Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Ingawa sina hakika kama ni kweli au unafurahisha genge, Pole sana mkuu.
Ndoa ni ishara ya ushindi na mafanikio kwa Wanawake wengi Duniani hasa Barani Afrika, middle east na Asia. Hivyo, wakigusa 30 bila ndoa hujiona kuwa wameshindwa kufikia lengo muhimu na kuianguasha jamii yao hasa wazazi.
Uzoefu unaonyesha hakuna kanuni ya upi muda sahihi wa kuoa au kuolewa, wewe mwenywe ndio determinant ya lini ni muda sahihi kuolewa. Ila kuna muda sahihi wa kuzaa kwa mwanamke 24- 36. Ukizaa ukiwa mzee kuna hatari za kiafya kwa mtoto. Sayansi inaonyesh ukizaa ukiwa kwenye 20s kuna tija zaidi kwa mtoto.

Ila unapaswa kutambua facts zifuatazo ili uweze kujua namna ya kutoboa. Kwanza, mwanamke ana nafasi ndogo sana ya kuamua nani amuoe na lini. Fact nyingine ni kuwa kwa kadri umri unavyosonga ndivyo mvuto wa kimapenzi wa mwanamke unapungua na eventual rate ya watia nia sahihi nayo inapungua. Fact nyingine ni kuwa ukiwa mrembo na ukiwa na umri mdogo na ukiwa na uwezo mkubwa wa kumpa furaha mwanaume unakuwa na nafasi kubwa zaidi ya kuolewa mapena. Bahati mbaya warembo wengi Duniani huwa hawana uwezo wa kuwapa furaha wanaume kutokana na demnd yao kuwa kubwa. Fact nyingine unapaswa kuelewa kuwa wanaume regardless ya utajiri au level ya elimu huwa wanatafakari sana kabla ya kufanya maamuzi ya kuoa, wanawahofia sana wanawake. Wanaume wanataka mwanamke atakayempa heshima, furaha na amani. Ingawa siku hizi kuna wavulana ambao wao wanapenda zaidi physical materials kutoka kwa mwanamke. Mwisho wanaume wengi wenye akili na wanaojiamini huwa hawapendi mwanamke mwenye akili sana au mtafutaji sana kwa sababu wanaamini kuwa wao wanajimudu. Kujua Kudeka, kubembeleza, sauti na ufundi wa ngono ni silaha muhimu za ushindi.
Kwa umri ulio nao unaweza ukafanya yafuatayo:
Kuzaa bila kujari suala la kuolewa. Athari yake ni kuwa utapunguza zaidi fursa ya kuolewa na mwanaume wa maana na unaweza kumpa mtoto changamoto ya kimalezi na tabia. Wenzenu Ulaya, America na Asia uenda Baa na kujitegesha kwa walevi.
Oa, tafuta kijana anayetaka kulelewa muoe.
Boresha tabia, kuwa msafi (ng'aring'ari) ndani na nje muda wote, kuwa simple, usiwe much know kwa sana, safiri mara kwa mara, kata mawsiliano na EXs, take risk ukiombwa mzigo. Usiende kwenye game bila kuoga, kamwe.
Kamwe usimwambie mwanaume kuwa upo jamii forum na ukiwa na mwanaume punguza kuwa busy na simu.
Ukiwa kwenye dating ukakutana na mtu unayemfahamu msarimie then mpotezee focus kwa mwanaume wako.
Usiwe mtu wa kutoa options za hoteli au sehemu nzuri ya kutoka out. Ukipewa nafasi ya kuchagua mwambie sijui akikulazimisha, chagua kati ya maeneo ambayo amewahi kukupeleka.
Usiombe pesha, omba kitu

Ukiwa na mwanaume mweleze watu muhimu kwako na namna unavyo link nao. Likewise mbembeleze naye akwambie watu wake wa muhimu.
Mhaminishe mwanaume kuwa unatamani kumzalia wato, kamwe usimwombe akuoe.

Mwisho, hakuna kanuni kwenye kumpata mwenza, hivyo yote haya yanayosemwa ni kubahatisha tu.
Mungu akubariki upate itaji la moyo wako.
Comment Bora sana brother, hongera sana una upeo mkubwa sana.
 
Habari ya weekend great thinkers?

Maisha yananipa experience tofauti, Sikuwahi kufikiria kama ningefika third floor bila kuwa na familia wala watoto, kuna muda nahisi kupanic nahofia watoto wasije kuniita bibi badala ya mama, au kukosa kabisa sababu ya umri mkubwa🤔

Enzi hizo nilikua nashangaa mtu hasa mdada unafikaje hadi 30s huna familia, aisee kumbe ni kweli now ni mimi mwenyewe.

