Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

😡😡😡
You wrote shit dude, una embrace vipi mtu kiss avatar au jina la jf??.
👉Eti havi endani, we si sea beast vipi- ni mnyama wa baharini???
👉Una manyoya au Miguu 4🤔🙄

Bro ppl name themselves Kutokana na inspiration yao au Jambo wanalo fanya.
👉 So don't drag financial services kivile bhana
 
Easier said than done, kila mwanaume akija kwa gia ya kutaka kukuoa kisha akakuacha, unadhani suala la mwanamke kuwa na wanaume wengi linaepukika vipi
Bibie ndio maana nakwambia haya mambo yana hitaji elimu na akili. Muoaji anajulikana.

Hivi mnafikiri mnaishi katika ulimwengu ambao sisi hatuishi ?

Hakuba kitu chepesi kushinda kurudi kwenye asili. Kiasili mwanamke ni wa mwanaume mmoja. Ukiwa na Wanaume zaidi ya mmoja ujue umetoka kwenye asili na uhalisia. Kurudi ni rahisi sana, acha tamaa, tumia akili kwenye maamuzi na sio hisia, ishi katika misingi sahihi, usishindane na mtu.
 
Mpaka Historia imeandikwa ujue jambo lilikuwa kubwa na taathira mbaya, sababu lilikuwa linaenda kinyume na uhalisia.

Naam jambo hilo lipo kwa Wanaume wa Dunia nzima, hao waliopitia mfumo jike waliendekeza tamaa na nguvu za kiutawala, ila wapo walio ona hilo kwa mapana makubwa na hawakulifumbia macho.

Kadhalika Kuna wakati uchache unawakilisha wote au wengi. Ndio maana madhara ya mwanamke kuwa na mwanaume wengi ni kwa Dunia nzima.

Kwa wazungu kadhalika habari, na mfano niliona kutolea ni kwa hao hao,

Labda utupe mfano wa wazungu gani jambo hilo sio habari kabisa ?
 
Lete siraha hizo tuue mtu, aah kumbe familia
 
Huu ndio wakati sahihi, Find Your Soulmate After 30: Marriage Secrets Revealed
-
-
00:00:00 - Why Age is an Advantage
00:00:53 - Your Pre-Marriage 'Test Drive'
00:01:45 - Look Beyond the Surface
00:02:43 - Your Relationship Cornerstone
00:03:41 - Your Story Matters
 
Hicho kichwa kigumu,kinapenda ligi bila hoja za msingi.
 
Nimekuelewa mkuu, thank you kiukweli am not that selective, binadamu tumeumbwa kwa mfano wa Mungu.
Usije kuolewa na yeyote tu kisa kukimbizana na muda
Kumbuka ni maisha yako hayo,Hivyo unapaswa kuwa makini usiongozwe na desperation kufanya maamuzi.
Chagua kilicho bora ukimtegemea Mungu akuongoze.
 
Vipi kijana hapaswi kuwa loyal kwa mke wake?
 
Umefanya uchambuzi makini sana. Hapa hakosi mawili matatu ya kumsaidia.
 
Wewe hizo takwimu umezitoa wapi mkuu, ikiwa karibu kila siku tunashuhudia harusi nyingi na wanawake wanaoolewa wengi wanajulikana tabia zao siyo nzuri, ujue tuache kuongelea fantasies tuongelee reality hapa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…