EP MEDICS COSMETICS STORE
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 2,826
- 4,593
Safi sana mzeeNikifika 40 mwanangu ana 21[emoji16][emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana mzeeNikifika 40 mwanangu ana 21[emoji16][emoji16]
Hahahahahah kimsingi nataka kula kuku na mayai yake 😂 ni swala la muda tuCha ajabu unaweza kuja kumuoa binti yangu😂😂😂. Wanaume mna raha kweli
Mambo ya La Mujer De Mi Vida hayo 😂😂😂Niliulizwa hivi, ukinioa utakua unanisaidia baadhi ya kazi kama tukitoka kazini, nikamuuliza kama kazi zipi akasema kupika, nikamwambia hizo kwetu nikazi za kike Mimi siwezi kuingia jikoni eti nikupikie ww unaangalia tv eti kisa nakusaidia. Haka katoto kakaniambia hivi eti basi wewe sio type ya mwanamme naemtaka. Nikamwambia ok sawa hii furusa nayokupa kunawanawake kibao wanaitaka, sasa tulia katafute hao unaowataka ambao utaona mta match, baada ya masaa mawili kakanitumia msg sorry baby kama nimekuudhi nisamehe.
Nikamwambia yashaisha hayo we katafute perfect match, kakaomba msamaha yakawa yameisha. Nilichomuuambia baadae nikua ukizaa mtoto wakiume, akaoa ukaenda kumtembelea kwake ukakuta anamsaidia mkewe kumpikia halafu mke wake anaangalia TV utajisikiaje?. Then nikamwambia utakavyojisikia ndivyo mama yangu atajisikia , so kwetu sijaelewa hivyo majukumu ya mwanaume yanafahamika na yamwanamke yanafahamika, Kila mmoja atimize wajibu wake. Otherwise usidhani ntakuja kukusaidia kufanya kazi za kike. Kakawa kapolee, Sasa ndio hapo umesema wengi wanatafuta perfect match.
Hivi mm na umri wangu wa miaka 32 nisaidie Binti wa miaka 23 kupika, kuosha vyombo huku anaangalia TV?. Kama anaumwa ile siriously I can try.
Hahahahah jaribu uone. Si unakumbuka nilikuambia nini kuhusu yule baby boy wako?Hahahahahah kimsingi nataka kula kuku na mayai yake 😂 ni swala la muda tu
nime cheza na intelligence yako tu😀😂,Umejuaje? Kwanza nimeanza kugoogle CR7 ni nani. Nikaja alisainiwa lini huko. Si mchezo
Hahahahahah nataka iwe adventure 😂Hahahahah jaribu uone. Si unakumbuka nilikuambia nini kuhusu yule baby boy wako?
Ndio Kuna Jamaa nafikir ni COUNTRY nani alisema hawa watoto wakike wanafikir maisha waliyoishi chuo ndio yakwenye ndoa, Yale yakusaidiana kupika, kuongozana kununua chakula sokoni .Mambo ya La Mujer De Mi Vida hayo 😂😂😂
Huyo baba bora anaetafutwa anawindwa na wanawake kama buku hivi hivyo kumpata pia ni zali. Baba bora wanaemtaka awe ana mawe kama GSM ni ngumu kumpata kizembe.Nadhani kitu Cha kuzingati Sana Ni kujipanga kwa ajili ya kupata hicho ambacho unakitaka, uwe na malengo, unataka kupata mtoto ukiwa na umri gani?? Lakini pia kuzingatia baba Bora kwa ajili ya mwanao/wanao. Ni Bora ukachelewa na ukapata mtu sahihi.
Kuhusu muda sahihi Ni upi, kwa upande wa nyie kina dada Ni vizuri kukimbizana na ukomo wa hedhi. Naomba kuwasilisha mkuu.
mambo ya telenovela hayoMambo ya La Mujer De Mi Vida hayo 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂 kuna mtu nilimsikia akiongea hayo nadhani kwenye interview ila ndoa ni whole different thing. Maisha ya chuo na ndoa yana differ lazma muwe flexible.Ndio Kuna Jamaa nafikir ni COUNTRY nani alisema hawa watoto wakike wanafikir maisha waliyoishi chuo ndio yakwenye ndoa, Yale yakusaidiana kupika, kuongozana kununua chakula sokoni .
Temana nae hajitambui.Lamomy anashangaa Mimi wa 32 years kutaka kuoa Binti wa mwenye miaka 23 anasema ni UFATAKI.
Mwanamke ambaye anafika 30+ hana mahusiano kuna mawili aidha amejitunza sana au ana tabia mbovu ambazo hawezi kumkeep mwanaume. Huo kifupi ni mtegoKuna kauoga huwa kapo naturally, na shida kubwa kabisa kwa mentality ya sisi wanaume,
Mwanamke akiwa na umri mkubwa , mzuri,elimu anayo na maisha anayo ila hana mtu ,hiyo huwa ni red flag,naturally watu wanaanza kuogopa kwanini huna familia ,
Unaweza kupata mtu muelewa mkaishi ,ila maswali yanakuwepo mengi mengi hasa kuhusu Tabia za muhusika.
Unaanza kupata wale wanapiga ila hawataki kujenga kibanda.
Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
Kwa hili la ku~make a good wife and a mother nakubaliana na wewe 100%, hawa wanaoolewa early 20s mara nyingi wanaichukulia ndoa poa sana, ila mdada anaingia kwa ndoa akiwa 33 lazima aone thamani ya kile alichofanya, ataitunza ndoa, anajua kulea so chances za kuwa mama bora ni kubwa.Kila kitu kinafaida na hasara
Trust me huyo ata make a very good wife and mother, Kwa umri wake...
Kapitia mengi..
Kayajua mengi...
Anajua ninini anahitaji...
Na uwezokano wa kuwa na ndoto mpya mdogo...
So ata stick...na kukishikilia vizuri alichonacho.
Umeshinda leo, siku nyingine sijisumbui kugoogle😏😏nime cheza na intelligence yako tu😀😂,
Kabisa kabisa, maana ndoa ni package aisee...!!Kwa hili la ku~make a good wife and a mother nakubaliana na wewe 100%, hawa wanaoolewa early 20s mara nyingi wanaichukulia ndoa poa sana, ila mdada anaingia kwa ndoa akiwa 33 lazima aone thamani ya kile alichofanya, ataitunza ndoa, anajua kulea so chances za kuwa mama bora ni kubwa.
Swali la msingi sana hili aiseee [emoji848]Kipi kinazuia malengo yasitimie ukiwa kwenye ndoa??
Haha. Sio kwamba alisema akiwa katika love language? Kwamba babe we unakata vitunguu, mm nablend juice? Ila hayo yafanyike familia ikiwa bado na watu wawili yaan mke na mume.Niliulizwa hivi, ukinioa utakua unanisaidia baadhi ya kazi kama tukitoka kazini, nikamuuliza kama kazi zipi akasema kupika, nikamwambia
Niitie financial services aje nimu ambie kitu😀Umeshinda leo, siku nyingine sijisumbui kugoogle😏😏