Mlioanza familia mkiwa 30s je ni kweli au mnaona dalili za watoto wenu kuwaita bibi au babu? Vipi changamoto za uzazi sababu ya umri mkubwa?😔

Nipo tayari kwa comments zote.

Happy valentine's day in advance 👏🥰
Mimi nipo kama wewe, 31 muda si mrefu sina mtoto na hata mchumba wa kuoa sina, kuna muda kichwa kinawaka moto ile mbaya ila ninasema bikra kuchelewa kuliko kuwahi maana ninayo yaona kwenye ndoa zao wengine moyo wangu hubaki na masononeko ila nina tamani sana kuwa na mtoto, yaani mnoooo ila suala la kuoa bado halija nikaa kichwani vizuri ila suala la mtoto ndiyo lipo kichwani sanaa nisije itwa babu badala ya Baba ha ha ha ha . Nina amini nitampata mtu sahihi wa kunipa mtoto na yule wa kumuoa.
Kwahiyo na wewe usijipe presha kupitiliza
 
Ingawa sina hakika kama ni kweli au unafurahisha genge, Pole sana mkuu.
Ndoa ni ishara ya ushindi na mafanikio kwa Wanawake wengi Duniani hasa Barani Afrika, middle east na Asia. Hivyo, wakigusa 30 bila ndoa hujiona kuwa wameshindwa kufikia lengo muhimu na kuianguasha jamii yao hasa wazazi.
Uzoefu unaonyesha hakuna kanuni ya upi muda sahihi wa kuoa au kuolewa, wewe mwenywe ndio determinant ya lini ni muda sahihi kuolewa. Ila kuna muda sahihi wa kuzaa kwa mwanamke 24- 36. Ukizaa ukiwa mzee kuna hatari za kiafya kwa mtoto. Sayansi inaonyesh ukizaa ukiwa kwenye 20s kuna tija zaidi kwa mtoto.

Ila unapaswa kutambua facts zifuatazo ili uweze kujua namna ya kutoboa. Kwanza, mwanamke ana nafasi ndogo sana ya kuamua nani amuoe na lini. Fact nyingine ni kuwa kwa kadri umri unavyosonga ndivyo mvuto wa kimapenzi wa mwanamke unapungua na eventual rate ya watia nia sahihi nayo inapungua. Fact nyingine ni kuwa ukiwa mrembo na ukiwa na umri mdogo na ukiwa na uwezo mkubwa wa kumpa furaha mwanaume unakuwa na nafasi kubwa zaidi ya kuolewa mapena. Bahati mbaya warembo wengi Duniani huwa hawana uwezo wa kuwapa furaha wanaume kutokana na demnd yao kuwa kubwa. Fact nyingine unapaswa kuelewa kuwa wanaume regardless ya utajiri au level ya elimu huwa wanatafakari sana kabla ya kufanya maamuzi ya kuoa, wanawahofia sana wanawake. Wanaume wanataka mwanamke atakayempa heshima, furaha na amani. Ingawa siku hizi kuna wavulana ambao wao wanapenda zaidi physical materials kutoka kwa mwanamke. Mwisho wanaume wengi wenye akili na wanaojiamini huwa hawapendi mwanamke mwenye akili sana au mtafutaji sana kwa sababu wanaamini kuwa wao wanajimudu. Kujua Kudeka, kubembeleza, sauti na ufundi wa ngono ni silaha muhimu za ushindi.
Kwa umri ulio nao unaweza ukafanya yafuatayo:
Kuzaa bila kujari suala la kuolewa. Athari yake ni kuwa utapunguza zaidi fursa ya kuolewa na mwanaume wa maana na unaweza kumpa mtoto changamoto ya kimalezi na tabia. Wenzenu Ulaya, America na Asia uenda Baa na kujitegesha kwa walevi.
Oa, tafuta kijana anayetaka kulelewa muoe.
Boresha tabia, kuwa msafi (ng'aring'ari) ndani na nje muda wote, kuwa simple, usiwe much know kwa sana, safiri mara kwa mara, kata mawsiliano na EXs, take risk ukiombwa mzigo. Usiende kwenye game bila kuoga, kamwe.
Kamwe usimwambie mwanaume kuwa upo jamii forum na ukiwa na mwanaume punguza kuwa busy na simu.
Ukiwa kwenye dating ukakutana na mtu unayemfahamu msarimie then mpotezee focus kwa mwanaume wako.
Usiwe mtu wa kutoa options za hoteli au sehemu nzuri ya kutoka out. Ukipewa nafasi ya kuchagua mwambie sijui akikulazimisha, chagua kati ya maeneo ambayo amewahi kukupeleka.
Usiombe pesha, omba kitu

Ukiwa na mwanaume mweleze watu muhimu kwako na namna unavyo link nao. Likewise mbembeleze naye akwambie watu wake wa muhimu.
Mhaminishe mwanaume kuwa unatamani kumzalia wato, kamwe usimwombe akuoe.

