Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Habari ya weekend great thinkers?

Maisha yananipa experience tofauti, Sikuwahi kufikiria kama ningefika third floor bila kuwa na familia wala watoto, kuna muda nahisi kupanic nahofia watoto wasije kuniita bibi badala ya mama, au kukosa kabisa sababu ya umri mkubwa🤔

Enzi hizo nilikua nashangaa mtu hasa mdada unafikaje hadi 30s huna familia, aisee kumbe ni kweli now ni mimi mwenyewe.

Mlioanza familia mkiwa 30s je ni kweli au mnaona dalili za watoto wenu kuwaita bibi au babu? Vipi changamoto za uzazi sababu ya umri mkubwa?😔

Nipo tayari kwa comments zote.

Happy valentine's day in advance 👏🥰
Wakati unasoma methali kuna ile methali pendwa inayoakisi uhalisia...

1.Mficha uchi ........

Sasa umefkia wasaa methali imekuwa kweli, somo achia mapaja muda sio rafiki. Maisha ndio haya haya. Game ngumu sikuhizi sio kila mwanamke ataolewa imekuwa ni kama bahati.
 
Kuna kitu nahitaji kuwafunza mabinti ambao hawajafika 30.

Ukipata mpenzi ukamuona anakupenda kwa dhati, yupo tayari kukutambulisha kwa ndugu zake na kwa familia yake.

Yamkini asiwe na kipato kikubwa sana ila ana uwezo wa kufanya wote mle na mkalala, ISHI HAPO.

Acha tamaa za kutaka uolewe na mwanaume mwenye pesa, muimbaji n.k mwisho mtakuja kuangukia kwa wanaume za watu, huyo mwanaume wa mtu unayemuona ana pesa, hazijaja tu hivi hivi, alianza chini kabisa kama huyo kijana ambae kwa sasa wewe unamdharau.

Kama umewahi kumnyanyasa kijana wa watu kisa masikini, yeye sijui hana umbo zuri n.k moyo wake ukaumia, katafute suluhu naye sababu huenda kuna mambo yako yakafunguka.

Mabinti sio kwamba mnakosa watu wa kuwaoa ila tamaa za maisha zimekuwa zikiwatesa wengi.

Sasa hivi kijana wa 30, 31, 32 hawezi kuwa na mwanamke wa 30, lazima atafute wa 24, 25 au 26 unless awe mpumbavu.

Girls kuweni makini sana na umri, uliowatupa kisa hawana ela, wakipata ela na wao watakuona wewe sio hadhi yao.
Lamomy auone huu ujumbe.
 
Habari ya weekend great thinkers?

Maisha yananipa experience tofauti, Sikuwahi kufikiria kama ningefika third floor bila kuwa na familia wala watoto, kuna muda nahisi kupanic nahofia watoto wasije kuniita bibi badala ya mama, au kukosa kabisa sababu ya umri mkubwa🤔

Enzi hizo nilikua nashangaa mtu hasa mdada unafikaje hadi 30s huna familia, aisee kumbe ni kweli now ni mimi mwenyewe.

Mlioanza familia mkiwa 30s je ni kweli au mnaona dalili za watoto wenu kuwaita bibi au babu? Vipi changamoto za uzazi sababu ya umri mkubwa?😔

Nipo tayari kwa comments zote.

Happy valentine's day in advance 👏🥰
Umri mzuri wa binti kupata uzazi ni kati ya 19-25 years hapo hakunaga compe kabisa. Hii miaka ya 30s ndio inakuja na risk nyingi maana mwili ushakakamaa. Lazma utakutana na mambo ya mgongo kuuma na majanga mengine postnatal.
 
Acheni kumpa moyo kinafiki, mwambieni ukweli hasa ninyi wanawake wenzie.

Iko hivi;

Mara zote maisha ya mwanamke huwa yanakuja na expire date kinyume na kwa mwanaume. Muda ambao binti unakuwa unapigiwa miruzi mingi, kijana wa kiume kwa muda huo ni sifuri kabisa ila ikifika muda sasa kila mtu anajitenga na wewe ndipo kijana huyu wa kiume unaelingana nae kiumri ndipo anaanza kuhesabu namba zake.


Nachokiona kwako ni ile kawaida yenu ya nyodo kupitiliza uliyokuwa nayo kwa waliokuwa wakikufuata. Kuchagua halijawahi kuwa tatizo kwangu ila hapo kwenye nyodo hapo ndipo panapokujaga kuwasurubu wengi wenu
 
Umri mzuri wa binti kupata uzazi ni kati ya 19-25 years hapo hakunaga compe kabisa. Hii miaka ya 30s ndio inakuja na risk nyingi maana mwili ushakakamaa. Lazma utakutana na mambo ya mgongo kuuma na majanga mengine postnatal.
Sio mbaya nime ona binti ali jifungua akiwa 33.
👉Na ili enda POA to, though circumstances differ
 
Habari ya weekend great thinkers?

Maisha yananipa experience tofauti, Sikuwahi kufikiria kama ningefika third floor bila kuwa na familia wala watoto, kuna muda nahisi kupanic nahofia watoto wasije kuniita bibi badala ya mama, au kukosa kabisa sababu ya umri mkubwa🤔

Enzi hizo nilikua nashangaa mtu hasa mdada unafikaje hadi 30s huna familia, aisee kumbe ni kweli now ni mimi mwenyewe.

Mlioanza familia mkiwa 30s je ni kweli au mnaona dalili za watoto wenu kuwaita bibi au babu? Vipi changamoto za uzazi sababu ya umri mkubwa?😔

Nipo tayari kwa comments zote.

Happy valentine's day in advance 👏🥰
Nipo tayari kukuoa mamaa😘
 
Tuchukulie mwanao wa kike kaja kukulilia mapajani kwako je, utampa huo ushauri ?.

Utanisamehe mkuu, lakini siwezi kumshauri mtoto wa kike aliye brilliant, mwenye exposure au kazi nzuri, ajishushe chini sana kwenye ile level ya kuonekana "si chochote ama si lolote" Ili tu asionekne threat kwenye ego ya mwanaume fulani

Kiufupi, siwezi kumfundisha mtoto wa kike kujivua ubora wake ili tu apate wanaume waliopo insecured juu ya uanaume wao. Maana mwisho wa siku watakuwa na conflicts zisizoisha na kumpelekea kujutia uamuzi wake

Ni kheri nimshauri aenze kwenda kwenye spheres and tables ambazo atakutana na Alpha males ambao hawatomuona kama threat kwa lolote.. Na kwanza watamkubali kwa qualities zake

Kwa ushauri wako ni sawa na kumuambia awe malaya au ajirahisishe kwa kujionesha cheap ili apate mimba for what. Si kheri azae na watu wa calibre yake ambao wanaweza mpa uhakika wa makuzi ya mtoto, maana kwa options ulizompa usingo mama hauepukiki, sasa si kheri azae na mtu hata mwenye ndoa lakini wanaendana "based na ushauri wako"

Kiukweli, siwezi kumshauri mwanamke yoyote brilliant kujishusha au kuficha ubora wake ili akubalike ila kama ana kiburi na dharau, ambavyo ni vitu common kwa baadhi ya independent ladies, naweza mshauri aache.

Mengine ni neema za Mungu tu maana jitihada haizidi kudra kwa hiyo,mengine ni kukubali tu kuliko kujiripua na ukahangaika maisha yote maana uamuzi wake wa sasa utaamua hadi hatma ya kiumbe atakachokibeba hivyo, lazma afikirie hilo pia
Aliyekwambia ukifikisha miaka 30 bila familia ni dalili ya kuwa mwanamke Brilliant ni nani mkuu?


Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom