Yani misogynism is real mkuu, wanaume wengi wamekuwa toxic and bitter against women kwa sababu za kipumbavu tu, utadhani wao wako perfect and innocent kumbe nao ni waovu wakubwa tuDah Eti wabeijing[emoji38][emoji23], sema misogynism sio kitu nzuri
Yeah exactly mkuu wewe ndio umenielewa nini namaanisha, wanaume wangekuwa wanaoa wanawake wenye tabia njema kama wanavyojinadi humu basi tusingekuwa tunasikia malalamiko yao dhidi ya wake zao, lakini hata wewe unajionea hali halisi ya ndoa za siku hizi tena wanaume ndio wanaoongoza kwa kulalamika halafu mtu humu anakuja kutudanganya eti wenye tabia njema tu ndio wanaoolewa cc mkushiteMi nadhani hiki kitu hakieleweki, maana kama wote walio olewa wana Tabia njema.
Tusinge ona Wanawake waki chepuka nje ya ndoa.
Lakini pia Kuna baadhi Hawaja olewa, Kutokana na tofauti tofauti.
[emoji117]Aidha wakati huja fika, au ni uchaguzi wao wa kipuuzi.
[emoji117]Kupotezewa muda na wanaume
Katika ubora wako.Tunatofautiana wewe kama unaona ni sawa hizi nyuzi zinazoanzishwa kila siku za kudhalilisha wanawake wote mimi sioni hivyo, yani wanaume wakitukana wanawake it's okay ila wanawake tukijitetea ni kosa mara tuitwe feminists mara wabeijing mara vifaa, you can call us whatever you want but misogynism is one thing some of us can't tolerate in here
Mhh πYani wanaume wa humu kila uchwao nampenda Financial service kumbe mko tuu nyuma ya keyboard hamumfati dada wa watu mumu wowe?
Ila ki ukweli ni lazima uchanganyikiwe hasa kwa mwanamke wala msimumunye maneno..kuanzia 25 yrs unatakiwa uwe tayari au kuwaza kuwa na watoto as a woman...otherwise ikishindikana muombe Mungu...
Mbona waguna mdg wangu?Mhh π
Dahππ, ume ongea kwa uchungu.Yani wanaume wa humu kila uchwao nampenda Financial service kumbe mko tuu nyuma ya keyboard hamumfati dada wa watu mumu wowe?
Ila ki ukweli ni lazima uchanganyikiwe hasa kwa mwanamke wala msimumunye maneno..kuanzia 25 yrs unatakiwa uwe tayari au kuwaza kuwa na watoto as a woman...otherwise ikishindikana muombe Mungu...
Haha kwahiyo 25+ tunatakiwa tuanze kuchanganyikiwa?Mbona waguna mdg wangu?
ππππππ. Nimecheka balaa labda anazima PMYani wanaume wa humu kila uchwao nampenda Financial service kumbe mko tuu nyuma ya keyboard hamumfati dada wa watu mumu wowe
Tangazo kwa ufupiππHaha kwahiyo 25+ tunatakiwa tuanze kuchanganyikiwa?
Sema ndoa kwa Sasa ni taasisi inayo yumba mno.Yeah exactly mkuu wewe ndio umenielewa nini namaanisha, wanaume wangekuwa wanaoa wanawake wenye tabia njema kama wanavyojinadi humu basi tusingekuwa tunasikia malalamiko yao dhidi ya wake zao, lakini hata wewe unajionea hali halisi ya ndoa za siku hizi tena wanaume ndio wanaoongoza kwa kulalamika halafu mtu humu anakuja kutudanganya eti wenye tabia njema tu ndio wanaoolewa cc mkushite
Sijawahi kuinywa π©Tangazo kwa ufupiππ
View attachment 2903670
ChaiπSijawahi kuinywa π©
ππππ sitokuchelewasha? Au utasubiri hivyo hivyo?
Nimejisikia vibaya juu yake maskin. Maisha yana mafumbo makali,, Yote kwa yote Mungu ni mwema.Dr am 4 real PhD Kaka una endeleaje??
Sikutanii ππ€£ hizo juice sijanywaChaiπ
Hajui una subiri season 2 ya one pieceππππππ sitokuchelewasha? Au utasubiri hivyo hivyo?
Nita mcheck nijue ana endeleaje, ila dah sio POA aisee.Nimejisikia vibaya juu yake maskin. Maisha yana mafumbo makali,, Yote kwa yote Mungu ni mwema.