Mwisho, hakuna kanuni kwenye kumpata mwenza, hivyo yote haya yanayosemwa ni kubahatisha tu.
Mungu akubariki upate itaji la moyo wako.
Mkuu umenena vyema... Lakini how Jamii forums 🤔🤔
 
Ingawa sina hakika kama ni kweli au unafurahisha genge, Pole sana mkuu.
Ndoa ni ishara ya ushindi na mafanikio kwa Wanawake wengi Duniani hasa Barani Afrika, middle east na Asia. Hivyo, wakigusa 30 bila ndoa hujiona kuwa wameshindwa kufikia lengo muhimu na kuianguasha jamii yao hasa wazazi.
Uzoefu unaonyesha hakuna kanuni ya upi muda sahihi wa kuoa au kuolewa, wewe mwenywe ndio determinant ya lini ni muda sahihi kuolewa. Ila kuna muda sahihi wa kuzaa kwa mwanamke 24- 36. Ukizaa ukiwa mzee kuna hatari za kiafya kwa mtoto. Sayansi inaonyesh ukizaa ukiwa kwenye 20s kuna tija zaidi kwa mtoto.

Ila unapaswa kutambua facts zifuatazo ili uweze kujua namna ya kutoboa. Kwanza, mwanamke ana nafasi ndogo sana ya kuamua nani amuoe na lini. Fact nyingine ni kuwa kwa kadri umri unavyosonga ndivyo mvuto wa kimapenzi wa mwanamke unapungua na eventual rate ya watia nia sahihi nayo inapungua. Fact nyingine ni kuwa ukiwa mrembo na ukiwa na umri mdogo na ukiwa na uwezo mkubwa wa kumpa furaha mwanaume unakuwa na nafasi kubwa zaidi ya kuolewa mapena. Bahati mbaya warembo wengi Duniani huwa hawana uwezo wa kuwapa furaha wanaume kutokana na demnd yao kuwa kubwa. Fact nyingine unapaswa kuelewa kuwa wanaume regardless ya utajiri au level ya elimu huwa wanatafakari sana kabla ya kufanya maamuzi ya kuoa, wanawahofia sana wanawake. Wanaume wanataka mwanamke atakayempa heshima, furaha na amani. Ingawa siku hizi kuna wavulana ambao wao wanapenda zaidi physical materials kutoka kwa mwanamke. Mwisho wanaume wengi wenye akili na wanaojiamini huwa hawapendi mwanamke mwenye akili sana au mtafutaji sana kwa sababu wanaamini kuwa wao wanajimudu. Kujua Kudeka, kubembeleza, sauti na ufundi wa ngono ni silaha muhimu za ushindi.
Kwa umri ulio nao unaweza ukafanya yafuatayo:
Kuzaa bila kujari suala la kuolewa. Athari yake ni kuwa utapunguza zaidi fursa ya kuolewa na mwanaume wa maana na unaweza kumpa mtoto changamoto ya kimalezi na tabia. Wenzenu Ulaya, America na Asia uenda Baa na kujitegesha kwa walevi.
Oa, tafuta kijana anayetaka kulelewa muoe.
Boresha tabia, kuwa msafi (ng'aring'ari) ndani na nje muda wote, kuwa simple, usiwe much know kwa sana, safiri mara kwa mara, kata mawsiliano na EXs, take risk ukiombwa mzigo. Usiende kwenye game bila kuoga, kamwe.
Kamwe usimwambie mwanaume kuwa upo jamii forum na ukiwa na mwanaume punguza kuwa busy na simu.
Ukiwa kwenye dating ukakutana na mtu unayemfahamu msarimie then mpotezee focus kwa mwanaume wako.
Usiwe mtu wa kutoa options za hoteli au sehemu nzuri ya kutoka out. Ukipewa nafasi ya kuchagua mwambie sijui akikulazimisha, chagua kati ya maeneo ambayo amewahi kukupeleka.
Usiombe pesha, omba kitu

Ukiwa na mwanaume mweleze watu muhimu kwako na namna unavyo link nao. Likewise mbembeleze naye akwambie watu wake wa muhimu.
Mhaminishe mwanaume kuwa unatamani kumzalia wato, kamwe usimwombe akuoe.

