Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Niliulizwa hivi, ukinioa utakua unanisaidia baadhi ya kazi kama tukitoka kazini, nikamuuliza kama kazi zipi akasema kupika, nikamwambia hizo kwetu nikazi za kike Mimi siwezi kuingia jikoni eti nikupikie ww unaangalia tv eti kisa nakusaidia. Haka katoto kakaniambia hivi eti basi wewe sio type ya mwanamme naemtaka. Nikamwambia ok sawa hii furusa nayokupa kunawanawake kibao wanaitaka, sasa tulia katafute hao unaowataka ambao utaona mta match, baada ya masaa mawili kakanitumia msg sorry baby kama nimekuudhi nisamehe.

Nikamwambia yashaisha hayo we katafute perfect match, kakaomba msamaha yakawa yameisha. Nilichomuuambia baadae nikua ukizaa mtoto wakiume, akaoa ukaenda kumtembelea kwake ukakuta anamsaidia mkewe kumpikia halafu mke wake anaangalia TV utajisikiaje?. Then nikamwambia utakavyojisikia ndivyo mama yangu atajisikia , so kwetu sijaelewa hivyo majukumu ya mwanaume yanafahamika na yamwanamke yanafahamika, Kila mmoja atimize wajibu wake. Otherwise usidhani ntakuja kukusaidia kufanya kazi za kike. Kakawa kapolee, Sasa ndio hapo umesema wengi wanatafuta perfect match.

Hivi mm na umri wangu wa miaka 32 nisaidie Binti wa miaka 23 kupika, kuosha vyombo huku anaangalia TV?. Kama anaumwa ile siriously I can try.
Mambo ya La Mujer De Mi Vida hayo 😂😂😂
 
Yaani watu wanapenda kujipa presha na kujinyima raha kwenye maisha yao.......

Ukitaka uishi maisha ya tabu ,sonona na msongo wa mawazo hata kufa mapema basi wakabidhi walimwengu hizo funguo.......

Kitu ambacho watu wengi hawajui ni kuwa asilimia 90 ya mambo yanayotokea maishani mwetu si kwa mipango yetu....ndio maana unapanga ufanye jambo fulani wakati fulani alafu ukajikuta hata hujafanya.......

Jikabidhi kwa Mungu ili upate furaha na amani ya moyo....yeye ndio anajua kusudio la maisha yako na yeye ndio anajua amekupangia nini.....

Wapo waliowahi kuzaa na watoto wote wakafariki......

Wapo waliowahi kuoa au kuolewa wakaambulia mateso mpaka wakazikimbia ndoa........

Kwa Mungu hakuna kuchelewa au kuwahi kwani kila kiumbe humrudhuku kwa wakati anaoona unafaa.......

Wapo watu ni wagumba kabisa na hawakuchagua kuwa hivyo lakini wanaishi maisha yao kwa raha na furaha......

Na wapo watu sio wagumba lakini Mungu anaamua kuwapa watoto uzeeni.....

Ulimwengu una mambo mengi sana

Acha kujipa stress....Acha kukusanya maoni na mitazamo ya watu juu ya maisha yako.....enenda katika njia ya Mungu kwani kila mtu kampa njia yake
 
Nadhani kitu Cha kuzingati Sana Ni kujipanga kwa ajili ya kupata hicho ambacho unakitaka, uwe na malengo, unataka kupata mtoto ukiwa na umri gani?? Lakini pia kuzingatia baba Bora kwa ajili ya mwanao/wanao. Ni Bora ukachelewa na ukapata mtu sahihi.

Kuhusu muda sahihi Ni upi, kwa upande wa nyie kina dada Ni vizuri kukimbizana na ukomo wa hedhi. Naomba kuwasilisha mkuu.
Huyo baba bora anaetafutwa anawindwa na wanawake kama buku hivi hivyo kumpata pia ni zali. Baba bora wanaemtaka awe ana mawe kama GSM ni ngumu kumpata kizembe.
 
Ndio Kuna Jamaa nafikir ni COUNTRY nani alisema hawa watoto wakike wanafikir maisha waliyoishi chuo ndio yakwenye ndoa, Yale yakusaidiana kupika, kuongozana kununua chakula sokoni .
😂😂😂😂😂😂 kuna mtu nilimsikia akiongea hayo nadhani kwenye interview ila ndoa ni whole different thing. Maisha ya chuo na ndoa yana differ lazma muwe flexible.
 
Kuna kauoga huwa kapo naturally, na shida kubwa kabisa kwa mentality ya sisi wanaume,
Mwanamke akiwa na umri mkubwa , mzuri,elimu anayo na maisha anayo ila hana mtu ,hiyo huwa ni red flag,naturally watu wanaanza kuogopa kwanini huna familia ,
Unaweza kupata mtu muelewa mkaishi ,ila maswali yanakuwepo mengi mengi hasa kuhusu Tabia za muhusika.
Unaanza kupata wale wanapiga ila hawataki kujenga kibanda.

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
Mwanamke ambaye anafika 30+ hana mahusiano kuna mawili aidha amejitunza sana au ana tabia mbovu ambazo hawezi kumkeep mwanaume. Huo kifupi ni mtego
 
Kila kitu kinafaida na hasara
Trust me huyo ata make a very good wife and mother, Kwa umri wake...
Kapitia mengi..
Kayajua mengi...
Anajua ninini anahitaji...
Na uwezokano wa kuwa na ndoto mpya mdogo...
So ata stick...na kukishikilia vizuri alichonacho.
Kwa hili la ku~make a good wife and a mother nakubaliana na wewe 100%, hawa wanaoolewa early 20s mara nyingi wanaichukulia ndoa poa sana, ila mdada anaingia kwa ndoa akiwa 33 lazima aone thamani ya kile alichofanya, ataitunza ndoa, anajua kulea so chances za kuwa mama bora ni kubwa.
 
Kwa hili la ku~make a good wife and a mother nakubaliana na wewe 100%, hawa wanaoolewa early 20s mara nyingi wanaichukulia ndoa poa sana, ila mdada anaingia kwa ndoa akiwa 33 lazima aone thamani ya kile alichofanya, ataitunza ndoa, anajua kulea so chances za kuwa mama bora ni kubwa.
Kabisa kabisa, maana ndoa ni package aisee...!!
Ina vitu vingi!! Achaa
 
Niliulizwa hivi, ukinioa utakua unanisaidia baadhi ya kazi kama tukitoka kazini, nikamuuliza kama kazi zipi akasema kupika, nikamwambia
Haha. Sio kwamba alisema akiwa katika love language? Kwamba babe we unakata vitunguu, mm nablend juice? Ila hayo yafanyike familia ikiwa bado na watu wawili yaan mke na mume.

Mkiongezeka hapo baba ana majukumu yake nje kutengeneza garden.
 
Back
Top Bottom