Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Vikapuku vitakukatisha tamaa nia yao uishi kwa masononeko kama wao, usiwajali
Ushauri wangu ni kucalm down endelea na your daily life mtu sahihi atakuja kwako mtafunga ndoa na utazaa watoto wengi upendavyo, ila ukweli ni kwamba ukifika 36 uzazi unaweza kukusumbua sana....mambo mengine yatakua vile vile zaidi utakua umepevuka kiakili.
Ushauri wangu ni kucalm down endelea na your daily life mtu sahihi atakuja kwako mtafunga ndoa na utazaa watoto wengi upendavyo, ila ukweli ni kwamba ukifika 36 uzazi unaweza kukusumbua sana....mambo mengine yatakua vile vile zaidi utakua umepevuka kiakili.