Mwisho, hakuna kanuni kwenye kumpata mwenza, hivyo yote haya yanayosemwa ni kubahatisha tu.
Mungu akubariki upate itaji la moyo wako.
Well said mkuu. Hii mada imebeba ujumbe mkubwa sana kuna vya muhimu vya kujifunza hapa.
 
Familia inaanza na wawili mkiwa wapenzi kabla ya kuingia uchumba na mwishowe mke na mume ambapo Mungu akijalia watoto nao watazaliwa. Ila siku hizi vijana wa kiume wengi wanakataa ndoa na wengine wanakwepa majukumu yao ya kuwa na familia ambapo inawafanya vijana wa kike kukosa wachumba na mara nyingi wanaishia kuzalishwa tu na kubaki kuwa single mother. Pia ugumu wa maisha umepoteza hamu ya kuingia kwenye ndoa kwa vijana wengi hasa wa kiume ambayo inawaathiri wanawake kukosa wanaume wa kuoa.
 
Dunia ina mambo mengi na changamoto nyingi sana.

Kuna watu kutokuwa na mtoto au kuchelewa kupata mtoto haitokani na maamuzi yake, kuna nguvu ya tofauti inayolizuia/kuchelewesha hilo kuwezekana ukiachana na wale ambao wana changamoto za afya ya uzazi.

Sitaki niende kwenye hili sana kwa kuwa siwezi kulielezea vyema Donatila utanisaidia ufafanuzi mzuri.

Ni hivi kuna watu wamefungwa kupata wenza na watoto, wapo watu wana sifa zote nzuri lakini likija suala la kupata mwenza wa kudumu nae au kupata watoto ni mtihani mgumu. Na hii hali inawatesa wengi sana bila kujua.
 
Mada muhimu sana, hasa kwa wanaohitaji familia na watoto. Kwa personal experience, ukifika 30s lazima kengele ilie kichwani, lazima uhisi kuchelewa, tena ikiwa hujapata mtu 'sahihi' ndio msongo unaongezeka.

Kupata watoto kwenye mid 20s na early 30s ni vizuri zaidi kuliko mid 30s na early 40s, kupanga ni juu yetu lakini nature ndio inatuongoza, huna jinsi.

Muhimu, usiwe too desperate, tulia tafuta mtu sahihi (sio ili mradi), then halalisha maisha yaende, ukiwa too picky pia sio sawa.
 
Ingawa sina hakika kama ni kweli au unafurahisha genge, Pole sana mkuu.
Ndoa ni ishara ya ushindi na mafanikio kwa Wanawake wengi Duniani hasa Barani Afrika, middle east na Asia. Hivyo, wakigusa 30 bila ndoa hujiona kuwa wameshindwa kufikia lengo muhimu na kuianguasha jamii yao hasa wazazi.
Uzoefu unaonyesha hakuna kanuni ya upi muda sahihi wa kuoa au kuolewa, wewe mwenywe ndio determinant ya lini ni muda sahihi kuolewa. Ila kuna muda sahihi wa kuzaa kwa mwanamke 24- 36. Ukizaa ukiwa mzee kuna hatari za kiafya kwa mtoto. Sayansi inaonyesh ukizaa ukiwa kwenye 20s kuna tija zaidi kwa mtoto.

Ila unapaswa kutambua facts zifuatazo ili uweze kujua namna ya kutoboa. Kwanza, mwanamke ana nafasi ndogo sana ya kuamua nani amuoe na lini. Fact nyingine ni kuwa kwa kadri umri unavyosonga ndivyo mvuto wa kimapenzi wa mwanamke unapungua na eventual rate ya watia nia sahihi nayo inapungua. Fact nyingine ni kuwa ukiwa mrembo na ukiwa na umri mdogo na ukiwa na uwezo mkubwa wa kumpa furaha mwanaume unakuwa na nafasi kubwa zaidi ya kuolewa mapena. Bahati mbaya warembo wengi Duniani huwa hawana uwezo wa kuwapa furaha wanaume kutokana na demnd yao kuwa kubwa. Fact nyingine unapaswa kuelewa kuwa wanaume regardless ya utajiri au level ya elimu huwa wanatafakari sana kabla ya kufanya maamuzi ya kuoa, wanawahofia sana wanawake. Wanaume wanataka mwanamke atakayempa heshima, furaha na amani. Ingawa siku hizi kuna wavulana ambao wao wanapenda zaidi physical materials kutoka kwa mwanamke. Mwisho wanaume wengi wenye akili na wanaojiamini huwa hawapendi mwanamke mwenye akili sana au mtafutaji sana kwa sababu wanaamini kuwa wao wanajimudu. Kujua Kudeka, kubembeleza, sauti na ufundi wa ngono ni silaha muhimu za ushindi.
Kwa umri ulio nao unaweza ukafanya yafuatayo:
Kuzaa bila kujari suala la kuolewa. Athari yake ni kuwa utapunguza zaidi fursa ya kuolewa na mwanaume wa maana na unaweza kumpa mtoto changamoto ya kimalezi na tabia. Wenzenu Ulaya, America na Asia uenda Baa na kujitegesha kwa walevi.
Oa, tafuta kijana anayetaka kulelewa muoe.
Boresha tabia, kuwa msafi (ng'aring'ari) ndani na nje muda wote, kuwa simple, usiwe much know kwa sana, safiri mara kwa mara, kata mawsiliano na EXs, take risk ukiombwa mzigo. Usiende kwenye game bila kuoga, kamwe.
Kamwe usimwambie mwanaume kuwa upo jamii forum na ukiwa na mwanaume punguza kuwa busy na simu.
Ukiwa kwenye dating ukakutana na mtu unayemfahamu msarimie then mpotezee focus kwa mwanaume wako.
Usiwe mtu wa kutoa options za hoteli au sehemu nzuri ya kutoka out. Ukipewa nafasi ya kuchagua mwambie sijui akikulazimisha, chagua kati ya maeneo ambayo amewahi kukupeleka.
Usiombe pesha, omba kitu

Ukiwa na mwanaume mweleze watu muhimu kwako na namna unavyo link nao. Likewise mbembeleze naye akwambie watu wake wa muhimu.
Mhaminishe mwanaume kuwa unatamani kumzalia wato, kamwe usimwombe akuoe.

Mwisho, hakuna kanuni kwenye kumpata mwenza, hivyo yote haya yanayosemwa ni kubahatisha tu.
Mungu akubariki upate itaji la moyo wako.
Thread closed

[emoji3590][emoji3590]
 
Maisha yananipa experience tofauti, Sikuwahi kufikiria kama ningefika third floor bila kuwa na familia wala watoto, kuna muda nahisi kupanic nahofia watoto wasije kuniita bibi badala ya mama, au kukosa kabisa sababu ya umri mkubwa🤔

Usije ukaamua kuwa singo maza tu kwa sababu ya hiyo panic...

Nina cousins zangu wa kike, wanalea watoto tu sasa wasio na address kwa sababu ya pressure hizi za sijui umri kwenda, malengo kutotimia etc...

Ikumbukwe tu kuwa, waoaji nao wamepungua wakati idadi ya wanawake nayo ni kubwa, hivyo soko halipo kwenye uwiano sawa...
 
Mimi nipo kama wewe, 31 muda si mrefu sina mtoto na hata mchumba wa kuoa sina, kuna muda kichwa kinawaka moto ile mbaya ila ninasema bikra kuchelewa kuliko kuwahi maana ninayo yaona kwenye ndoa zao wengine moyo wangu hubaki na masononeko ila nina tamani sana kuwa na mtoto, yaani mnoooo ila suala la kuoa bado halija nikaa kichwani vizuri ila suala la mtoto ndiyo lipo kichwani sanaa nisije itwa babu badala ya Baba ha ha ha ha . Nina amini nitampata mtu sahihi wa kunipa mtoto na yule wa kumuoa.
Kwahiyo na wewe usijipe presha kupitiliza
Na mimi bado dakika kadhaa niiguse 30, sina ndoa, sina mtoto, sina demu wa maana huu mwaka nimedhamiria kumzalisha mtu aisee maana sio poa....
 
Mkuu umenena vyema... Lakini how Jamii forums 🤔🤔
Mwanamke anayetumia JF, maanayake ni mwanamke mwenye EXPOSURE KUBWA, anajielewa na ana thinking kubwa sasa wanawake kama hao mwanaume aliye timamu hawapendi suala sio kuwa na hivyo vitu bali wanawake wengi wakiwa na hivyo vitu inakuwa ngumu wao kuwa SUBMISSIVE kwa mwanaume.
 
Back
Top Bottom