Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Mwaka huu october nitagusa 29 na mwakani October nitagusa 30 na sina hata kimoja sio mke wala mtoto. Mpenzi wa kueleweka nilikaa nae 10 years alinipiga chin tangu hapo sijarudi kwenye ile hali ya kawaida. Jambo ambalo silitaki kuzaa hovyo na mtu nisiyetaka awe mke.

Anyway huo mwaka wa mwisho wa kujiangalia
 
Mwaka huu october nitagusa 29 na mwakani October nitagusa 30 na sina hata kimoja sio mke wala mtoto. Mpenzi wa kueleweka nilikaa nae 10 years alinipiga chin tangu hapo sijarudi kwenye ile hali ya kawaida. Jambo ambalo silitaki kuzaa hovyo na mtu nisiyetaka awe mke.

Anyway huo mwaka wa mwisho wa kujiangalia
Safi,weka mipango
 
Mwanamke anayetumia JF, maanayake ni mwanamke mwenye EXPOSURE KUBWA, anajielewa na ana thinking kubwa sasa wanawake kama hao mwanaume aliye timamu hawapendi suala sio kuwa na hivyo vitu bali wanawake wengi wakiwa na hivyo vitu inakuwa ngumu wao kuwa SUBMISSIVE kwa mwanaume.
Kaka hayo ni maoni yako, kwasababu negative thinking ya baadhi ya watu Humu.
👉Wana muona kama aliye jiweka wazi katika suala la ngono, Kutokana na skendo za kuchafuana humu
 
Habari ya weekend great thinkers?

Maisha yananipa experience tofauti, Sikuwahi kufikiria kama ningefika third floor bila kuwa na familia wala watoto, kuna muda nahisi kupanic nahofia watoto wasije kuniita bibi badala ya mama, au kukosa kabisa sababu ya umri mkubwa🤔

Enzi hizo nilikua nashangaa mtu hasa mdada unafikaje hadi 30s huna familia, aisee kumbe ni kweli now ni mimi mwenyewe.

Mlioanza familia mkiwa 30s je ni kweli au mnaona dalili za watoto wenu kuwaita bibi au babu? Vipi changamoto za uzazi sababu ya umri mkubwa?😔

Nipo tayari kwa comments zote.

Happy valentine's day in advance 👏🥰
Nadhani kitu Cha kuzingati Sana Ni kujipanga kwa ajili ya kupata hicho ambacho unakitaka, uwe na malengo, unataka kupata mtoto ukiwa na umri gani?? Lakini pia kuzingatia baba Bora kwa ajili ya mwanao/wanao. Ni Bora ukachelewa na ukapata mtu sahihi.

Kuhusu muda sahihi Ni upi, kwa upande wa nyie kina dada Ni vizuri kukimbizana na ukomo wa hedhi. Naomba kuwasilisha mkuu.
 
Hili tatizo wanalipitia mabinti wengi wasomi,wale wenye vipato vikubwa na wale malaya waliyo jificha kwenye kichaka cha udangaji kwa kuendekeza tamaa zao za fedha wakizani uzuri wao hutoisha.

Kuna wengine huangukia kwa Vimarioo na ndio maana trend ya mishangazi inakuwa kwa kasi.Vijana wa kiume wanaichangamkia hii fursa ya mishangazi bila kujua ina walemaza,kwani hawawezi kukiepuka kikombe cha kula kwa jasho.

Dada zangu achaneni na feminism, kudanga na kuendekeza tamaa za fedha. Kuwa mtu wa sala,ishi ktk misingi itakayo kuelekeza kwenye ndoa, husiwe mtumwa wa trends hizi za wadangaji wasocial networks.

True mkuu, kuna wale wa kuchagua chagua kwa kutumia vigezo ambavyo havina uhalisia na kuna wengine, kutokana na umri, wanaona wajiachie bila kujali wanavyochukuliwa, mwisho wa siku yanawakuta haya

Ila kwa ambao wamejikuta automatically hawajafanikisha hivyo, siwashauri kuwa desperate
 
My trip to sumbawanga
FB_IMG_17074712528157192.jpg
 
Oya naona mkubwa kaaga kabisa, Baada ya kuambiwa hato rudi
Ina maana yeye ndio alikua mwandishi was zile nyuzi!!?sidhani!!

