Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Wahuni sio watuKwamba kaza mdogo wetu, kumbe Wana chekea jikoni🤣😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wahuni sio watuKwamba kaza mdogo wetu, kumbe Wana chekea jikoni🤣😀
Hahahha wala nisingewaza. Ningepata muda mzuri wa kufurahia maisha. Sasa hivi nikirudi nyumbani vurugu vurugu mikelele hadi kichwa kinauma.Hakuna cha bahati mbaya, ungekuwa hujaolewa sahizi ungekuwa ushaanza kula madawa.
Utafurahia maisha huna kazi ya kueleweka bill zimekaba koo😂? UngechakaaHahahha wala nisingewaza. Ningepata muda mzuri wa kufurahia maisha. Sasa hivi nikirudi nyumbani vurugu vurugu mikelele hadi kichwa kinauma.
Hivi Wewe umeoa kweli? Una watoto,???😂
Baba siku hizi hamfokei dada wa kaziWahuni sio watu
Enjoy your life😂😂😂you are too young to have kids .I wasn't even 10, when cr7 was signed by real Madrid
Ningedanga 😂😂😂.Utafurahia maisha huna kazi ya kueleweka bill zimekaba koo😂? Ungechakaa
Naam Katibu wa banyeta 😀Ukipanic hutapata kabisa
Binafsi wala sina mpango wa kua na mtoto kwa sasa.
Ila kwa wanawake huwa ni changamoto maana mnapigwa mawe sana huko mitaani ila timiza malengo uliyojiwekea kwanza, kama kipaumbele sio mtoto fanya upasayo kufanya kwanza.
Kama kweli tatizo ni mwenza kama wadau waliogues hapo juu, basi tatizo ni kubwa.
Naona uli kimbilia KU google🤣Enjoy your life😂😂😂you are too young to have kids .
Nipe pole kwanza. Maana nimecheka mpaka nimepaliwa,hiyo kauli inachekesha.
Ningedanga 😂😂😂.
Mbona umeruka swali langu?
Niliulizwa hivi, ukinioa utakua unanisaidia baadhi ya kazi kama tukitoka kazini, nikamuuliza kama kazi zipi akasema kupika, nikamwambia hizo kwetu nikazi za kike Mimi siwezi kuingia jikoni eti nikupikie ww unaangalia tv eti kisa nakusaidia. Haka katoto kakaniambia hivi eti basi wewe sio type ya mwanamme naemtaka. Nikamwambia ok sawa hii furusa nayokupa kunawanawake kibao wanaitaka, sasa tulia katafute hao unaowataka ambao utaona mta match, baada ya masaa mawili kakanitumia msg sorry baby kama nimekuudhi nisamehe.Okay wacha tuone. Kinachowafelisha wengi ni kutafta perfect match.
Umejuaje? Kwanza nimeanza kugoogle CR7 ni nani. Nikaja alisainiwa lini huko. Si mchezoNaona uli kimbilia KU google🤣
Cha ajabu unaweza kuja kumuoa binti yangu😂😂😂. Wanaume mna raha kweliSijaoa bana bado nakula ujana tu ntaoa nikiwa 40 maybe 😂
Habari ya weekend great thinkers?
Maisha yananipa experience tofauti, Sikuwahi kufikiria kama ningefika third floor bila kuwa na familia wala watoto, kuna muda nahisi kupanic nahofia watoto wasije kuniita bibi badala ya mama, au kukosa kabisa sababu ya umri mkubwa🤔
Enzi hizo nilikua nashangaa mtu hasa mdada unafikaje hadi 30s huna familia, aisee kumbe ni kweli now ni mimi mwenyewe.
Mlioanza familia mkiwa 30s je ni kweli au mnaona dalili za watoto wenu kuwaita bibi au babu? Vipi changamoto za uzazi sababu ya umri mkubwa?😔
Nipo tayari kwa comments zote.
Happy valentine's day in advance 👏🥰
Bills ndio kila kitu.Utafurahia maisha huna kazi ya kueleweka bill zimekaba koo😂? Ungechakaa
Hi ndo Mwenyekiti zamu ya kununua luku, karudi na mshumaa😀😂Udangaji mwisho 30 after hapo uatafta yeyote anayepumua.
Ooh sikuliona hilo. Sijaoa bana bado nakula ujana tu ntaoa nikiwa 40 maybe 😂
😂😂😂😂😂😂 mwenyekiti karudi na mshumaa kweli kazi ipoHi ndo Mwenyekiti zamu ya kununua luku, karudi na mshumaa😀😂