mtoto wala Mke alafu fresh tu hata hapagawi???
You really have a calling in broken English. CongratulationsI like to think I see thing to the people
Real fake
Congratulations brother.... You really have a calling in BROKEN EnglishSpeaking from personal experience..
When approaching 30s kweli pressure ilikua just sana. And I always had a vow kua nkifika 30 I'm gon have a family regardless of my financial status.
By 29, hakuna ramani ilikua inasoma. I told my girlfriend, darling, we need to have a baby,. Akashangaa. Nkamwambia, life ni tight, yes sina life poa sana but sasa hv ndo nina nguvu
Alikataa, baadae around 31 huko akakubali, kimbembe kikaja hakukua na mimba. Tried a whole year b4 bein succesful.
to be honest, with time you get used to it, but mtoto anakupa changamoto ya kupambana zaidi. Every day I wake up at 5 a.m and my little girl anakua macho pia, we have our moments n I leave kwenda kwenye harakati. Its a good feeling wouldn't trade it for nufn.
So financial services, don't sweat it. Cha muhim upate the right person, ul never feel like you are late, it will be a start to the best chapter of your life
Sasa si unyooshe maelezo mshirika?Habari ya weekend great thinkers?
Maisha yananipa experience tofauti, Sikuwahi kufikiria kama ningefika third floor bila kuwa na familia wala watoto, kuna muda nahisi kupanic nahofia watoto wasije kuniita bibi badala ya mama, au kukosa kabisa sababu ya umri mkubwa🤔
Enzi hizo nilikua nashangaa mtu hasa mdada unafikaje hadi 30s huna familia, aisee kumbe ni kweli now ni mimi mwenyewe.
Mlioanza familia mkiwa 30s je ni kweli au mnaona dalili za watoto wenu kuwaita bibi au babu? Vipi changamoto za uzazi sababu ya umri mkubwa?😔
Nipo tayari kwa comments zote.
Happy valentine's day in advance 👏🥰
Umetema madini matupu... kwa mfano mimi ni kijana mdogo wa miaka 38 ndo nataka nioe kigoli wa miaka 22.Kuna kitu nahitaji kuwafunza mabinti ambao hawajafika 30.
Ukipata mpenzi ukamuona anakupenda kwa dhati, yupo tayari kukutambulisha kwa ndugu zake na kwa familia yake.
Yamkini asiwe na kipato kikubwa sana ila ana uwezo wa kufanya wote mle na mkalala, ISHI HAPO.
Acha tamaa za kutaka uolewe na mwanaume mwenye pesa, muimbaji n.k mwisho mtakuja kuangukia kwa wanaume za watu, huyo mwanaume wa mtu unayemuona ana pesa, hazijaja tu hivi hivi, alianza chini kabisa kama huyo kijana ambae kwa sasa wewe unamdharau.
Kama umewahi kumnyanyasa kijana wa watu kisa masikini, yeye sijui hana umbo zuri n.k moyo wake ukaumia, katafute suluhu naye sababu huenda kuna mambo yako yakafunguka.
Mabinti sio kwamba mnakosa watu wa kuwaoa ila tamaa za maisha zimekuwa zikiwatesa wengi.
Sasa hivi kijana wa 30, 31, 32 hawezi kuwa na mwanamke wa 30, lazima atafute wa 24, 25 au 26 unless awe mpumbavu.
Girls kuweni makini sana na umri, uliowatupa kisa hawana ela, wakipata ela na wao watakuona wewe sio hadhi yao.
sasa kama wewe ni kijana mdogo wa miaka 38 mimi wa miaka 20 nijiitaje?Umetema madini matupu... kwa mfano mimi ni kijana mdogo wa miaka 38 ndo nataka nioe kigoli wa miaka 22.
KutokujiaminiHivi kwanini Mwanamke akifika miaka 25+ kama hana Mtoto wala Mume anachanganyikiwa alafu Mwanaume anaweza kua na 32+ hana Mtoto wala Mke alafu fresh tu hata hapagawi???
Mi ninao Washkaji zangu wana 30+ hawana Mtoto wala Mke na fresh tu, sidhani kama wote wale hawana Akili timamuMwanaume timamu akifika 30 tu bila mtoto akili inamcheza labda useme kupagawa kunatofautiana mwanamke anapagawa sana ila hakuna binadamu ambae akili haimchezi
Hapo tupo pamojaKutokujiamini
Wee... Jamaa wewe🤠🤠🤠Unapagawa nn mwanaume?!
Mwansume hata 40 poa tu unaezaoa wa la7Hivi kwanini Mwanamke akifika miaka 25+ kama hana Mtoto wala Mume anachanganyikiwa alafu Mwanaume anaweza kua na 32+ hana Mtoto wala Mke alafu fresh tu hata hapagawi???
Acha umalaya.Habari ya weekend great thinkers?
Maisha yananipa experience tofauti, Sikuwahi kufikiria kama ningefika third floor bila kuwa na familia wala watoto, kuna muda nahisi kupanic nahofia watoto wasije kuniita bibi badala ya mama, au kukosa kabisa sababu ya umri mkubwa🤔
Enzi hizo nilikua nashangaa mtu hasa mdada unafikaje hadi 30s huna familia, aisee kumbe ni kweli now ni mimi mwenyewe.
Mlioanza familia mkiwa 30s je ni kweli au mnaona dalili za watoto wenu kuwaita bibi au babu? Vipi changamoto za uzazi sababu ya umri mkubwa?😔
Nipo tayari kwa comments zote.
Happy valentine's day in advance 👏🥰
Upo sahihi,mwanamke Ni mwanamke tu hata kama kasoma elimu zote za Duniani bado anabaki kuwa dhaifu Kwa mwanaume yeyote aliyekamili.Hawaogopwi wanapuuzwa,wangeogopwa wangekuwa wanavuliwa chupi na hata mabodaboda ?
Fminism ndiyo inayowaharibia hakuna kingine!
Wewe ni mtotosasa kama wewe mi kijana mdogo wa miaka 38 mimi wa miaka 20 nijiitaje?