Nasubiri senior name watangaze maana tukio la senior wanalilea Kwa kutangaza dagaa wadogo kina mushi Hadi dagaa wakubwa!!

Zanzibar leak's wanakinukisha sana!!
 
Habari ya weekend great thinkers?

Maisha yananipa experience tofauti, Sikuwahi kufikiria kama ningefika third floor bila kuwa na familia wala watoto, kuna muda nahisi kupanic nahofia watoto wasije kuniita bibi badala ya mama, au kukosa kabisa sababu ya umri mkubwa[emoji848]

Enzi hizo nilikua nashangaa mtu hasa mdada unafikaje hadi 30s huna familia, aisee kumbe ni kweli now ni mimi mwenyewe.

Mlioanza familia mkiwa 30s je ni kweli au mnaona dalili za watoto wenu kuwaita bibi au babu? Vipi changamoto za uzazi sababu ya umri mkubwa?[emoji17]

Nipo tayari kwa comments zote.

Happy valentine's day in advance [emoji122][emoji3059]
Kuna kauoga huwa kapo naturally, na shida kubwa kabisa kwa mentality ya sisi wanaume,
Mwanamke akiwa na umri mkubwa , mzuri,elimu anayo na maisha anayo ila hana mtu ,hiyo huwa ni red flag,naturally watu wanaanza kuogopa kwanini huna familia ,
Unaweza kupata mtu muelewa mkaishi ,ila maswali yanakuwepo mengi mengi hasa kuhusu Tabia za muhusika.
Unaanza kupata wale wanapiga ila hawataki kujenga kibanda.

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
Mwaka huu october nitagusa 29 na mwakani October nitagusa 30 na sina hata kimoja sio mke wala mtoto. Mpenzi wa kueleweka nilikaa nae 10 years alinipiga chin tangu hapo sijarudi kwenye ile hali ya kawaida. Jambo ambalo silitaki kuzaa hovyo na mtu nisiyetaka awe mke.

Anyway huo mwaka wa mwisho wa kujiangalia
Umechagua sahihi, usizae hovyo. Ingia kwenye ndoa utafutie watoto humo, hata malezi yanakuwa na uelekeo mzuri. Sio huyu anaishi na mama A, yule yupo na mama B. Hata kipato chako kinaishia usipoelewa.
 
Ingawa sina hakika kama ni kweli au unafurahisha genge, Pole sana mkuu.
Ndoa ni ishara ya ushindi na mafanikio kwa Wanawake wengi Duniani hasa Barani Afrika, middle east na Asia. Hivyo, wakigusa 30 bila ndoa hujiona kuwa wameshindwa kufikia lengo muhimu na kuianguasha jamii yao hasa wazazi.
Uzoefu unaonyesha hakuna kanuni ya upi muda sahihi wa kuoa au kuolewa, wewe mwenywe ndio determinant ya lini ni muda sahihi kuolewa. Ila kuna muda sahihi wa kuzaa kwa mwanamke 24- 36. Ukizaa ukiwa mzee kuna hatari za kiafya kwa mtoto. Sayansi inaonyesh ukizaa ukiwa kwenye 20s kuna tija zaidi kwa mtoto.

Ila unapaswa kutambua facts zifuatazo ili uweze kujua namna ya kutoboa. Kwanza, mwanamke ana nafasi ndogo sana ya kuamua nani amuoe na lini. Fact nyingine ni kuwa kwa kadri umri unavyosonga ndivyo mvuto wa kimapenzi wa mwanamke unapungua na eventual rate ya watia nia sahihi nayo inapungua. Fact nyingine ni kuwa ukiwa mrembo na ukiwa na umri mdogo na ukiwa na uwezo mkubwa wa kumpa furaha mwanaume unakuwa na nafasi kubwa zaidi ya kuolewa mapena. Bahati mbaya warembo wengi Duniani huwa hawana uwezo wa kuwapa furaha wanaume kutokana na demnd yao kuwa kubwa. Fact nyingine unapaswa kuelewa kuwa wanaume regardless ya utajiri au level ya elimu huwa wanatafakari sana kabla ya kufanya maamuzi ya kuoa, wanawahofia sana wanawake. Wanaume wanataka mwanamke atakayempa heshima, furaha na amani. Ingawa siku hizi kuna wavulana ambao wao wanapenda zaidi physical materials kutoka kwa mwanamke. Mwisho wanaume wengi wenye akili na wanaojiamini huwa hawapendi mwanamke mwenye akili sana au mtafutaji sana kwa sababu wanaamini kuwa wao wanajimudu. Kujua Kudeka, kubembeleza, sauti na ufundi wa ngono ni silaha muhimu za ushindi.
Kwa umri ulio nao unaweza ukafanya yafuatayo:
Kuzaa bila kujari suala la kuolewa. Athari yake ni kuwa utapunguza zaidi fursa ya kuolewa na mwanaume wa maana na unaweza kumpa mtoto changamoto ya kimalezi na tabia. Wenzenu Ulaya, America na Asia uenda Baa na kujitegesha kwa walevi.
Oa, tafuta kijana anayetaka kulelewa muoe.
Boresha tabia, kuwa msafi (ng'aring'ari) ndani na nje muda wote, kuwa simple, usiwe much know kwa sana, safiri mara kwa mara, kata mawsiliano na EXs, take risk ukiombwa mzigo. Usiende kwenye game bila kuoga, kamwe.
Kamwe usimwambie mwanaume kuwa upo jamii forum na ukiwa na mwanaume punguza kuwa busy na simu.
Ukiwa kwenye dating ukakutana na mtu unayemfahamu msarimie then mpotezee focus kwa mwanaume wako.
Usiwe mtu wa kutoa options za hoteli au sehemu nzuri ya kutoka out. Ukipewa nafasi ya kuchagua mwambie sijui akikulazimisha, chagua kati ya maeneo ambayo amewahi kukupeleka.
Usiombe pesha, omba kitu

Ukiwa na mwanaume mweleze watu muhimu kwako na namna unavyo link nao. Likewise mbembeleze naye akwambie watu wake wa muhimu.
Mhaminishe mwanaume kuwa unatamani kumzalia wato, kamwe usimwombe akuoe.

Mwisho, hakuna kanuni kwenye kumpata mwenza, hivyo yote haya yanayosemwa ni kubahatisha tu.
Mungu akubariki upate itaji la moyo wako.

Tuchukulie mwanao wa kike kaja kukulilia mapajani kwako je, utampa huo ushauri ?.

Utanisamehe mkuu, lakini siwezi kumshauri mtoto wa kike aliye brilliant, mwenye exposure au kazi nzuri, ajishushe chini sana kwenye ile level ya kuonekana "si chochote ama si lolote" Ili tu asionekne threat kwenye ego ya mwanaume fulani

Kiufupi, siwezi kumfundisha mtoto wa kike kujivua ubora wake ili tu apate wanaume waliopo insecured juu ya uanaume wao. Maana mwisho wa siku watakuwa na conflicts zisizoisha na kumpelekea kujutia uamuzi wake

Ni kheri nimshauri aenze kwenda kwenye spheres and tables ambazo atakutana na Alpha males ambao hawatomuona kama threat kwa lolote.. Na kwanza watamkubali kwa qualities zake

Kwa ushauri wako ni sawa na kumuambia awe malaya au ajirahisishe kwa kujionesha cheap ili apate mimba for what. Si kheri azae na watu wa calibre yake ambao wanaweza mpa uhakika wa makuzi ya mtoto, maana kwa options ulizompa usingo mama hauepukiki, sasa si kheri azae na mtu hata mwenye ndoa lakini wanaendana "based na ushauri wako"

Kiukweli, siwezi kumshauri mwanamke yoyote brilliant kujishusha au kuficha ubora wake ili akubalike ila kama ana kiburi na dharau, ambavyo ni vitu common kwa baadhi ya independent ladies, naweza mshauri aache.

Mengine ni neema za Mungu tu maana jitihada haizidi kudra kwa hiyo,mengine ni kukubali tu kuliko kujiripua na ukahangaika maisha yote maana uamuzi wake wa sasa utaamua hadi hatma ya kiumbe atakachokibeba hivyo, lazma afikirie hilo pia
 
Ushachelewa bhn, ushakua lishangazi wasikupe moyo hao jamaa eti umri ni namba tu we asilimia za kumuona mtoto wako anaenda chuo ni ndogo sana kama umefika 30 huna mtoto si tunaamini umetumia muda wako vizuri kujijenga kiuchumi kwaiyo usichague chague wanaume ww tega yai tu ukichelewa tena humuoni mtoto wako akiingia secondary


Sent from my motorola one macro using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom